Hata mimi nashangaa

Hata mimi nashangaa

Hebu tema mate chini!!
Cheating siyo kwa wanaume tu, na kwa hiyo suala la kukosa kitu home halipo. Ni kuomba Mungu tu yasikukute endapo bado hii kitu unakutana nayo kama hadithi tu.



Huyo dada alifanya kosa kubwa kuweka mpira kwapani wakati ndo mechi ilikuwa imeanza. Angejifanya anaanza kaundika Novel ya ukomandoo sasa hivi labda hadithi ingekuwa nyingine. Ila kwa kukimbia amempa nafasi mshikaji kuharibu ushahidi wote. Inawezekana tayari keshapiga simu Hotelini kutafuta Mhudumu wa kubeba responsibility.

Hata hivyo nimemkubali huyo dogo. Ni kichwa kweli kweli. Kapata jibu chap chpa na sasa kamwachia mkewe aendelee kuicheza hiyo drama. The guy is very smart (ni kipanga wa kutisha). Ingawa kama kaanza mapema na kupoteza network kiasi cha kubeba ushahidi, his days are just numbered.
DC nashangaa mnamlaumu mwanamke... hata mie ningeondoka honestly...kwanza hana adabu kamcheat mke wake, pili he is a big liar...yaani mie na watu waongo!!! no matter what he is going to tell me I will not believe him next time...
 
Ni mdogo wake na friend wangu, tuliyoisheherekea harusi mwezi May, ni jana my frnd ananical ananiambia mdogo wake karudi nyumbani(kwa wazazi).

Mwanaume alisafiri kama 2 weeks kikazi, karudi jmoc ucku, mke kampokea kwa furaha zote kufurahia mume karudi na alim miss pia, mume yupo bathroom mke akawa anafanyia usafi begi na mume alilotoka nalo safari, alikumbana na chupi ya kike(chafu) na vikaratac vya condom kama vi3, mume katoka kuoga mke amumhoji aliyoyaona, mume anaapa miungu yote kwamba hajui kinachoendelea wala hakuwa na mwanamke huko safarini bali mhudumu wa hotel aliyofikia ndio alimpakia nguo kwenye begi "so may be mhudumu ndio kanifanyia haya" kwa makusudi....

My frnd anam-call shemeji yake shemeji anamjibu tena huku akilia machozi kwamba" shemeji hata mie nashangaa kabisa kuona hiki kitendo, nakuapia shemeji cjui kinachoendelea, naomba tu uongee na mke wangu arudi nyumbani...mke anasema harudi kwa mumewe mpaka amwambie ukweli wa aliyayaona.....

Mie kama mie kwa jana nilikosa la kusema....inawezekana hii kitu jamani, kwamba mtu hajui ndio kwanza na yeye "anashangaa".....

...huyo mke alikuwa anaitafuta sababu tu ya kuondoka.
Ukweli gani anaoutaka wakati Mumewe keshamuapia hajui?
Ni bora mpofu wa macho kuliko mpofu wa Akili.
 
...huyo mke alikuwa anaitafuta sababu tu ya kuondoka.
Ukweli gani anaoutaka wakati Mumewe keshamuapia hajui?
Ni bora mpofu wa macho kuliko mpofu wa Akili.

hivi kumbe alivyoapa inatosheleza hata kaam mke kaona mume kaapia unafiki tu?
 
DC nashangaa mnamlaumu mwanamke... hata mie ningeondoka honestly...kwanza hana adabu kamcheat mke wake, pili he is a big liar...yaani mie na watu waongo!!! no matter what he is going to tell me I will not believe him next time...

Sorry mom, tuangalie upande mwingine wa shilingi,,,,,eeeh wewe hujawahi kuona wanawake nao wanacheat? Ama hata ww hujawahi kucheat? As I said sorry if am mistaken!
 
DC nashangaa mnamlaumu mwanamke... hata mie ningeondoka honestly...kwanza hana adabu kamcheat mke wake, pili he is a big liar...yaani mie na watu waongo!!! no matter what he is going to tell me I will not believe him next time...

...unaona sasa, "The best way to see evil is to shut the eye of reasoning!"
 
Ni kweli inawezekana mume hajui kitu, na pia inawezekana anajua sana huyo bibie kapaki makusudi. Ila ushauri ni kwamba kukimbia ndoa kwa kumuona mumewe si muaminifu si suluhu atakimbia ndoa ngapi? kwani wanaume ndivyo walivyo they cant stand alone for more than a week believe me, hakuna mwaminifu hata mmoja labda anaye mjua Mungu kwa sana. ashukuru Mungu amekuta hata hizo kondomu kuonyesha anajali.
 
