Hata Magufuli aliagiza Uchunguzi wa shambulio la Lissu Ufanyike, Je Ulifanyika? Ujasiri wa kuamini kauli ya Rais Samia mnautoa wapi?

Hata Magufuli aliagiza Uchunguzi wa shambulio la Lissu Ufanyike, Je Ulifanyika? Ujasiri wa kuamini kauli ya Rais Samia mnautoa wapi?

Hakuna uwezekano wowote ule wa kuwaamini viongozi wa CCM, hata kama wewe ni Mjinga kiasi gani, ili uwaamini unapaswa kuwa huna kabisa Ubongo.

Dkt Magufuli aliyekuwa Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM kama alivyo Samia Suluhu leo, Aliagiza waliomshambulia Tundu Lissu watafutwe, na katika ujumbe wake alijidai kusikitishwa sana na Shambulio lile, wako wanaosema Alilia kinafiki na machozi yakamtoka.

Sasa Je Uchunguzi wa Shambulio la Lissu ulifanyika?

Soma Pia: Rais Samia aagiza Vyombo vya Uchunguzi kumpa taarifa ya kina ya Kifo cha Ali Mohamed Kibao


Ujasiri wa kumuamini huyu Rais wa sasa mnautoa wapi?
Samia alishasema kuwa yeye na Magufuli ni kitu kimoja
 
Hakuna uwezekano wowote ule wa kuwaamini viongozi wa CCM, hata kama wewe ni Mjinga kiasi gani, ili uwaamini unapaswa kuwa huna kabisa Ubongo.

Dkt Magufuli aliyekuwa Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM kama alivyo Samia Suluhu leo, Aliagiza waliomshambulia Tundu Lissu watafutwe, na katika ujumbe wake alijidai kusikitishwa sana na Shambulio lile, wako wanaosema Alilia kinafiki na machozi yakamtoka.

Sasa Je Uchunguzi wa Shambulio la Lissu ulifanyika?

Soma Pia: Rais Samia aagiza Vyombo vya Uchunguzi kumpa taarifa ya kina ya Kifo cha Ali Mohamed Kibao


Ujasiri wa kumuamini huyu Rais wa sasa mnautoa wapi?
Hata kitekwa kwa manji aliagiza lakini yalikuwa ma isidingo the need
 
Hakuna uwezekano wowote ule wa kuwaamini viongozi wa CCM, hata kama wewe ni Mjinga kiasi gani, ili uwaamini unapaswa kuwa huna kabisa Ubongo.

Dkt Magufuli aliyekuwa Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM kama alivyo Samia Suluhu leo, Aliagiza waliomshambulia Tundu Lissu watafutwe, na katika ujumbe wake alijidai kusikitishwa sana na Shambulio lile, wako wanaosema Alilia kinafiki na machozi yakamtoka.

Sasa Je Uchunguzi wa Shambulio la Lissu ulifanyika?

Soma Pia: Rais Samia aagiza Vyombo vya Uchunguzi kumpa taarifa ya kina ya Kifo cha Ali Mohamed Kibao


Ujasiri wa kumuamini huyu Rais wa sasa mnautoa wapi?
Ulisema polisi wachunguze hili jambo ingawa hawaaminiki....rais kasema vyombo vifanye uchunguzi ukweli ujulikane bado unang'aka....Sasa jema lipi unataka mkuu....maana tulitegemea ripoti ikitoka ndo muanze kupinga lakini hata kwa hiii kauli tu tyri ushaanza kuponda....mnataka hatua zipi zichukuliwe Sasa...hebu eleza labda...way forward ni ipi
 
May be Kwa LISU at least unaweza kujenga hoja kuwa alikuwa Mwiba mchungu Kwa serikali ya mwendazake,Sasa huyo Marehemu Ally mbona hata hakuwa MTU mwenye kukinzana na Dola?

Hadi ipelekee auwawe kifo kama Hiko.
Ukizoea kula nyama ya mbwa hata vitoto vya mbwa utakuwa unavitafuna ili ukidhi kiu ya kula nyama ya mbwa.
 
Ulisema polisi wachunguze hili jambo ingawa hawaaminiki....rais kasema vyombo vifanye uchunguzi ukweli ujulikane bado unang'aka....Sasa jema lipi unataka mkuu....maana tulitegemea ripoti ikitoka ndo muanze kupinga lakini hata kwa hiii kauli tu tyri ushaanza kuponda....mnataka hatua zipi zichukuliwe Sasa...hebu eleza labda...way forward ni ipi
Kwa akili yako unafikili Rais hafahamu kinachoendelea?kesi ya kutekwa MO ilifikia wapi pamoja na kwamba Magufuli aliagiza kuwa vyombo vya dola vifuatilie ikiwa ni pamoja na kumpeleka dereva wa gari iliyokodiwa mahakamani,baada ya hapo kitu gani kiliendelea?.

