Elius W Ndabila
JF-Expert Member
- Jul 17, 2019
- 324
- 649
Na Elius Ndabila
0768239284
Ni kweli kuwa lugha ya Kiswahili pamoja na historia yake kubwa, lakini ni ukweli kuwa inazungumzwa sana pwani ya Afrika Mashariki. Na Tanzania ndiyo nchi ambayo ni Mama wa Kiswahili.
Tulimushuhudia Rais wa awamu ya Tano akitumia kila jitihada za kukuza na kueneza Kiswahili. Ni waazi kuwa ndoto yake ilikuwa ni kuona siku moja Afrika yote inafundishwa na kuzungumza Kiswahili.
Tanzania tu kuwa chimbuko la lugha ya kiswahili ingetumika kama fursa ya kutengeneza ajira kwenye nchi zinazotaka kufundishwa kiswahili.
Sina uhakika kama Watu wanajua kuwa Kenya ndiyo inajulikana kama nchi ya Waswahili. Kenya inajulikana kuliko Tanzania. Hivyo nchi yoyote ikitaka kutafuta Mwalimu wa Kiswahili inaenda kutafuta Kenya na si Tanzania. Fursa za ajira ambazo zingetengenezwa Tanzania zinaenda Kenya.
Ukisoma hata kwenye mitandao ikiwepo App ya language Translate wanakuletea Kenya Swahili na si Tanzania Swahili.
Hii inadhihilisha wazi kuwa bado kwenye diplomasia ya uchumi Kenya wametumia vizuri fursa kuliko Tanzania. Kitendo tu cha App kutokuonyesha Tanzania Swahili na kuonyesha Kenya Swahili huu ni ushahidi tosha kuwa Kenya wanafanya vizuri.
0768239284
Ni kweli kuwa lugha ya Kiswahili pamoja na historia yake kubwa, lakini ni ukweli kuwa inazungumzwa sana pwani ya Afrika Mashariki. Na Tanzania ndiyo nchi ambayo ni Mama wa Kiswahili.
Tulimushuhudia Rais wa awamu ya Tano akitumia kila jitihada za kukuza na kueneza Kiswahili. Ni waazi kuwa ndoto yake ilikuwa ni kuona siku moja Afrika yote inafundishwa na kuzungumza Kiswahili.
Tanzania tu kuwa chimbuko la lugha ya kiswahili ingetumika kama fursa ya kutengeneza ajira kwenye nchi zinazotaka kufundishwa kiswahili.
Sina uhakika kama Watu wanajua kuwa Kenya ndiyo inajulikana kama nchi ya Waswahili. Kenya inajulikana kuliko Tanzania. Hivyo nchi yoyote ikitaka kutafuta Mwalimu wa Kiswahili inaenda kutafuta Kenya na si Tanzania. Fursa za ajira ambazo zingetengenezwa Tanzania zinaenda Kenya.
Ukisoma hata kwenye mitandao ikiwepo App ya language Translate wanakuletea Kenya Swahili na si Tanzania Swahili.
Hii inadhihilisha wazi kuwa bado kwenye diplomasia ya uchumi Kenya wametumia vizuri fursa kuliko Tanzania. Kitendo tu cha App kutokuonyesha Tanzania Swahili na kuonyesha Kenya Swahili huu ni ushahidi tosha kuwa Kenya wanafanya vizuri.