Sabaya hakupita JKT.lijinga kabisaSabaya kaongea mambo ambayo wala hatukupaswa kujua kama kweli alitumwa na mamlaka. Anamtaja Dkt. Mpango katika sakata lake hata kama anajua kilichompeleka Arusha au Moshi hayakuwa mambo ya kuweka hadharani kwa sasa huyo Mpango ni Rais siyo tena waziri. Asitafute huruma kama ni mission maalumu iishe kwa siri kama ilivyoanza.
Ukitumwa mission ya siri hata kama utakuwa unakufa itunze sirbayai, Sabaya anaogopa kufungwa?
Sikutarajia kama jamaa alivyo mwamba kumbe empty kiasi hicho.
Usitufananishe na huyo Zuzu.Ni wazi kabisa kwa mtililiko ule wa ushahidi uliotolewa na mashahidi wa upande wa mashtaka, ile kesi ilimlemea sabaya,
kwa vyovyote vile mawakili wa Sabaya waliona hawachomoki hapo ndipo wakaamua kumshauri aongee alichozungumza leo,
kwa namna nyingine Sabaya amekiri kwamba matukio yale aliyatenda ila kwa maelekezo kutoka kuu, kifuatacho na Rais Samia atatajwa
sasa tunasubiri DR Mpango na Gavana wa Benki muitwe mahakamani kutoa ushahidi,
Ahsanteni
View attachment 1891235
Mnao jidai na hicho chama, yanawaingia haya au kunana kitu mnajifunza!?Ni wazi kabisa kwa mtililiko ule wa ushahidi uliotolewa na mashahidi wa upande wa mashtaka, ile kesi ilimlemea sabaya,
kwa vyovyote vile mawakili wa Sabaya waliona hawachomoki hapo ndipo wakaamua kumshauri aongee alichozungumza leo,
kwa namna nyingine Sabaya amekiri kwamba matukio yale aliyatenda ila kwa maelekezo kutoka kuu, kifuatacho na Rais Samia atatajwa
sasa tunasubiri DR Mpango na Gavana wa Benki muitwe mahakamani kutoa ushahidi,
Ahsanteni
View attachment 1891235
Ukijiona akili nyingi sana jua huna kabisa.Tokea lini ulijua Sabaya ni mwamba? Huoni ww ndio akili yako ilikudanganya? Jamani, akili si mmepewa na Mwenyezi Mungu, kwann hamtumii kufikiri vema? Mwanadamu yupi tokea dunia imeumbwa akawa Mwamba, yaani yeye ndio yeye, shujaa, au hafanywi kitu, yupi? Eid Amin kafa, Gadaffi kafa, Saddam kafa, Osama kafa, et al, who is mwamba? Ebu acheni IQ ndogo hivyo