Hata mimi nashangaa

Hata mimi nashangaa

dah Mrs hata mi namshangaa huyo bwana sio kwa ku do ze nidiful, ila kwa kuwa mzembe kiasi hicho....in fact hajafuzu kozi ya infidelity

but nimeipenda busara yako hapo kuokoa mambo yasizame na sio kuwa jiwe la kusagia

kisha wakisharudiana aladji kama kawa.....kudungkudkudkudkudkud....:welcome:


nimeicheza live kabisa hiyo kutia mcctizo.....na wewe umesh2kia mkaka mzembee eeehh, japo anecheki kuhakiki mambo yacbgefikia huku, iwe somo kwako ukirudi kutoka safari uhakiki mambo kwanza kabla hujafika home tukatoana roho na uzee huu...iwe umefanya au hujafanya kuhakiki ni muhim.
 
Sorry mom, tuangalie upande mwingine wa shilingi,,,,,eeeh wewe hujawahi kuona wanawake nao wanacheat? Ama hata ww hujawahi kucheat? As I said sorry if am mistaken!
okay wanawake wanacheat too!!! but in this case the wife didnt cheat so lets stick to the topic!!! can we?

kwenye bold up there..oow GOD no!! I am not a swinger
 
Huyo Mwanamke arudi kwa Mume wake haraka sana, asije akasababisha huyo jamaa akaleta mwanamke mwingine, anamuachaje mwenzake kirahisi rahisi namna hiyo. arudi kwa Mume wake, alikuwa anafikiri anaolewa na Malaika.

Ni lazima ajue kwamba ukorofi kama aliofanya mume wake ni wakawaida kwa binadamu wote, anachotakiwa kufanya ni kumsaidia mume wake kujirekebisha, sio kukimbia familia, anataka mwenzake akae na nani, mpigie simu now, arudi kwake.

na ajifunze kutatua matatizo yake na mume wake kifamilia sio anakurupuka kwenda kutangaza hovyo kwa ndugu zake, Mpigie
Mie siamini kama bado kuna watu wanafikiria hivi!!! yaani arudi haraka asije akaleta mwanamke mwengine? ooow that's a joke? isn't it? lol.... halafu unasema alicho fanya ni kitu cha kawaida..arudi kumsaidia nini?
 
yeye ndicho anachokitaka, lakini anataka mpaka amuumize kama yeye alivyoumia.
Mie nimeipenda hii!!! :becky: sim support ku revenge or anything but I think the guy deserve yatakayo mpata
 
Mie nimeipenda hii!!! :becky: sim support ku revenge or anything but I think the guy deserve yatakayo mpata

...sasa ndio mapenzi gani hayo ya kuviziana? si bora kila mmoja achukue ustaarabu wake?
 
unashanga....? dume zoba hiloooo...!! mahala si pako utafagiliaje ubwanyenye kiasi hicho..?!acha vimtokee kwa pua...!!
 
Mh hapa kweli hata mie sisy nashangaa..... inawezekana mambo mawili
1. Ni kweli hajafanya kosa na kabambikiziwa na huyo mhudumu (But hapa yanakuja maswali ya ziada
(i. Iweje mhudumu amfanyizie? alimfanyia nini au alimkosea nini?)
(ii> Iweje amwombe mhudumu amfungashie begi lake??)
2. Inawezekana kafanya kosa ila anaapply men's theory (It wasnt me) maana hawa bwana huwa wanaambiana usikiri yaani bora uache uncertainities kuliko kukiri kwani wanaamini kwa kukiri ndio unaharibu kabisa kwani kwa mwanamke hakitakaa kiishe. So he is applying the men's most important theory.

Wifi kakosea kwani kwenda nyumbani si suluhisho hata kidogo alitakiwa ambane kaka kwa staili yoyote ile hadi apewe ukweli la sivyo atege mitego yake angebamba.
 
Nobody can handle the TRUTH... because it hurts... Huyo dada angeambiwa in black n white kwamba kuna Eliza alimueskoti jamaa kwa hizo 2 wks angekufa kwa kihoro.... Yeye aliamua kuingia kwenye ndoa kwa utashi wake... for Better, for Worse... kwa nini better anakubali halafu worse anakataa?? Hayo ndio majaribu, anatakiwa kuyashinda

Asprin.... Hebu rudia zile rule zako...
Ya nini malumbano?
Mpwa mimi bado naendelea na kozi ili nimalize vizuri na nipate cheti changu halafu ndio nianze kuitumikia vizuri ile katiba kumbuka mwalimu wangu ni Asprin
Umeshafaulu, matokeo anayo Pope Kaizer... Msome hapa chini.

dah we tutakupa Bachela na masta hapo hapo.....:welcome::welcome:
:welcome:


hata hii naishangaa mpwaaz:becky::becky::becky:

hahaha haya fanya 😛lane:😛lane::car::car:
:car::bump2: Lakini maisha bila:car:yanawezekana!!!
 
Ya nini malumbano?
Umeshafaulu, matokeo anayo Pope Kaizer... Msome hapa chini.

:welcome:



:car::bump2: Lakini maisha bila:car:yanawezekana!!!
hehehehe!vere poosibo!
kuna shato siku hizi bana
 
Sawa, kutoka nje mara mojamoja ni jambo la kawaida kwa watu wengi tu, Ila kurudi nyumbani na hayo mazaga? Hata mimi namshangaa huyo mwanamke. Iko obvious kwamba ni setting.
 
