Hata mimi nashangaa


Nyamayao kama nilivyokwambia huyo ndugu yako inabidi umpeleke akafanyiwe counseling vinginevyo atafanya mambo hadi nyie wengine mtashangaa na kubaki midomo wazi sasa hiyo nyumba sijui kama kuna binadamu wanaishi maana naona ni mwendo wa MWAGA MBOGA mimi NAMWAGA UGALI
 
Nini cha kumuua hapo? mbona kawaida tu? Kwani alimkuta bikira?
 

Hapo ndoa bado ipo Nyamayao, hayo ni matokeo tu ya ndoa!na bado mbona watashuhudia mengi tu kama mungu akiwajaalia miaka mingi ya kuishi!
 
Hapo ndoa bado ipo Nyamayao, hayo ni matokeo tu ya ndoa!na bado mbona watashuhudia mengi tu kama mungu akiwajaalia miaka mingi ya kuishi!

Mpwa ulikuwa wapi? Unapiga kampeni za uchaguzi nini?
 
hata kama mwanzo mgumu basi huu mwanzo wa ndoa yao ni kiboko sijui niite nini,
Ndoa za siku hizi bwana asubuhi vifijo na nderemo jioni balaa na ngumi juu..Mungu niepushe na kikombe hiki.
 
Phew!!!! Hapo ndio nimechoka kabisa dah sijui ataenda kuilengesha kwa mwanaume gani duh NDOA NDOANO kweli omba uyasikie tu watu wanayaongea.

mume hapa anampokea mke wa shangwe zote akifurahia kusamehewa, laiti angejua lililopo moyoni kwa mwenzie.....lakini na nyie mkomage kabisa, mengine mnajitakia, huyu ndio ataishia kulea wa wenzie kama mke akifanya kweli.
 
Nini cha kumuua hapo? mbona kawaida tu? Kwani alimkuta bikira?

labda wewe, unalea mimba, unalea mtoto anafikisha 5 yrs unakuja kujua sio wako, wewe kama roho yako ya jiwe ni yako khaa, cha kawaida hiki?
 
dada ana haki ya kuondoka uciku huohuo.... ameolewa na mzinzi sio mume
 
Nyamayao bana...yaani kila siku yeye analalama kuhusu infidelity tu....
 
Mpwa ulikuwa wapi? Unapiga kampeni za uchaguzi nini?

Sorry mpwas sikukuaga, kama ulikuwepo vile!nilienda kwetu kanda ya ziwa kuweka mambo sawa katika pilika pilika za kampeni!
 
Sorry mpwas sikukuaga, kama ulikuwepo vile!nilienda kwetu kanda ya ziwa kuweka mambo sawa katika pilika pilika za kampeni!

Vipi umefanikiwa kuja na mapanki au na yenyewe ndio yameishakuwa adimu
 
mume hapa anampokea mke wa shangwe zote akifurahia kusamehewa, laiti angejua lililopo moyoni kwa mwenzie.....lakini na nyie mkomage kabisa, mengine mnajitakia, huyu ndio ataishia kulea wa wenzie kama mke akifanya kweli.

Duh!!!! Hapo mwanaume anachezeshwa kiduku tu hata hajui kinachoendelea ishu iko kwenye unyumba sijui atapewa au ndio kwishnei kama alivyosema mwanamke kuwa lazima amlengeshee jamaa mwingine kwanza halafu na yeye ndio ataendelea.
 
Sorry mpwas sikukuaga, kama ulikuwepo vile!nilienda kwetu kanda ya ziwa kuweka mambo sawa katika pilika pilika za kampeni!
Mbona huniombi radhi mimi MODERETA MKUU a.k.a INVIZIBO?
 

Mmh ndugu, kama ndio unapenda mwanamke mvumilivu wa jinsi hii, basi nia yako itachelewa sana kutangazwa, coz kwa sasa wamebaki wachache. Kilichotuongezea ujasiri ni angalau kuwa na uezo kidogo wa kununua maharage na unga wa ugali, ili kama yakishindikana basi ukijitoa hutakosa mlo mezani. Hebu usinikumbushe hii biashara ya akina mama zetu na kuipa term ya uvumilivu, that was torture. Sisi level ya sasa ni angalau kuwa na ubavu wa kuulizia hayo madudu ya mheshimiwa na kuweza ku-set some rules in the house, kuwa angalau hiki na hiki sikipendi. Wazazi wetu walitawaliwa na ukimya tu, hata afanyiwe nini hatarudisha hata swali kwa kuamini kuwa kile ndio stahili yake. Na kwa sasa, huyo bwana akinikoroga ahame yeye, mie sihami bwana, hasa niende wapi saa hizi saa 12 jioni?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…