Nakadori
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 8,778
- 21,010
Zimefikaa mda sanaaMsalimie Mjomba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zimefikaa mda sanaaMsalimie Mjomba
We loweka uone kila mtu na mwili wake kuna wenzenu huku ART zinadunda wamemaliza regimen zote lkn wapi viral load zinasoma high, Sasa wewe loweka na bahati mbaya uwe mmoja wao wa wale reject!Kwahiyo Ruksa Kuloweka
Maji Utaita MmaaWe loweka uone kila mtu na mwili wake kuna wenzenu huku ART zinadunda wamemaliza regimen zote lkn wapi viral load zinasoma high, Sasa wewe loweka na bahati mbaya uwe mmoja wao wa wale reject!
Hii habari njema tutaendelea kutandaza miti peku at will tukijua tuba mujarabu ipo. Kufa utakufa tuuuu hata KWA kupaliwa na maji maamae !Maendeleo ya tiba ni kuwa unaweza kuchomwa sindano itakayo dhibiti wadudu humo mwilini na huhitaji kubugia yale madonge kila siku.
Taarifa hii imetolewa rasmi siku ya lile gonjwa 01/12/ ya kila mwaka. Maendeleo haya yako kule wanakotutumia ARV’s kwa msaada.
Acha kutisha majasiri weweee!We loweka uone kila mtu na mwili wake kuna wenzenu huku ART zinadunda wamemaliza regimen zote lkn wapi viral load zinasoma high, Sasa wewe loweka na bahati mbaya uwe mmoja wao wa wale reject!
Vidonge mara moja kwa mwezi ni refill but anakunywa dailyNa vidonge pia ni hivyo hivyo?
We loweka uone kila mtu na mwili wake kuna wenzenu huku ART zinadunda wamemaliza regimen zote lkn wapi viral load zinasoma high, Sasa wewe loweka na bahati mbaya uwe mmoja wao wa wale reject!
Waafrika bana ebu cheki hayo majina ya mji Yani yanakera KWA kutamka na kuandika.Yabadilishwe bana yaitwe Norfolk, St James, Wellington, Yorkshire,Baker Street, Norton, Leicester etc.Kayanga, Omurushaka, Nkwenda, Kyerwa Mpaka Border Mulongo Unaingia Uganda Unapata Huduma Unarudi Home Haraka
Acha porojo jamvini weweee. Jikite kwenye mada!Marekebisho kdgo: ilifanya hata tunda nisiliwe kwa Uhuru.
No ni mara moja kwa miezi miwiliMara moja kwa mwezi mkuu
Marekebisho kdgo: ilifanya hata tunda nisiliwe kwa Uhuru.
Nikiwa sebleni kwa shemeji yangu na king'amuzi ameshakilipia huku na subiri dada apike ugali na nyama nile..Kwa hiyo mkuu unatushauri nini sisi tunaopenda magoma yenye matako makubwa na hatupendi kuvaa Condom ili tusikie utamuMaendeleo ya tiba ni kuwa unaweza kuchomwa sindano itakayo dhibiti wadudu humo mwilini na huhitaji kubugia yale madonge kila siku.
Taarifa hii imetolewa rasmi siku ya lile gonjwa 01/12/ ya kila mwaka. Maendeleo haya yako kule wanakotutumia ARV’s kwa msaada.
Aliwahi kusema mjomba wake anakula mbususu yake.Una uhakika na jinsia yake? [emoji16]
Acha kubwabwaja mdomo wako we Phallar shwain.Acha porojo jamvini weweee. Jikite kwenye mada!
Sauh'waaah!