Hata mimi nashangaa

Hata mimi nashangaa

yeye ndicho anachokitaka, lakini anataka mpaka amuumize kama yeye alivyoumia.

Unajua kuna mwanaume mwingine ni kama umemfungulia na umesema sasa endelea maana nachokiona mbele ni kudhalilishana wote na asifikiri kuwa kufanya hivyo ni fahari au anamkomoa mwanaume bali anajidhalilisha yeye mwenyewe najua hasira ndizo zinamtuma sasa hivi na sio akili yake mwenyewe. ANGALIZO: MWAMBIE MWANAMKE ISIJE IKATOKEA KATIKA KULIPIZA KISASI AKAFANYA INFIDELITY NA MEMBA WA JF PATAKUWA PATAMU HAPO
 
hao wachumba watakuwa wamekata tamaa ya maisha....

Kuna watu huko uraiani hawajli na wanafurahia biashara huria yenye ushindani wa kutosha. Kwa kweli ukiondoa ushindani biashara inapoteza mvuto kabisa hata bidhaa zinaweza kudoda wakati walaji wako kibao.
 
Nyamayao, mwacheni tu arudi kwa mumewe bado anahasira wakishapozana huko wala hatakaa afanye aliyiyasema ni hasira tu.
 
Najaribu kufikiria huyo mwanamke akirudi humo ndani kitachokuwa kinaendelea sipati picha kabisa
 
kuna watu huko uraiani hawajli na wanafurahia biashara huria yenye ushindani wa kutosha. Kwa kweli ukiondoa ushindani biashara inapoteza mvuto kabisa hata bidhaa zinaweza kudoda wakati walaji wako kibao.

kwamba quality matters and not quantity
 
Nyamayao, mwacheni tu arudi kwa mumewe bado anahasira wakishapozana huko wala hatakaa afanye aliyiyasema ni hasira tu.

kasema leo anarudi kwake.
 
kasema leo anarudi kwake.

Nyamayao najaribu kufikiria huko nyumbani kwake hali itakuwaje I just cant get it inabidi mmpe ushauri wa ziada vinginevyo kuna mambo ya ajabu zaidi yanaweza kutokea au washaurini waende for counseling inaweza ikasaidia ila sijui kama uwezekano huo upo
 
Afadhari nyie wapambe mnataka kutia kitumbua mchanga mshindwe na mlegee

Mpwa huyu mwanamke atakubali kweli hata mumewe amguse usiku maana dhamira iliyo kwenye moyo wa mwanamke siipatii picha
 
Nobody can handle the TRUTH... because it hurts... Huyo dada angeambiwa in black n white kwamba kuna Eliza alimueskoti jamaa kwa hizo 2 wks angekufa kwa kihoro.... Yeye aliamua kuingia kwenye ndoa kwa utashi wake... for Better, for Worse... kwa nini better anakubali halafu worse anakataa?? Hayo ndio majaribu, anatakiwa kuyashinda

Asprin.... Hebu rudia zile rule zako...
 
kaka mie jana nilishindwa kuweka hilo jambo sawa, mana ningelibeba mie kama ninavyobebaga ya watu wengine(wakomavu) au yangu mwenyewe kwa maswali ningeyomhoji huyo mdogo wangu juu wa safari ya mumewe nadhani hii ndoa ingezidi kuyumba na bado changa, so hapa cha kufanya ni kwenda na mdada pole pole, bado 2napenda awepo kwenye ndoa yake ukizingatia ina miezi tu, hata dadake tumeongea kiutu uzima tukasema tumshawishi tu hii leo arudi kwake mana tutamchanganyia mambo kama cc wakomavu tukilishikia bango hili jambo tutaharibu (mana kwa wakomavu hii ni rough ya mchana kweupe)...yeye tutaishia kumpa moyo na kumtuliza apoe....na kama ilivyo mume kashikia bango kwamba na yeye "anashangaa" bac ngoja tujifanye tunashangaa wote kumpa moyo mdogo wetu.

dah Mrs hata mi namshangaa huyo bwana sio kwa ku do ze nidiful, ila kwa kuwa mzembe kiasi hicho....in fact hajafuzu kozi ya infidelity

but nimeipenda busara yako hapo kuokoa mambo yasizame na sio kuwa jiwe la kusagia

kisha wakisharudiana aladji kama kawa.....kudungkudkudkudkudkud....:welcome:
 
dah Mrs hata mi namshangaa huyo bwana sio kwa ku do ze nidiful, ila kwa kuwa mzembe kiasi hicho....in fact hajafuzu kozi ya infidelity

but nimeipenda busara yako hapo kuokoa mambo yasizame na sio kuwa jiwe la kusagia

kisha wakisharudiana aladji kama kawa.....kudungkudkudkudkudkud....:welcome:

