Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Li timu lao libovu wanatafta sehemu ya kupunguza hasiraMbumbumbu umeanza kuwashwa
Hahaha mipaja ya kingwenduWe sema unaonea wivu mipaja ya watoto Wazuri wa mwananchi, ahaaaa
Si bora kuwa na wenye akili wawili kuliko wote kuwa mbumbumbu?[emoji23]Weka kwa kutumia common sense tu badala ya ushabiki. Au ndio wenye akili wawili tu?
Alisema vinjunga/vipensiAlly Kamwe no sehemu ya viongozi, Tena ni msemaji rasmi wa yanga. Kama kauli ingetolewa na shabiki wa yanga au mtu yoyote asiyekuwepo kwenye uongozi tusingewalaumu.
Pole sana! Kwa kuwa hujaielewa falsafa ya msemaje hajahamasisha hicho unachosema, labda Kama hujui maana ya KEYTunaelewa kuwa Yanga imejaa viongozi wahuni ambao hawaridhiki mpaka wafanye jambo la kihuni. Bahati mbaya watu smart nao hawana cha kusikilizwa zaidi ya kukenua meno tu.
Hata kama, lakini huku mnakoeleka sio sawa. Mnadhalilisha mashabiki wenu. Hii ya kulazimisha mashabiki waje nusu uchi uwanjani sio sawa. Ni mambo yanayothibitisha pia usemi kwamba wenye akili ni wawili tu. Haiwezekani timu nzima waona hili ni sawa.
Naamini humu JF hakuna shabiki anaweza kufanya hivi. Je. Umeona picha ya kiongozi wa Yanga kufanya hivyo. Hakuna.
Kuna sehemu umeona nimeandika kuhusu uchi?Alisema vinjunga/vipensi
Sasa hapo uchi umetoka wapi
we INAKUMA nn!!!waachie timu yao..Tunaelewa kuwa Yanga imejaa viongozi wahuni ambao hawaridhiki mpaka wafanye jambo la kihuni. Bahati mbaya watu smart nao hawana cha kusikilizwa zaidi ya kukenua meno tu.
Hata kama, lakini huku mnakoeleka sio sawa. Mnadhalilisha mashabiki wenu. Hii ya kulazimisha mashabiki waje nusu uchi uwanjani sio sawa. Ni mambo yanayothibitisha pia usemi kwamba wenye akili ni wawili tu. Haiwezekani timu nzima waona hili ni sawa.
Naamini humu JF hakuna shabiki anaweza kufanya hivi. Je. Umeona picha ya kiongozi wa Yanga kufanya hivyo. Hakuna.
Muhasibu daraja la kwanza,ahaaaaaCPA Okw katika ubora wake.
AahaaaMashabiki wa simba acheni kuteseka na mambo yasiyo wahusu. Hao mashabiki wakiamua kufanya hivyo, waache wafanye. Hiyo ndiyo furaha yao.
Mbona na nyinyi wakati wa tamasha lenu la simba day huwa mnafanya maigizo ya kujinyonga, kuingia uwanjani mkiwa kwenye majeneza, nk! Na tumekuwa tukiwashauri muache, lakini hamtaki?
Sasa kukunja bukta tu ndiyo iwe nongwa!!!
Mafi ya kuku mhasibu CPA ya mboga2.Muhasibu daraja la kwanza,ahaaaaa
Mbumbumbu fc...RAGE AJENGEWE SANAMU PALE MSIMBAZINilipojua kuwa WENYE AKILI NI WAWILI TU MZEE KIKWETE NA MZEE MANARA.
Sitaki kabisa KUBISHANA nao, kuwafundisha Wala kuwaelekeza.
Kijana wao ALISEMA mgunda na andazi unachagua nini.........................
N I M A A T A A H I R A.
Mkuu tuombe radhi!Mashabiki wanatumia ugoro, bangi na gongo.
Aahaaaa,umeua mkuuIla sema TIMU za kariakoo tabu Sana.
Siku ya MWANANCHI SIMBA wakaleta KIBEGI, KIBEGI kwa asilimia Fulani kikameza na kufifiza siku ya MWANANCHI.
Tangu hapo WANANCHI wakasema watalipa kisasi,.
Yanga kwenda Rwanda na Simba kwenda Uganda.
Safari ya YANGA Rwanda ikazima safari ya SIMBA Uganda asilimia kubwa watu walikuwa wanaijadili YANGA kuliko SIMBA.
Sasa mechi za Marudiano YANGA wametawala kwa kauli mbiu Tu ya KEY DAY.
KEY day imekuwa mjadala mkubwa mpaka mashabiki wa SIMBA wameingia mazima wamesahau mechi yao kama ilivyo mashabiki wa YANGA walipoingia mazima kwenye KIBEGI huku wakisahau siku ya MWANANCHI DAY.
Mwisho WA siku hakuna aliyelazimishwa kuvaa hivyo ni KEY DAY wangeweza fanya kama huyu hapa.
Mwisho Naitakia kila lenye kheri YANGA TIMU yangu hapo kesho.
Na mambumbumbuHakuna Mwenye akili kule, Wote Wehu kama alivyosema Mzungu pori....... (Ukiwaondoa JK na Baba ake)
Wote waliobaki Wehu.....
Hataree.....Kihasibu hii tuna iitaje?View attachment 2766436
Wewe unazungumzia mashabiki? njoo kwa wachezaji wa Simba huku.Mashabiki wa hii timu wengi ni wahuni,ukitaka kujua chunguza siku ya mechi yao yoyote wakishinda,lazima wanawake wao wajitoe utupu wengine bure kabisa.
Hata walipokuwa wakienda Rwanda waliwaza ushindi na ngono.
Hiyo ni kawaida yao