Kalamu Nzito
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 349
- 805
Hotuba ya juzi ya Rais imeonyesha dhahiri yeye na Serikali yake ni watu wa namna gani. Nilitegemea Rais kupitia hotuba ile angefanya yafuatayo:
1. Kuonesha kusikitishwa na mambo ya utekaji
2. Kuonya, kulaani na kukemea akiwa kama Amiri Jeshi Mkuu
3. Kutoa amri ya uchunguzi wa haraka kama jambo la dharura.
Hata hivyo badala yake, ameonyesha kutojali sana na kutuasa kwamba ni mambo ya kawaida tu tuzoee.
Hata kama mimi ndo ningekua Mtekaji, kwa hotuba ile ya Amiri jeshi mkuu, ningeendelea kuishi kwa amani kabisa bila hofu ya kukamatwa.
Mungu Tusamehe Watanzania. Hili ni pigo💔💔
1. Kuonesha kusikitishwa na mambo ya utekaji
2. Kuonya, kulaani na kukemea akiwa kama Amiri Jeshi Mkuu
3. Kutoa amri ya uchunguzi wa haraka kama jambo la dharura.
Hata hivyo badala yake, ameonyesha kutojali sana na kutuasa kwamba ni mambo ya kawaida tu tuzoee.
Hata kama mimi ndo ningekua Mtekaji, kwa hotuba ile ya Amiri jeshi mkuu, ningeendelea kuishi kwa amani kabisa bila hofu ya kukamatwa.
Mungu Tusamehe Watanzania. Hili ni pigo💔💔