Hata Kusimamisha Mradi wa Bandari ya Bagamoyo Rais Magufuli aliokoa Taifa

Hata Kusimamisha Mradi wa Bandari ya Bagamoyo Rais Magufuli aliokoa Taifa

Ccm wameishiwa pumzi kabisa Leo dhambi inawatafuna waliiba sasa wameamua kurudisha kwa uwezo wa Allah
 
Dah ila Kikwete kaiba siyo mchezo. Dart kamega mamia ya mabilioni. Hazina kafyeka. Richmond kala. Iptl kila siku anapata mgao wake. Huko bandarini home shopping na makonteina kalamba. Cha kukasirisha anamuita lowasa fisadi. Gesi asilia kasafisha. Hii ya bandari ya bagamoyo alidhani Membe atakuwa rais hili waendelee kuifilisi nchi. Halafu anaomba wamuache apumzike.

Devil
Halafu eti kutwa wanasifiwa watoto wa mjini. Tumerogwa, wamejipendelea hadi kufuru
 
Wadau mimi naona kama Rais Magufuli akiendelea hivi we don't another President kwani miaka 20 ya Demokrasia Tanzania tumepata maafa ya kiuchumi.
Allah Bless Magufuli.
 
Yaani kitu cha ajabu akasimamisha bagamoyo akaanzisha chato.
Sasa tofauti yake ni nn? Alichofanya ni kuamisha tu hela ya bagamoyo akaipeleka chato sasa unamsifia kwa lipi? Acheni unafiki
 
That was a white elephant project
Are you sure?
Have even read the whole business plan of the project?
Msimpe sifa JPM kwa kuwachafua wengine. Hiyo miradi imepitishwa JPM akiwa mwana CCM na hadi leo ni mwana CCM. Huwezi mtenganisha na ufisadi.
 
Wadau mimi naona kama Rais Magufuli akiendelea hivi we don't another President kwani miaka 20 ya Demokrasia Tanzania tumepata maafa ya kiuchumi.
Allah Bless Magufuli.
Acha ushamba wewe.
Ameuza nyumba za taifa, kivuko cha bagamoyo, kununua ndege kwa cash na mengine mengi.
Hata hao waliopita wanajua jinsi fisadi alivyo..
 
Wadau mimi naona kama Rais Magufuli akiendelea hivi we don't another President kwani miaka 20 ya Demokrasia Tanzania tumepata maafa ya kiuchumi.
Allah Bless Magufuli.
brother/sister, samahani ulikuwa unamaanisha nini hapa. Mimi ni wale wa kk (kujua kusoma na kuandika)
 
Mtoto wa mjini hana hata aibu kwa alivojipendelea yeye, eneo lake, dini yake. Yaani kama sio muda wake kuisha ilibaki kidogo nchi nzima tusilimu tu kama kina lugumi ili na wewe uonekane mtanzania
Maccm yote hayana aibu. Kule chato mnajenga nini ss hivi?
 
Kwahiyo nyie mlioko CDM ni kwamba kila linaloendelea na kufanya na viongozi wenu mnakubaliana nalo 100%, huwa hakuna pahala nguvu ya wengi inawaacha wachache ama kwenu demokrasia ni vazi tu? Na kama mna demokrasia kweli basi naamini si wote katika chama chenu huwa mnakubaliana na kama nyote mnakubaliana kwa kila jambo basi ni wazi pia, hamna demokrasia. Demokrasia kwa maana nyingine ni lazima kuwepo na mawazo tofauti lakini siku zote mawazo ya wengi ndio ushinda na ndo ubeba maamuzi.

Vivyo hivyo, CCM nako walikuwa na yao. Naamini wengi wao walishakaa ki upigaji pigaji lakini naamini wale wachache pia (akina Magufuli) nao walikuwepo ila kwa vile wanaokuwa wengi wanaruhusiwa kuungwa mkono hata kwa kuhusisha njia haramu za kulaghai na ndo walioko madarakani (bosi) basi nyie wachache mawazo yenu hayawezi kupenya. Kuna mambo JPM simwelewi lakini kumtizama JPM kwa macho ya wana CCM walio wengi nafikiri itakuwa ni kutokumwelewa vizuri ama kujianya msanii. JPM ni CCM lakini JPM ni JPM katika yeye, waulize CCM wenyewe watakusaidia kumfahamu vizuri zaidi.
Mimi ni ppt maendeleo
 
Mtoto wa mjini hana hata aibu kwa alivojipendelea yeye, eneo lake, dini yake. Yaani kama sio muda wake kuisha ilibaki kidogo nchi nzima tusilimu tu kama kina lugumi ili na wewe uonekane mtanzania
Hapana not to that extent.!!¡
 
Hiyo ni miradi ya ccm haiwezi kufa hivi hivi unafilili watakula wapi
 
Back
Top Bottom