Kama ni kweli Rais hajui hiki kinachoendelea asingesubiri mpaka mtu auawe ndio aviagize vyombo vya dola vifanye uchunguzi,wakati kuna malalamiko kibao ya kutekwa kwa watu na hajachukua hatua zozote kama mkuu wa vyombo vyote vya ulinzi na usalama.

Atakapo kuja kutekwa mtoto wake Abdul,au kiongozi yoyote wa serekali,wa kwenye chama cha CCM au atakapokuja kutekwa Tulia hapo ndipo tutakapoamini kuwa Rais hajui na hahusiki na hiki kinachoendelea.
 
Hakuna uwezekano wowote ule wa kuwaamini viongozi wa CCM, hata kama wewe ni Mjinga kiasi gani, ili uwaamini unapaswa kuwa huna kabisa Ubongo.

Dkt Magufuli aliyekuwa Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM kama alivyo Samia Suluhu leo, Aliagiza waliomshambulia Tundu Lissu watafutwe, na katika ujumbe wake alijidai kusikitishwa sana na Shambulio lile, wako wanaosema Alilia kinafiki na machozi yakamtoka.

Sasa Je Uchunguzi wa Shambulio la Lissu ulifanyika?

Soma Pia: Rais Samia aagiza Vyombo vya Uchunguzi kumpa taarifa ya kina ya Kifo cha Ali Mohamed Kibao


Ujasiri wa kumuamini huyu Rais wa sasa mnautoa wapi?
Masauni angekuwa siyo Mzanzibar angeshatenguliwa haraka sn kuficha aibu ya nchi
 
Kwa akili yako unafikili Rais hafahamu kinachoendelea?kesi ya kutekwa MO ilifikia wapi pamoja na kwamba Magufuli aliagiza kuwa vyombo vya dola vifuatilie ikiwa ni pamoja na kumpeleka dereva wa gari iliyokodiwa mahakamani,baada ya hapo kitu gani kiliendelea?.

Kama ni kweli Rais hajui hiki kinachoendelea asingesubiri mpaka mtu auawe ndio aviagize vyombo vya dola vifanye uchunguzi,wakati kuna malalamiko kibao ya kutekwa kwa watu na hajachukua hatua zozote kama mkuu wa vyombo vyote vya ulinzi na usalama.

Atakapo kuja kutekwa mtoto wake Abdul,au kiongozi yoyote wa serekali,wa kwenye chama cha CCM au atakapokuja kutekwa Tulia hapo ndipo tutakapoamini kuwa Rais hajui na hahusiki na hiki kinachoendelea.
Alisema ni drama
 
Kwa akili yako unafikili Rais hafahamu kinachoendelea?kesi ya kutekwa MO ilifikia wapi pamoja na kwamba Magufuli aliagiza kuwa vyombo vya dola vifuatilie ikiwa ni pamoja na kumpeleka dereva wa gari iliyokodiwa mahakamani,baada ya hapo kitu gani kiliendelea?.

Kama ni kweli Rais hajui hiki kinachoendelea asingesubiri mpaka mtu auawe ndio aviagize vyombo vya dola vifanye uchunguzi,wakati kuna malalamiko kibao ya kutekwa kwa watu na hajachukua hatua zozote kama mkuu wa vyombo vyote vya ulinzi na usalama.

Atakapo kuja kutekwa mtoto wake Abdul,au kiongozi yoyote wa serekali,wa kwenye chama cha CCM au atakapokuja kutekwa Tulia hapo ndipo tutakapoamini kuwa Rais hajui na hahusiki na hiki kinachoendelea.
Kujua au kutokujua sio issue...social media zipo na hata Rais alisema huwa anachungulia social medias...hoja yangu mm kwa mkuu Erythrocytes ni namna anavyopinga Kila kitu...kwa sababu baada ya tukio kutokea nilisoma bandiko lake akisisitiza kwmba CCTV cameras za basi zipo zitumike kutambua wahusika walofanya hilo jambo na kusema polisi hawana cha kujitetea....Sasa imetoka kauli ya Rais kwmba vyombo vichunguze Ili mambo yajulikane...bado tena ndugu yetu analalamika...ndo maana nikamuuliza way forward ni ipi....kwasababu kungekuwa kimya lawama zipo pia kauli zimetoka bado lawama zipo...nilitegemea lawama zingekuwepo kama matokeo ya uchunguzi yqngekuja tofauti na matarajio ya jamaa yetu hapo ningemuelewa ila mpk Sasa sijamuelewa....unapinga for the sake of kupinga au unapinga kwa sababu uliyoyataka yafanyike bado hayajafanyika....hiyo ndo ilikuwa hoja yangu mkuu
 
Hakuna uwezekano wowote ule wa kuwaamini viongozi wa CCM, hata kama wewe ni Mjinga kiasi gani, ili uwaamini unapaswa kuwa huna kabisa Ubongo.

