Mkuu Kama mnaona hii nchi Ni kubwa Sana kuiletea maendeleo, na Rwanda wameweza kwa sababu ya udogo wa nchi yao Basi kwa nini na sisi tusianzishe serikali za majimbo ili Basi owe rahisi kwa viongozi wa majimbo hayo kubuni mbinu za kuleta maendeleo kwa Kasi na kwa kutumia rasilimali zinazopatikana kwenye eneo husika? Otherwise tukubali tu mazaifu yetu Kama nchi tuna tatizo kubwa linalotukwamisha Ila hatutaki kukubali. Niishie hapo.Mapambano ya ka mkoa kamoja unataka yawe sawa naya nchi kubwa ..amia uko.