Kwa hili anashangaza.Hajatumia busara kuondoka.Na akimwambia kuwa ni kweli alizitumia hizo kondomu ndio atapona?au ataridhika?

...eti?
kakurupuka tu huyo sasa anatafuta sababu ya kumkandamiza mumewe aonekane ndio mkosa.
"Mtenda akitendewa anajihisi kaonewa." Huyu Mwanamke ameonyesha ishara kwamba si mwaminifu kivile..
 
mie jamani cjui kabisa, jana nilikosa cha kushauri kabisa, na ucku nilimcal huyo mdogo wetu nilimuuliza tu kwanini umechukua uamuzi kwa kwenda home haraka hivyo badala ya kumckiliza mwenzio kwanza...alinijibu "acnifanyie hayo akidhani alinitoa rodini, alinitoa kwetu atakuja kunichukua kwetu kama bado ananihitaji"....

...ha ha! hakuna mke hapo,
ingekuwa kesi yangu hii, ingekula kwake.
Eti kama namhitaji nikamchukue? kwani nilimrudisha kwao?
Atarudi mwenyewe kama anaitaka ndoa.
Kwa kumhurumia ningempa siku tatu awekesharudi,
otherwise,
kabla magharibi haijaingia awe nyumbani.
 
...eti?
kakurupuka tu huyo sasa anatafuta sababu ya kumkandamiza mumewe aonekane ndio mkosa.
"Mtenda akitendewa anajihisi kaonewa." Huyu Mwanamke ameonyesha ishara kwamba si mwaminifu kivile..

Hapo umenikumbusha mbali sana.

Huyo mwanamke inawezekana kweli kachezewa faulo ila katimua mbio badala ya kukomaa ili amalize mechi. Kwa mtindo huyo, refa anapuliza kipenga na kutoa point za chee. Jamaa kashinda mechi kiulaini. Ila huyo dada angekuwa na roho ya paka, jamaa angevaa pampers kwani hiyo sababu aliyoitoa ili ya kitoto sana.
 
Hapo umenikumbusha mbali sana.

Huyo mwanamke inawezekana kweli kachezewa faulo ila katimua mbio badala ya kukomaa ili amalize mechi. Kwa mtindo huyo, refa anapuliza kipenga na kutoa point za chee. Jamaa kashinda mechi kiulaini. Ila huyo dada angekuwa na roho ya paka, jamaa angevaa pampers kwani hiyo sababu aliyoitoa ili ya kitoto sana.

...sababu ipi hiyo bro?
Binafsi siamini eti mwanaume mzima na akili zake timamu amefungua packets 3 za Condom kisha zote kazirudishia kwa begi lake la nguo, tena Hotelini/Guest House, mbali na mkewe.
 
Ni mdogo wake na friend wangu, tuliyoisheherekea harusi mwezi May, ni jana my frnd ananical ananiambia mdogo wake karudi nyumbani(kwa wazazi).

Mwanaume alisafiri kama 2 weeks kikazi, karudi jmoc ucku, mke kampokea kwa furaha zote kufurahia mume karudi na alim miss pia, mume yupo bathroom mke akawa anafanyia usafi begi na mume alilotoka nalo safari, alikumbana na chupi ya kike(chafu) na vikaratac vya condom kama vi3, mume katoka kuoga mke amumhoji aliyoyaona, mume anaapa miungu yote kwamba hajui kinachoendelea wala hakuwa na mwanamke huko safarini bali mhudumu wa hotel aliyofikia ndio alimpakia nguo kwenye begi "so may be mhudumu ndio kanifanyia haya" kwa makusudi....

My frnd anam-call shemeji yake shemeji anamjibu tena huku akilia machozi kwamba" shemeji hata mie nashangaa kabisa kuona hiki kitendo, nakuapia shemeji cjui kinachoendelea, naomba tu uongee na mke wangu arudi nyumbani...mke anasema harudi kwa mumewe mpaka amwambie ukweli wa aliyayaona.....

Mie kama mie kwa jana nilikosa la kusema....inawezekana hii kitu jamani, kwamba mtu hajui ndio kwanza na yeye "anashangaa".....

Ni kazi kummiliki mtu jamani yani kiwe chako peke yako..mmh
Kupanic ni muhimu bali hakutakiwa kuondoka bibie na siwezi kumtupia lawama huyo jamaa..No ushahidi!
 
Ni kazi kummiliki mtu jamani yani kiwe chako peke yako..mmh
Kupanic ni muhimu bali hakutakiwa kuondoka bibie na siwezi kumtupia lawama huyo jamaa..No ushahidi!

