Hata mkague mabegi hamtakuta tena ARV’s, kuna sindano siku hizi

Muache ajifaidie woii maisha mafupi haya...kwann viliwe na mijitu porii?
Namlegeza baba wa watu hadi huruma...
Bado una mmanulia manuuuu [emoji39][emoji39]

I wish I could be Mjomba
 
Waafrika bana ebu cheki hayo majina ya mji Yani yanakera KWA kutamka na kuandika.Yabadilishwe bana yaitwe Norfolk, St James, Wellington, Yorkshire,Baker Street, Norton, Leicester etc.
Hahaaaaaa. Kila watu na lugha/utamaduni wao. Sipati shida yoyote kutamka "Omurushaka". Nenda Kijijini mwambie bibi atamke New York ndio utaelewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…