Hata kama Yanga atatoka makundi bado atakuwa kafikia lengo. Hakuahidi uongo kwa mashabiki zake

Hata kama Yanga atatoka makundi bado atakuwa kafikia lengo. Hakuahidi uongo kwa mashabiki zake

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Yanga alijiwejea lengo la kufika hatua ya Makundi CAF CL, na keshatimiza lengo hilo, ikitokea ziada hiyo ni bonus.

Sema mashabiki wanakuwa na expectations kubwa sana sababu wanaiona timu yao iko vizuri mno, lakini Yanga inaelewa ugumu wa mashindano ya kimataifa na huwa haiwapi mashabiki wake ahadi hewa, na ndio maana imekuwa taasisi stable.

Ubaya ni kuwapa moyo mashabiki kuwa utafika nusu fainali kumbe hata kutinga hiyo hatua ya makundi yenyewe ni mtihani mkubwa kwako, inaonekana hujielewi, hujitambui kuwa wewe ni mdogo kiasi gani ni kuwajaza tu mashabiki upepo nao wanajaa, mwisho wa siku timu inakuwa kwenye crisis.
 
Yanga alijiwejea lengo la kufika hatua ya Makundi CAF CL, na keshatimiza lengo hilo, ikitokea ziada hiyo ni bonus

Sema mashabiki wanakuwa na expectations kubwa sana sababu wanaiona timu yao iko vizuri mno, lakini Yanga inaelewa ugumu wa mashindano ya kimataifa na huwa haiwapi mashabiki wake ahadi hewa, na ndio maana imekuwa taasisi stable


Ubaya ni kuwapa moyo mashabiki kuwa utafika nusu fainali kumbe hata kutinga hiyo hatua ya makundi yenyewe ni mtihani mkubwa kwako, inaonekana hujielewi, hujitambui kuwa wewe ni mdogo kiasi gani ni kuwajaza tu mashabiki upepo nao wanajaa, mwisho wa siku timu inakuwa kwenye crisis
Acha makasiriko,Madeama na Mualjeria hawatoki kwa Mkapa.
Wasiwasi wako nini?
 
Yanga alijiwejea lengo la kufika hatua ya Makundi CAF CL, na keshatimiza lengo hilo, ikitokea ziada hiyo ni bonus

Sema mashabiki wanakuwa na expectations kubwa sana sababu wanaiona timu yao iko vizuri mno, lakini Yanga inaelewa ugumu wa mashindano ya kimataifa na huwa haiwapi mashabiki wake ahadi hewa, na ndio maana imekuwa taasisi stable


Ubaya ni kuwapa moyo mashabiki kuwa utafika nusu fainali kumbe hata kutinga hiyo hatua ya makundi yenyewe ni mtihani mkubwa kwako, inaonekana hujielewi, hujitambui kuwa wewe ni mdogo kiasi gani ni kuwajaza tu mashabiki upepo nao wanajaa, mwisho wa siku timu inakuwa kwenye crisis
JamiiForums-361836221.jpg


Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Yanga alijiwejea lengo la kufika hatua ya Makundi CAF CL, na keshatimiza lengo hilo, ikitokea ziada hiyo ni bonus

Sema mashabiki wanakuwa na expectations kubwa sana sababu wanaiona timu yao iko vizuri mno, lakini Yanga inaelewa ugumu wa mashindano ya kimataifa na huwa haiwapi mashabiki wake ahadi hewa, na ndio maana imekuwa taasisi stable


Ubaya ni kuwapa moyo mashabiki kuwa utafika nusu fainali kumbe hata kutinga hiyo hatua ya makundi yenyewe ni mtihani mkubwa kwako, inaonekana hujielewi, hujitambui kuwa wewe ni mdogo kiasi gani ni kuwajaza tu mashabiki upepo nao wanajaa, mwisho wa siku timu inakuwa kwenye crisis
Kwa hiyo yule mpiga tarumbeta wenu alipokua anapigia mahesabu ya pointi 9 za nyumbani ili kufuzu robo fainali alikua anaongelea timu gani ?
"Karuka tena karuka,matunda akarukia
Kachoka tena kachoka,kachoka hata mkia"
Hatimaye "sizitaki mbichi hizi" je ni mbichi kweli au kushindwa kunasumbua ?
 
Kama mnajiwekea lengo la kufika hatua ya makundi, bila shaka mkijua kuingia robo fainali ni assignment ngumu sana. Basi yafaa sana muiheshimu Simba SC ambayo imekuwa inavuka hadi robo fainali kwa miaka kadhaa sasa.
 
Yanga alijiwejea lengo la kufika hatua ya Makundi CAF CL, na keshatimiza lengo hilo, ikitokea ziada hiyo ni bonus.

