Hata kama ni MC wa kukodi, kwanini akodiwe mtu aliyefungiwa?

Hata kama ni MC wa kukodi, kwanini akodiwe mtu aliyefungiwa?

Bado sijaelewa hili jambo , ilidaiwa Manara kafungiwa asishiriki shughuli za Soka za ndani na nje ya nchi kwa miaka miwili , sasa leo kaonekana kwenye tamasha la Yanga , KWA KISINGIZIO CHA MC WA KUKODIWA , na baada ya kumaliza kuwatambulisha wachezaji wa Yanga , Manara amedai kwamba hajihusishi na soka na anaondoka kwenda huko Kigogo kufanya shughuli zake za UMC kwenye harusi .

Hili jambo limekaaje jamani ?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].. bongo nyoso sana
 
Kesi ya mpira haiendi mahakama za kiraia, labda iwe rushwa
Ni policy tuu sio sheria, sheria za vyama vya michezo au international organization will never supersede laws of the land, hata kama sio court wanaweza resolve kwa mediation, hakuna court huru inaweza kukataa kesi kwa sababu vyama vya mpira or international organization vimejiwekea utaratibu wa kutokwenda mahakamani
 
Bado sijaelewa hili jambo , ilidaiwa Manara kafungiwa asishiriki shughuli za Soka za ndani na nje ya nchi kwa miaka miwili , sasa leo kaonekana kwenye tamasha la Yanga , KWA KISINGIZIO CHA MC WA KUKODIWA , na baada ya kumaliza kuwatambulisha wachezaji wa Yanga , Manara amedai kwamba hajihusishi na soka na anaondoka kwenda huko Kigogo kufanya shughuli zake za UMC kwenye harusi .

Hili jambo limekaaje jamani ?
Mambo ya YANGA tuachie wenyewe, wewe hutayaelewa.
Kwenye safu ya wageni waalikwa ulimuona Nani na Nani?
Ama unataka tuisambaratishe TFF Kama traffic police?
 
Hapa Yanga wakiadhibiwa na TFF watasema wameonewa. Ki ukweli Yanga ni kubwa zaidi akili na jina la Manara. Kuna haja ya viongozi wa timu kutoingiza timu kwenye migogoro na mamlaka za soka na michezo kwa cheaper reasoning eti, 'mc'

Huu ni ukaidi, ipo siku Manara atamshika 'kalio' hadharani Injinia Hersi au Ghalib Said ndio wataona faida ya adhabu ya TFF.
Alisha mshika Yule mvaa khanga. Alitanywa nini? Manara hatatumikia adhabu na hamumfanyi chochote.
 
Bado sijaelewa hili jambo , ilidaiwa Manara kafungiwa asishiriki shughuli za Soka za ndani na nje ya nchi kwa miaka miwili , sasa leo kaonekana kwenye tamasha la Yanga , KWA KISINGIZIO CHA MC WA KUKODIWA , na baada ya kumaliza kuwatambulisha wachezaji wa Yanga , Manara amedai kwamba hajihusishi na soka na anaondoka kwenda huko Kigogo kufanya shughuli zake za UMC kwenye harusi .

Hili jambo limekaaje jamani ?
We yanakuhusu mikia fc
 
Ndiyomaana nikaandika ni mwendo wa kuvurugana , mwenyewe sielewi!
===
The Tanzania Football Federation (TFF), previously Football Association of Tanzania (FAT), is the governing body of football in Tanzania and oversees the Tanzania national football teams. It was founded in 1930 and is affiliated to FIFA since 1964.
===
Wanasema Wana shughulika na timu za Taifa.
Sasa nimeelewa baada ya kuguugo!! Nimesoma article 12 Membership ya katiba ya TFF.Kweli TFF wameshikiria mpini, Yanga tuna Makali. Manara ni wakuadhibiwa! Ikiwezekana na Yanga iadhibiwe kwa kuleta mchafuzi wa michezo nchini!
Hujui kinachoendelea
 
Mpeni jamaa nakala ya hukumu hayo yote yataisha . Nakala ya hukumu hamtaki kumpa mnahofia atakata rufaa . huku kanuni zenu zinasema adhabu itaanza kuhesabika Mara tu mtuhumiwa anapopewa nakala ya hukumu. Mnajikaanga kwa mafuta yenu.

