longi mapexa
JF-Expert Member
- Jul 18, 2015
- 3,265
- 4,250
- Thread starter
- #21
Hapo ndipo Wamasikini walio wajeuri wanakuambia hela haikusaidiiUmenikumbusha ishu ya steve Jobs!! Daaah maisha haya hela tunaitafua ila kuna kipindi haina thamani kabisa maishani