Sema mashabiki wanakuwa na expectations kubwa sana sababu wanaiona timu yao iko vizuri mno, lakini Yanga inaelewa ugumu wa mashindano ya kimataifa na huwa haiwapi mashabiki wake ahadi hewa, na ndio maana imekuwa taasisi stable.

Ubaya ni kuwapa moyo mashabiki kuwa utafika nusu fainali kumbe hata kutinga hiyo hatua ya makundi yenyewe ni mtihani mkubwa kwako, inaonekana hujielewi, hujitambui kuwa wewe ni mdogo kiasi gani ni kuwajaza tu mashabiki upepo nao wanajaa, mwisho wa siku timu inakuwa kwenye crisis.
Walishasema kwamba kwa Yanga wenye akili hamnq
 
Uko sahihi Mzee,,, wakolokwinyo tuwaache wajitekenye,,
Yanga ikishinda mevmchi mbili za Nyumbani,, then CR belouizdad alikifungwa na Al ahly.. Yanga itaingia robo.
All in All malengo ya Yanga yametimia haya mengi ni Extra tu
 
Waambie Uto wakome kubeza mafanikio ya wenzao, unafikiri robo fainali ya CAF Champions ni mchezo.

Watu washatoboa mara 04 ebooo. Mwacheni mnyama aitwe mnyama.
 
Yanga alijiwejea lengo la kufika hatua ya Makundi CAF CL, na keshatimiza lengo hilo, ikitokea ziada hiyo ni bonus.
Msimu ujao tuweke lengo la kufika raundi ya pili ili tufikie lengo mapema na kirahisi. Hersi mjanja sana, hakutaka ghasia za mashabiki!
😁😁😁
 
Waambie Uto wakome kubeza mafanikio ya wenzao, unafikiri robo fainali ya CAF Champions ni mchezo.

Watu washatoboa mara 04 ebooo. Mwacheni mnyama aitwe mnyama.
We kweli fuso [emoji28]
 
Yanga alijiwejea lengo la kufika hatua ya Makundi CAF CL, na keshatimiza lengo hilo, ikitokea ziada hiyo ni bonus.

Sema mashabiki wanakuwa na expectations kubwa sana sababu wanaiona timu yao iko vizuri mno, lakini Yanga inaelewa ugumu wa mashindano ya kimataifa na huwa haiwapi mashabiki wake ahadi hewa, na ndio maana imekuwa taasisi stable.

Ubaya ni kuwapa moyo mashabiki kuwa utafika nusu fainali kumbe hata kutinga hiyo hatua ya makundi yenyewe ni mtihani mkubwa kwako, inaonekana hujielewi, hujitambui kuwa wewe ni mdogo kiasi gani ni kuwajaza tu mashabiki upepo nao wanajaa, mwisho wa siku timu inakuwa kwenye crisis.
Hayo sio malengo, ni kujikatia tamaa.

Hata kwenye maisha unapopata fursa jikakamue hapo hapo utoboe.

Nani anajua ya mbeleni kama hata hiyo hatua ya makundi msifike.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yanga alijiwejea lengo la kufika hatua ya Makundi CAF CL, na keshatimiza lengo hilo, ikitokea ziada hiyo ni bonus.

Sema mashabiki wanakuwa na expectations kubwa sana sababu wanaiona timu yao iko vizuri mno, lakini Yanga inaelewa ugumu wa mashindano ya kimataifa na huwa haiwapi mashabiki wake ahadi hewa, na ndio maana imekuwa taasisi stable.

Ubaya ni kuwapa moyo mashabiki kuwa utafika nusu fainali kumbe hata kutinga hiyo hatua ya makundi yenyewe ni mtihani mkubwa kwako, inaonekana hujielewi, hujitambui kuwa wewe ni mdogo kiasi gani ni kuwajaza tu mashabiki upepo nao wanajaa, mwisho wa siku timu inakuwa kwenye crisis.
Kuweka malengo finyu ni aina ya ulaghai.Ni sawa na halmashauri inayojua inatakiwa kukusanya bilioni kumi,ikajiwekea lengo la kukusanya bilioni moja unusu tu.Halafu wakikusanya zaiidi wanajiandalia hadi sherehe.Ni uhuni wa wazi.
 
Uko sahihi Mzee,,, wakolokwinyo tuwaache wajitekenye,,
Yanga ikishinda mevmchi mbili za Nyumbani,, then CR belouizdad alikifungwa na Al ahly.. Yanga itaingia robo.
All in All malengo ya Yanga yametimia haya mengi ni Extra tu
Kuna mtu anayetaka kuwa wa "mwisho" kwenye ushindani?Mnaandika kama vidole vyenu vimeibwa.
 
Back
Top Bottom