Kwa akili zako timamu kabisaaa unaamini Manara hajapewa nakala hadi leo?
Na mbona hajihusishi tena isipokua siku ya jana na anautrtezi kwamba ile haikua shughuli za kimichezo bali ni u mc?
 
Kwa akili zako timamu kabisaaa unaamini Manara hajapewa nakala hadi leo?
Na mbona hajihusishi tena isipokua siku ya jana na anautrtezi kwamba ile haikua shughuli za kimichezo bali ni u mc?
Labda Jana alikua MC wa Netball
 
Huo u- mc kafanyia wapi kama sio kwenye soka? Huyo life ban inamuhusu.
We uliona Soka pale!!? wakati Haji anatambulisha...

Unaelewa Soka ni nini kwanza? Morrison wakati anazungumza alikuwa anacheza Soka?

Haji ni Dubwana Kubwa kwa Karia...
 
We uliona Soka pale!!? wakati Haji anatambulisha...

Unaelewa Soka ni nini kwanza? Morrison wakati anazungumza alikuwa anacheza Soka?

Haji ni Dubwana Kubwa kwa Karia...
Dubwana kubwa lilokosa akili,mtu kaenda uwanjani na kutambulisha wachezaji bado unasema huko sio kushiriki shughuli ya soka! Ulitaka aingie uwanjani kucheza!
 
Shughuli siyo ya TFF, na sidhani kama Yanga wameomba kibali TFF kufanya shughuli Yao ya kutambulisha wachezaji, watakuwa wamewafuata DRFA kwa ajili ya mechi ya saa 1 Usiku!!!
====
Ni mwendo wa kuvurugana tu hakuna namna!
Professionaliam kama ipo huwezi kuwafuata DRFA wakati unatambulisha wachezaji (ambayo ni shughuli rasmi inayotambulika kitaifa kama ni tamasha la michezo la yanga ) na ndio maana mgeni rasmi alisema "hapa sio sehemu ya kutoa hotuba bali ni sehemu ya kusherekea michezo" au kauli hiyo huelewi inamaanisha nini.

Kwa mujibu wa kauli hiyo, ile haikuwa harusi bali sherehe (shughuli) ya michezo, je, hukumu ya haji alifungiwa asijihusishe na nini?

Plz mi sio muumin wa matusi, kama utajibu jibu hoja yangu usitukane
 
Itambulike, kufungiwa kujihusisha na shughuli za mpira ni mapana sana, huyu Manara anaonekana kweli ni gangster, hajui lolote.

Hapa uwe mpira wa mashindano, bonanza kama hilo la Yanga SC, au mechi nyingine ya kirafiki, hizi zote ni shughuli za mpira ambazo alifungiwa.

Aidha, neno "shughuli" lina tafsiri nyingi na ni pana pia, inaweza kuwa MC wa shughuli za mpira, refa wa mechi, daktari wa timu, nk.

Hayo yote Manara alishafungiwa, inaonekana hata taasisi ya Yanga SC haina wajuvi wa sheria, wanamuacha tu huyo kichaa wao azidi kuwaharibia, wasishindane na mamlaka.
Hayo yote yangeeleweka kama angepatiwa nakala ya hukumu ilikusudi ajue ni eneo gani hasa linamzuia asijihusishe na shughuli za michezo

Nje ya hapo wacha viumane

Lkn pia tff wajue mwenye yanga yake yupo na anawachora tu, wao wenyey Wana makandokando kibao watu wakianza kufukua makaburi wasianze kulialia
 
Back
Top Bottom