Hiyo ni kali. Huyo mume alikuwa na kazi gani mpaka mhudumu amuwekee nguo kwenye begi?
 
Mie nimeipenda hii!!! :becky: sim support ku revenge or anything but I think the guy deserve yatakayo mpata

mambo yanaenda kama filamu ya kihindi vile, jana mdada karud ikwa mume lakini kacctiza kwamba akili yake bado ipo pale pale, na hajui kama atampa unyumba mpaka cku atakapofanikiwa kuilengesha kwa mwingine yeye ndio aje aendelee, wanaume wakati mwingine bwana mnakitakiaga matatizo, sasa huyu akili yake imemuhama kabisa, haambiwi wala ashauriki.
 
mambo yanaenda kama filamu ya kihindi vile, jana mdada karud ikwa mume lakini kacctiza kwamba akili yake bado ipo pale pale, na hajui kama atampa unyumba mpaka cku atakapofanikiwa kuilengesha kwa mwingine yeye ndio aje aendelee, wanaume wakati mwingine bwana mnakitakiaga matatizo, sasa huyu akili yake imemuhama kabisa, haambiwi wala ashauriki.

Kwa mara ya pili nyamayao nakushauri huyo mdogo wako mkimbizeni Mirembe kabla mambo hayajaharibika mazima!
 
Mh hapa kweli hata mie sisy nashangaa..... inawezekana mambo mawili
1. Ni kweli hajafanya kosa na kabambikiziwa na huyo mhudumu (But hapa yanakuja maswali ya ziada
(i. Iweje mhudumu amfanyizie? alimfanyia nini au alimkosea nini?)
(ii> Iweje amwombe mhudumu amfungashie begi lake??)
2. Inawezekana kafanya kosa ila anaapply men's theory (It wasnt me) maana hawa bwana huwa wanaambiana usikiri yaani bora uache uncertainities kuliko kukiri kwani wanaamini kwa kukiri ndio unaharibu kabisa kwani kwa mwanamke hakitakaa kiishe. So he is applying the men's most important theory.

Wifi kakosea kwani kwenda nyumbani si suluhisho hata kidogo alitakiwa ambane kaka kwa staili yoyote ile hadi apewe ukweli la sivyo atege mitego yake angebamba.

dearest nilikumic jamani, jana mpaka ikabidi nimuulize kipemba wangu Asprin kama kwema.....pole na shughuli na welcom back....haya mambo yangenikuta mzee kama mie niliekomazwa mapema na hii sector, nadhani mambo yangeshakuwa sawa, yeye c kajibu "anashangaa" bac mie ningemshangaza zaidi, ishu ni kwamba wengine wana mioyo icyoweza vumilia mami.
 
Kwa mara ya pili nyamayao nakushauri huyo mdogo wako mkimbizeni Mirembe kabla mambo hayajaharibika mazima!

myy bro mie nimeshasema tangu jana haya mambo nimewaachia familia zaidi...sasa hivi mie nafanya kuckiliza na kuckitika tu.
 
dearest nilikumic jamani, jana mpaka ikabidi nimuulize kipemba wangu Asprin kama kwema.....pole na shughuli na welcom back....haya mambo yangenikuta mzee kama mie niliekomazwa mapema na hii sector, nadhani mambo yangeshakuwa sawa, yeye c kajibu "anashangaa" bac mie ningemshangaza zaidi, ishu ni kwamba wengine wana mioyo icyoweza vumilia mami.
:confused2::confused2:

myy bro mie nimeshasema tangu jana haya mambo nimewaachia familia zaidi...sasa hivi mie nafanya kuckiliza na kuckitika tu.
Hapo hamna ndoa tena dada yangu. Niape?
 
...sasa ndio mapenzi gani hayo ya kuviziana? si bora kila mmoja achukue ustaarabu wake?

ndio mapenzi ya cku hizi, "ukinimwagia mboga, nakumwagia ugali".....lakini mngejua haya mambo yanavyotuumiza wala mcngekuwa mnajaribu hata kufikiria kuyafanya matokeo yake ndio kama haya ndoa ina miezi kadhaa imeshapata ufa.
 
:confused2::confused2:

Hapo hamna ndoa tena dada yangu. Niape?

usiape...hata mie naona tayari ndoa imesharafiki kitambo, kuizika ni cku yakija kujulikana yaliypo mawazoni kwa mdada...lakini kuna watu wanajua ku revenge wallaah, hii kitu mie icngenijia akilini kabisa, huyu mdada kama atafanya kweli kwa anacho plan kufanya cku ya cku yakajulikana huyu mkaka atafariki haki ya nani.
 
mambo yanaenda kama filamu ya kihindi vile, jana mdada karud ikwa mume lakini kacctiza kwamba akili yake bado ipo pale pale, na hajui kama atampa unyumba mpaka cku atakapofanikiwa kuilengesha kwa mwingine yeye ndio aje aendelee, wanaume wakati mwingine bwana mnakitakiaga matatizo, sasa huyu akili yake imemuhama kabisa, haambiwi wala ashauriki.

Phew!!!! Hapo ndio nimechoka kabisa dah sijui ataenda kuilengesha kwa mwanaume gani duh NDOA NDOANO kweli omba uyasikie tu watu wanayaongea.
 
Back
Top Bottom