Acha kutuaibisha wana jf na wewe sio prep ni Post-exposure Prophylaxis (PEP).Huu ugonjwa hakika ni wa kutengeneza maabara
Vipo videonge vinaitwa Prep hivi vidonge vinakusaidoa at we ukitaka kugongana na mtu mwenye +ve ..unameza baada ya game au kabla kwa siku 24 mfululizo
Miezi mitatu mkuuShemeji yako amelipia king'amuzi gani hicho? Kwa muda gani? Hongera kwa kupata Mkuu.
Typing error ...Acha kutuaibisha wana jf na wewe sio prep ni Post-exposure Prophylaxis (PEP).
Ni ARV hizo hizo unakunywa.
sio typing error mkuu Ulikuwa Sawa kabisa, kuna Pre exposure prophylaxis (PREP) Hii inatumika kupunguza chance ya maambukizi kwa makundi yaliyo kwenye risk ya kupata maambukiz Mfano sex workers, wanaojidunga kwa kushare sindano n.k inatumika kabla ya tukio, na hiyo Post exposure Prophylaxis (PEP) Hii ni baada ya kujua status ya uliyekutana naye ni +ve Au umejichoma sindano kwa Bahati mbaya iliyotumika kwa mtu mwenye maambukizi ndo unatumia dawa, inatumika baada ya tukio.Typing error ...
Marekebisho kdgo: ilifanya hata tunda nisiliwe kwa Uhuru.
Triple P Mji Mkongwe ile Pub yao balaaa kama uko London..aiseeh Wanyambo shenzisanq.....Millennium Hotel
Huku Kayanga Safi Sana
Siwezi kushangaa kwani kuanzia miaka ya 80-90 Uganda waliweka wazi tatizo la maambukizi ya HIV nchini mwao na mataifa mengi yalitoa misaada kuokoa maisha.Uganda Wao Unachomwa Kila Baada Ya Miezi 3 Syringe Moja
Wao Walianza Muda Mrefu Kidogo Mwaka Huu
Makovu tupu kama mgonjwa wa tetekuwanga,hatari sanaKila siku unajidunga sindano? Sasa mwili si utakua chandarua
Acheni kujiongopea ....hayo mambo yanafanyiwa research nyie munayaleta in VIVO.....hakuna nchi inayotumia ARV za kuchoma duniani.Uganda Wao Unachomwa Kila Baada Ya Miezi 3 Syringe Moja
Wao Walianza Muda Mrefu Kidogo Mwaka Huu
Trials zilianza 2018 na walisema itakua na lasting period ya miezi 12 baadae walisema miezi 6. Marekani wameanza kutumia ya miezi sita kwa waliofibaza wadudu. Licence ya Ulaya ni miezi miwili inagawa imeanza kutumika kwa wenye matatizo ya akili wanaosahau kunywa dawa.Acheni kujiongopea ....hayo mambo yanafanyiwa research nyie munayaleta in VIVO.....hakuna nchi inayotumia ARV za kuchoma duniani.
ARV zote ni za kumeza kidonge kila siku.
Uwezekano wa kuanza inaweza kua 2040 huko....
Gusa unase🤔.Kwahiyo Ruksa Kuloweka
Hapa bongo watu wanasherehekea kama mazuzu kwa jambo litakaloanza 2040Trials zilianza 2018 na walisema itakua na lasting period ya miezi 12 baadae walisema miezi 6. Marekani wameanza kutumia ya miezi sita kwa waliofibaza wadudu. Licence ya Ulaya ni miezi miwili inagawa imeanza kutumika kwa wenye matatizo ya akili wanaosahau kunywa dawa.
Hapa bongo watu wanasherehekea kama mazuzu kwa jambo litakaloanza 2040
HaaTriple P Mji Mkongwe ile Pub yao balaaa kama uko London..aiseeh Wanyambo shenzisanq.....
Henaicho vogha tehena kangi ambu unethomwa thingano? [emoji44][emoji44]Bora asee
Itakuwa haitishi tena maana ARV daily ilifanya hata tundi nisile kwa uhuru kuogopa ngwengwe
Hii habari njema tutaendelea kutandaza miti peku at will tukijua tuba mujarabu ipo. Kufa utakufa tuuuu hata KWA kupaliwa na maji maamae !
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Henaicho vogha tehena kangi ambu unethomwa thingano? [emoji44][emoji44]
Sent from my CPH1933 using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hii habari njema tutaendelea kutandaza miti peku at will tukijua tuba mujarabu ipo. Kufa utakufa tuuuu hata KWA kupaliwa na maji maamae !
Mkaldayo tutakupoteza wewe vamia vichaka tu.Hii habari njema tutaendelea kutandaza miti peku at will tukijua tuba mujarabu ipo. Kufa utakufa tuuuu hata KWA kupaliwa na maji maamae !