#COVID19 Hata kama tunawachukia, tukubali kuwa Rwanda wametuzidi Kimkakati na kwa Fikra za Kimaendeleo

#COVID19 Hata kama tunawachukia, tukubali kuwa Rwanda wametuzidi Kimkakati na kwa Fikra za Kimaendeleo

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Rwanda has launched door-to-door Covid-19 vaccinations for vulnerable groups, including the elderly.

Local leaders and community health workers will facilitate nurses by allocating the beneficiaries and collecting necessary data.

Beneficiaries can call a toll-free number or consult community health workers nearby to get the vaccine.

Dr Tharcisse Mpunga, Minister of State in Charge of Primary Healthcare, said that the reason for delivering the vaccines for vulnerable people to their homes was due to the high demand for jabs by young people.

"The demand for the vaccine is very high, especially by young people. We do not have enough vaccines to inoculate 60 percent yet, so we started with those at risk. We are hoping to get more vaccines to reach more people," Dr Mpunga said.

According to the Ministry of Health statistics, 60 percent of Covid-19 deaths are people above the age of 60.

The current mass vaccination targets people aged 40 and above, pregnant and nursing mothers, and other people with conditions that predispose them to serious illness.

Source: Rwanda: Govt Launches Door-to-Door Covid-19 Vaccination for Vulnerable Groups
 
Nchi ambayo imetoka Kuchinjana na Kuuana kwa GENOCIDE leo hii Kutulia na kuja na Mikakati kabambe ya Kimaendeleo katika nyanja mbalimbali za Kimaisha kama hivi ni Jambo la Kupongeza na ikiwezekana hata Mataifa mengine Jirani na Makubwa yaliyowekeza zaidi katika Majungu, Upuuzi na Ujuha nayo yana cha Kujifunza kutoka kwa Rwanda.
 
Ni ka nchi kadogo sana ,kukamoniter
ni rahisi
Una uwezo mdogo mno wa Akili Ndugu na pole sana kwa hilo. Kwahiyo unataka kusema hakuna nchi zenye Ukubwa wa Kijiografia na hata kwa Idadi ya Watu na bado tu zina Maendeleo makubwa? China ni ndogo kama Rwanda?

Nitoe RAI tu kama unajijua kuwa bado IQ yako ni ya Punje ya Mchele hasa katika Kujadili Mada za Kimantiki ni heri tu unyamaze na uwaache waliokuzidi Akili wachangie nawe pia ujifunze kwani si lazima pia kila Mada ukurupuke Kuichangia JamiiForums.
 
Ni vizuri tukajifunza kutoka kwao, kwanza Watumishi wao wa Umma wana nidhamu sio wapigaji wa Mabilioni kama hawa wa kwetu.

Halafu hawana matamko ya ovyo ovyo kama hawa wabahatishaji wa kwetu.
 
Ni ka nchi kadogo sana ,kukamoniter
ni rahisi
"kadogo sana"..
Labda kwa eneo lakini ina watu wengi sana ukilinganisha na eneo..
Tanzania eneo 945K km2..
Rwanda eneo 26K km2..(zaidi ya Mara 36)
Idadi ya Watu Tanzania takribani 60M..
Idada ya Wtu Rwanda takribani 12.6M..(Mara 5 tu kwa Tz)
Si nchi ya kuidharau kwa "udogo" huo unaoweza "kuumoniter"

Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
 
Rwanda haina viongozi MANUNDA kama hawa
IMG_20210816_175959_504.JPG
 
Nchi ambayo imetoka Kuchinjana na Kuuana kwa GENOCIDE leo hii Kutulia na kuja na Mikakati kabambe ya Kimaendeleo katika nyanja mbalimbali za Kimaisha kama hivi ni Jambo la Kupongeza na ikiwezekana hata Mataifa mengine Jirani na Makubwa yaliyowekeza zaidi katika Majungu, Upuuzi na Ujuha nayo yana cha Kujifunza kutoka kwa Rwanda.
Hawaendekezi ujinga wa wachungaji kama Gwajima
 
Rwanda has launched door-to-door Covid-19 vaccinations for vulnerable groups, including the elderly.

Local leaders and community health workers will facilitate nurses by allocating the beneficiaries and collecting necessary data.
Ndiomana walifurahia Magufuli kufa ili wasipate changamoto kimaendeleo ili tanzania iwe fursa kwao kama ngazi
 
Chuki zako baki nazo peke yako,hatuwezi kuungana nchi nzima kwenye chuki ya kuichukua nchi ya Rwanda.
 
Back
Top Bottom