Hata mkague mabegi hamtakuta tena ARV’s, kuna sindano siku hizi

We loweka uone kila mtu na mwili wake kuna wenzenu huku ART zinadunda wamemaliza regimen zote lkn wapi viral load zinasoma high, Sasa wewe loweka na bahati mbaya uwe mmoja wao wa wale reject!
Maji Utaita Mmaa
Haya Mambo Ni Rahisi Hivi Hivi Kuyasikia Kwa Jirani
 
Hii habari njema tutaendelea kutandaza miti peku at will tukijua tuba mujarabu ipo. Kufa utakufa tuuuu hata KWA kupaliwa na maji maamae !
 
We loweka uone kila mtu na mwili wake kuna wenzenu huku ART zinadunda wamemaliza regimen zote lkn wapi viral load zinasoma high, Sasa wewe loweka na bahati mbaya uwe mmoja wao wa wale reject!

sasa unakwepa kwa nguvu ngwe unakuja kufa na stroke[emoji856]
 
Huu ugonjwa hakika ni wa kutengeneza maabara
Vipo videonge vinaitwa Prep hivi vidonge vinakusaidoa at we ukitaka kugongana na mtu mwenye +ve ..unameza baada ya game au kabla kwa siku 24 mfululizo
 
Kayanga, Omurushaka, Nkwenda, Kyerwa Mpaka Border Mulongo Unaingia Uganda Unapata Huduma Unarudi Home Haraka
Waafrika bana ebu cheki hayo majina ya mji Yani yanakera KWA kutamka na kuandika.Yabadilishwe bana yaitwe Norfolk, St James, Wellington, Yorkshire,Baker Street, Norton, Leicester etc.
 
Nikiwa sebleni kwa shemeji yangu na king'amuzi ameshakilipia huku na subiri dada apike ugali na nyama nile..Kwa hiyo mkuu unatushauri nini sisi tunaopenda magoma yenye matako makubwa na hatupendi kuvaa Condom ili tusikie utamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…