Mpwa mimi bado naendelea na kozi ili nimalize vizuri na nipate cheti changu halafu ndio nianze kuitumikia vizuri ile katiba kumbuka mwalimu wangu ni Asprin
 
Mi naona mwanamke kuondoka sio suruhisho, kila mara naamini kwamba suruhu ya matatizo si kuyakimbia bali kukabiliana nayo, ukiyakimbia unayaacha hayana ufumbuzi na sana yanaweza yakawa makubwa zaidi. Inawezekana sasa mwanaume akazidi kuwa kiwembe zaidi wakati kama mke angekuwepo ingekuwa kama ni spidi gavana ya kupunguza spidi. Huyu mke alitakiwa kuifuatilia kwa karibu tabia ya mumewe baada ya kugundua udhaifu alionao tangu alipogundua jamaa sio muaminifu. Mama rudi huwa awanuniwi. Na inawezekana kuna mtu kafanya kusudi ili mgombane then yeye kiulaini amchukue mumeo, huyo muhudumu yawezekana amekuwa planted ili kukugombanisha na mumeo kaaa chonjo.
 
Mpwa mimi bado naendelea na kozi ili nimalize vizuri na nipate cheti changu halafu ndio nianze kuitumikia vizuri ile katiba kumbuka mwalimu wangu ni Asprin

dah we tutakupa Bachela na masta hapo hapo.....:welcome::welcome:
 
Mpwa huyu mwanamke atakubali kweli hata mumewe amguse usiku maana dhamira iliyo kwenye moyo wa mwanamke siipatii picha

Huyu ningekuwa mm akirudi nauchuna siku ya kwanza ya pili namtoa out, nampeleka Chuda
tukirudi nampiga na gold shingoni na kwenye kiuno mchezo umekwisha hutumii maneno ooh nisamehe wewe nivitendo tu hapo hapo baada ya miezi miwili utaona anaanza kutapika tapika mara utasikia nikiona daladala nasikia kichefu chefu ujue kazi kwishney
 
Huyo Mwanamke arudi kwa Mume wake haraka sana, asije akasababisha huyo jamaa akaleta mwanamke mwingine, anamuachaje mwenzake kirahisi rahisi namna hiyo. arudi kwa Mume wake, alikuwa anafikiri anaolewa na Malaika.

Ni lazima ajue kwamba ukorofi kama aliofanya mume wake ni wakawaida kwa binadamu wote, anachotakiwa kufanya ni kumsaidia mume wake kujirekebisha, sio kukimbia familia, anataka mwenzake akae na nani, mpigie simu now, arudi kwake.

na ajifunze kutatua matatizo yake na mume wake kifamilia sio anakurupuka kwenda kutangaza hovyo kwa ndugu zake, Mpigie
 
hizi ndoa bwana nazo zinachosha, mtu unaingia tu ili mradi umeingia, cjui ndio wanasema kutoa mkoc wala cjui, mie kwa kweli imebidi niache ishu waiongelee kifamilia zaidi coz kama binti hata mama yake mzazi kamwomba mpaka kumpigia magoti acjrfanya hicho kitendo na hajakubali kubadili uamuzi wake nani mwingine atamshauri akashaurika?...na kwasasa coz hiyo kitu ipo kichwani mwake anaweza kutuitikia kwamba hatafanya lakini nani anajua rohoni mwake?....ki ujumla hii ndoa imeshavunjika tayari.

kaka yangu mpenzi, mie kwa kweli cwezi kudhibitisha lolote, cna kidhibiti mana mie nafanya kupigiwa na kupewa yanayojiri huko...na cwezi kusema labda mume ni kweli kafany ila kadanganya au hajafanya binti anamfikiria vibaya, naweza sema ukweli anao mume.

jana tumejaribu kuweka mambo sawa, binti alikuwa analia sana amesema mume amemuumiza roho sana, na hakutegema kama angeona ndoa chungu mapema hivi, lakini anashukuru pia ndoa ilikuwa bado haijajibu coz anataka na yeye kumuumiza kama alivyoniumiza, hata miaka 20 ijayo akija kugundua nitamkumbushia alivyoniumiza na nitamwambia ndio adhabu yake kwa kitendo cha kuniumiza hivi....maamuzi yangu ni kwamba "atalea watoto wa wanaume wenzie"....akija kujua mbeleni bac na mie nitakuwa nimempa maumivu yanayostahili na kuivunja ndoa milele...mie nimechoka kama nyamayao....anarudi kwake leo..

Huyo si mke ni kituko. Ningeweza kumshauri huyo mume, ningemwambia amuache haraka iwezekanavyo kituko mkubwa huyo.
Kwa makusudi anatafuta sympathy votes ili kuhalalisha ushetani wake? hapana bana...
99.9% amehusika kuweka hiyo chupi na condoms kwenye begi la mumewe.
Alikuwa anatafuta sababu tu.
 
Back
Top Bottom