Hata kama ni kukamilisha ratiba, ndio mpigwe Goli 3 na kikosi C cha Raja Casablanca?

Kuna mdau kawauliza vigezo vya kucheza kombe la loosers ni vipi

Badala wampe majibu wanazunguuka

Maana kawaambia yeye wakati anaondoka mjini kuelekea vijijini pasipo na mtandao aliiacha timu klabu bingwa ila anarudi ipo Loosers sasa nini kilitokea.
Wanasema ndo uwezo wao halafu wao kubaki Klabu bingwa waswahili wanasema mtoto halali na hela.
 
Je, hapa ndio kuna timu? Famasiala nini
 

Sawa hapa nani kapapaswa zaidi
Mara Ya Mwisho kuingia makundi CAF CL umesema Mwaka gani..? 1998.?

Duh, Embu Tufanye Mahesanu Kidogo.. 2023 - 1998 = 25

Ndo Kusema Mtani hajawahi Kushiriki makundi CL Ya CAF Kwa Miaka 25...!

Japo Mtani huwa namuombeaga njaa Lkn hii Imeniuma Sana..!

Kumbe Wapo Watu Umri Miaka 25 hawajawahi kuiona Yanga Makundi CL?
 
Kulinajisi taifa🤣🤣🤣🤣

Simba 🦁🦁 inawapa homa nyie UTOPOLO FC
 
punguza ujinga, wastani wa 9:3 ni mzuri kuliko wa 6:1

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Unadhihirisha Utopolo wako. Hesabu unaijua vizuri?
9:3 maana yake GD ni 6
6:1 maana yake GD ni 5

Sasa 5 na 6 nani mwenye unafuu? Aliyekung'utwa 6 au aliyefungwa 5?

Au wewe akili yako kila namba kubwa ndiyo ya maana?

Utopolo mfanye mabishano kwa reasoning. Au huo mwiko huko nyuma unawaumiza?
 
Hivi wale jamaa wa nyuma mwiko wangeweza kweli kucheza usiku ule?
Wakumbushe mara ya Mwisho walipata kipigo Cha mbwa mwizi Cha 6-0.Jana Dua lao liligeuka la kuku walitamani Msimbazi ivunje rekodi yao Kwa kupigwa 7-0
 
Wanaelewa basi hao viazi mbatata hivyo bloangu??
 
Mbona nyie mlipigwaga 5 na rivers united
hatukusema
 
Hii taarifa si kweli. Nashangaa hakuna aliyemwambia. Raja walipumzisha baadhi ya wachezaji wao katika mechi na Vipers waliyotoka droo ila kwenye game na Simba waliweka full mkoko.

Kwa upande mwingine, Mazembe jana hawakuchezesha wachezaji wao kadhaa tegemeo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…