Hakuna uwezekano wowote ule wa kuwaamini viongozi wa CCM, hata kama wewe ni Mjinga kiasi gani, ili uwaamini unapaswa kuwa huna kabisa Ubongo.
Dkt Magufuli aliyekuwa Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM kama alivyo Samia Suluhu leo, Aliagiza waliomshambulia Tundu Lissu watafutwe, na katika ujumbe wake alijidai kusikitishwa sana na Shambulio lile, wako wanaosema Alilia kinafiki na machozi yakamtoka.
Sasa Je Uchunguzi wa Shambulio la Lissu ulifanyika?
Soma Pia: Rais Samia aagiza Vyombo vya Uchunguzi kumpa taarifa ya kina ya Kifo cha Ali Mohamed Kibao
Ujasiri wa kumuamini huyu Rais wa sasa mnautoa wapi?