...si ndio hapo, sasa atakimbilia kwao kwa kesi ngapi ilhali hata 'valentine day' ya pili hawajaila wala harusi haijajibu?
BJ, ukishakabidhiwa cheti cha ndoa ('kama hati ya nyumba au kiwanja') ndio ushamilishwa peke yako hivyo.
 
Ashukuru na amrudie mumewe kwakuwa katumia condom pia amfungashie condom cku nyingine akisafiri pia amhamasishe cku zote atumie condom mana akiondoka jamaa atapiga kavu kwa hofu ya kusahau kutupa ganda la condom.
 
...si ndio hapo, sasa atakimbilia kwao kwa kesi ngapi ilhali hata 'valentine day' ya pili hawajaila wala harusi haijajibu?
BJ, ukishakabidhiwa cheti cha ndoa ('kama hati ya nyumba au kiwanja') ndio ushamilishwa peke yako hivyo.

Kwanza mume karudi safari halafu anajitia detective,agrr mapenzi yataendaje sasa hapo?! au yeye alikuwa anaibia akahisi na mwenzie kafanya hivyohivyo!! Asubiri baada ya mwezi kusikia mwingine kawekwa ndani mana ye asusa wenzie wala!!

Hiyo ya kukabidhiwa peke yangu bado kabisa haijaniingia, yaani milele? inawezekana kweli Mbu?!
 
Kwanza mume karudi safari halafu anajitia detective,agrr mapenzi yataendaje sasa hapo?! au yeye alikuwa anaibia akahisi na mwenzie kafanya hivyohivyo!! Asubiri baada ya mwezi kusikia mwingine kawekwa ndani mana ye asusa wenzie wala!!

Hiyo ya kukabidhiwa peke yangu bado kabisa haijaniingia, yaani milele? inawezekana kweli Mbu?!

...eeehh? kwani BJ hujawahi kuona cheti cha ndoa? ni Sheikh, Padre, au msajili wa ndoa ndiye anayekukabidhi Copy yako uitunze. Kwa maana umemilikishwa Bwana fulani bin fulani awe Mume wako na Jamhuri inakutambua.
Ndio maana nikaandika hapo awali kama nyumba vile,
Hati ni yako...'ukiamua' kupangisha vyumba, Rukhsa! Utasaidiwa 'kujikimu' mahitaji madogo madogo
 
...eeehh? kwani BJ hujawahi kuona cheti cha ndoa? ni Sheikh, Padre, au msajili wa ndoa ndiye anayekukabidhi Copy yako uitunze. Kwa maana umemilikishwa Bwana fulani bin fulani awe Mume wako na Jamhuri inakutambua.
Ndio maana nikaandika hapo awali kama nyumba vile,
Hati ni yako...'ukiamua' kupangisha vyumba, Rukhsa! Utasaidiwa 'kujikimu' mahitaji madogo madogo

Hivyo viapo mie siviwezi, kufungiwa forever jamani!..sasa 'excitement' ikiisha utavumiliaje?nauliza tu,lol
Inahitaji moyo kwakweli, subiri namie nikabidhiwe hiyo hati siku moja nione utamu wake..::smile-big:
 
Hivyo viapo mie siviwezi, kufungiwa forever jamani!..sasa 'excitement' ikiisha utavumiliaje?nauliza tu,lol
Inahitaji moyo kwakweli, subiri namie nikabidhiwe hiyo hati siku moja nione utamu wake..::smile-big:

ha ha ha, eti 'excitement' ikiisha...
si ndio hapo unapopangisha vyumba vya uani 'usaidiwe?'

Siri ya kudumu kwa ndoa ni kutomchungua mwenzio, wala kuweka doubts kwa kila anachokwambia.
Kila mtu awe dereva wa mawazo yake.
 
...si ndio hapo, sasa atakimbilia kwao kwa kesi ngapi ilhali hata 'valentine day' ya pili hawajaila wala harusi haijajibu?
BJ, ukishakabidhiwa cheti cha ndoa ('kama hati ya nyumba au kiwanja') ndio ushamilishwa peke yako hivyo.

jana tumejaribu kuweka mambo sawa, binti alikuwa analia sana amesema mume amemuumiza roho sana, na hakutegema kama angeona ndoa chungu mapema hivi, lakini anashukuru pia ndoa ilikuwa bado haijajibu coz anataka na yeye kumuumiza kama alivyoniumiza, hata miaka 20 ijayo akija kugundua nitamkumbushia alivyoniumiza na nitamwambia ndio adhabu yake kwa kitendo cha kuniumiza hivi....maamuzi yangu ni kwamba "atalea watoto wa wanaume wenzie"....akija kujua mbeleni bac na mie nitakuwa nimempa maumivu yanayostahili na kuivunja ndoa milele...mie nimechoka kama nyamayao....anarudi kwake leo..
 
Back
Top Bottom