M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
Kwa Nguvu ya CCM Hata LISSU awe Makamu Mwenyekiti wa CCM hana madhara (Debe tupu).
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja waje utajuta kuandika haya!Kwa Nguvu ya CCM Hata LISSU awe Makamu Mwenyekiti wa CCM hana madhara (Debe tupu).
Hata hivyo hamna mtu anataka maajabu!Kwa Nguvu ya CCM Hata LISSU awe Makamu Mwenyekiti wa CCM hana madhara (Debe tupu).
wananchi wa jamhuri ya MuunganoNguvu ya ccm ni ya wananchi au dola?
hata tundu lisu mwenyewe kwa kinywa chake akiwa anahojiwa na salim kikeke kwenye kipindi cha tv aliwahi kusema kwamba "yeye ana akili timamu sawa sawa kwa hiyo hawezi kuhamia ccm."Kwa Nguvu ya CCM Hata LISSU awe Makamu Mwenyekiti wa CCM hana madhara (Debe tupu).
LISSU ALIKUWA NA MADHARA...Kwa Nguvu ya CCM Hata LISSU awe Makamu Mwenyekiti wa CCM hana madhara (Debe tupu).
Mshaanza kumkubali eeh..🤣🤣🤣Kwa Nguvu ya CCM Hata LISSU awe Makamu Mwenyekiti wa CCM hana madhara (Debe tupu).
Atafute kazi ya kufanyaMshaanza kumkubali eeh..🤣🤣🤣
Kwa Nguvu ya CCM Hata LISSU awe Makamu Mwenyekiti wa CCM hana madhara (Debe tupu).
Mbowe ni Jenerali wa MaishaSasa mbona wana ccm wanampigania mbowe
wananchi wa jamhuri ya Muungano