Hata kama ni MC wa kukodi, kwanini akodiwe mtu aliyefungiwa?

Kwahiyo Manara hata kufungua duka la kuuza jezi kwake ni kosa? Tff wachawi sasa
 
Tatizo la Yanga linaanzia kwenye ule mwiko! Sehemu walipouweka si sahihi kabisa, wangeutoa wauweke hata mbele
 
Kuna sheria inayoongoza kuteua mc? Au katika list ya viongozi itokayo caf au fifa kuna nafasi ya mc?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…