Dkt Magufuli aliyekuwa Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM kama alivyo Samia Suluhu leo, Aliagiza waliomshambulia Tundu Lissu watafutwe, na katika ujumbe wake alijidai kusikitishwa sana na Shambulio lile, wako wanaosema Alilia kinafiki na machozi yakamtoka.

Sasa Je Uchunguzi wa Shambulio la Lissu ulifanyika?

Soma Pia: Rais Samia aagiza Vyombo vya Uchunguzi kumpa taarifa ya kina ya Kifo cha Ali Mohamed Kibao


Ujasiri wa kumuamini huyu Rais wa sasa mnautoa wapi?
Magufuli aliweza kutuhumiwa kuhusu kifo cha Lissu na tuhuma zilifanana na aina ya awamu yake akiwa ni mtu mwenye hasira na asiyependa kukosolewa.

Samia unawezaje ukiwa na akili zako timamu ukamhusisha na mauaji ya huyo Kibao?. Lissu kapigwa risasi na akiwa kalazwa Nairobi ni Samia aliyekwenda hospitali kumjulia hali.

Samia amekuwa kiongozi wa kwanza kuhudhuria mkutano mkuu wa CHADEMA akiwa kaalikwa kwa nafasi yake, anaweza kutuma watu wamuue kiongozi wa kawaida wa CHADEMA?.

Kapambana mpaka Mbowe akatoka gerezani na akarudi uraiani unaweza kumhusisha na kifo cha Kibao?.

Ushahidi wa kimazingira tu unatosha kumuweka mbali Samia ni suala la kifo cha huyo mjumbe wa mkutano mkuu wa CHADEMA.
 
Wanajitekenya na kucheka wenyewe.

Kaona watu wamekuja juu kutokana na ukimya wake juu ya yanayoendelea, akawa hana namna.
 
Magufuli aliweza kutuhumiwa kuhusu kifo cha Lissu na tuhuma zilifanana na aina ya awamu yake akiwa ni mtu mwenye hasira na asiyependa kukosolewa.

Samia unawezaje ukiwa na akili zako timamu ukamhusisha na mauaji ya huyo Kibao?. Lissu kapigwa risasi na akiwa kalazwa Nairobi ni Samia aliyekwenda hospitali kumjulia hali.

Samia amekuwa kiongozi wa kwanza kuhudhuria mkutano mkuu wa CHADEMA akiwa kaalikwa kwa nafasi yake, anaweza kutuma watu wamuue kiongozi wa kawaida wa CHADEMA?.

Kapambana mpaka Mbowe akatoka gerezani na akarudi uraiani unaweza kumhusisha na kifo cha Kibao?.

Ushahidi wa kimazingira tu unatosha kumuweka mbali Samia ni suala la kifo cha huyo mjumbe wa mkutano mkuu wa CHADEMA.
Teh teh teh teeeeh!

Kuna wimbo unasema "kajivisha ngozi ya kondoo....." nimesahau muimbaji.
Mimi naimba tu.
 
Magufuli aliweza kutuhumiwa kuhusu kifo cha Lissu na tuhuma zilifanana na aina ya awamu yake akiwa ni mtu mwenye hasira na asiyependa kukosolewa.

Samia unawezaje ukiwa na akili zako timamu ukamhusisha na mauaji ya huyo Kibao?. Lissu kapigwa risasi na akiwa kalazwa Nairobi ni Samia aliyekwenda hospitali kumjulia hali.

Samia amekuwa kiongozi wa kwanza kuhudhuria mkutano mkuu wa CHADEMA akiwa kaalikwa kwa nafasi yake, anaweza kutuma watu wamuue kiongozi wa kawaida wa CHADEMA?.

Kapambana mpaka Mbowe akatoka gerezani na akarudi uraiani unaweza kumhusisha na kifo cha Kibao?.

Ushahidi wa kimazingira tu unatosha kumuweka mbali Samia ni suala la kifo cha huyo mjumbe wa mkutano mkuu wa CHADEMA.
Mbowe alikamatwa lini na kuwekwa gerezani?
 
Rais akikaa kimya,kakaa kimya hamsemi chochote,akiagiza uchunguzi uchunguzi hauna maana...jaribuni kuwa binadam wa kawaida walau kidogo manyang'au
Suala sio kuagiza uchunguzi ufanyike suala ni kwamba watu wanataka waone kweli huo uchunguzi umefanyika.
 
Back
Top Bottom