Hata msipotwaa urais, ACT-Wazalendo mmefunika wote 'kifashoon'

Hata msipotwaa urais, ACT-Wazalendo mmefunika wote 'kifashoon'

Zurie

JF-Expert Member
Joined
Jul 6, 2014
Posts
2,012
Reaction score
5,571
Tuanze na Quote ya Tom Ford kwanza "Dressing well is a form of good manners".

ACT- Wazalendo wamejipanga kusuuza nyoyo zetu tunaopenda Mitindo. Najua mtasema nguo zinawasaidia nini wagombea? Maybe haziwasaidii lakini kongole lazima wapate.

I am not too political hivyo hata nikiangalia mgombea huwa kuna vitu naangalia zaidi ya Sera sijui Ahadi n.k. Actually ACT wako makini! Ni chama kinachochipukia, ni chama kipya kuliko vyote lakini wako organized. Matamko yao huwa yanaeleweka, wako organized unlike vyama vingine hususani vya upinzani tena vikongwe.

Sasa tuje kwenye mavazi. Maalim Seif, Membe, Zitto...they all look Mwaaahh! Perfect Designs, they look like they mean business. Wamependeza lakini sio kihuni at all! They look like you can introduce them to your father na akawaelewa!

Ningependa pia kumpongeza anayeshughulikia suala la picha kwa ACT. JOB WELL DONE!

All the best katika kampeni.

WhatsApp Image 2020-08-06 at 17.10.43.jpeg

Mnataka kukabidhiwa nchi, you might as well look like it!
WhatsApp Image 2020-08-06 at 17.10.42(1).jpeg

Sitosema lolote, nisionekane nimetumwa!
WhatsApp Image 2020-08-06 at 17.10.42.jpeg

Ni aina ya mdada ambaye nikikutana naye nje ya washroom namuomba anishikie handbag yangu! Trustworthy!

WhatsApp Image 2020-08-06 at 17.10.41(1).jpeg

Kuna upoaji flani hivi unakuwa nao ukijua umependeza
WhatsApp Image 2020-08-06 at 17.10.41.jpeg

They look like they mean business, like how they should!
WhatsApp Image 2020-08-06 at 17.10.40.jpeg

Kucheza na rangi muhimu, white means clean, pure and angelic!
WhatsApp Image 2020-08-06 at 17.10.39.jpeg

Namna hii!
 
Mitupio/Kivazi
😁😊😀😄😅😃🤣🤣
 
Yeah,

Wengine kuvaa manguo yenye rangi zaidi ya mbili tena mpangilio mbovu kama masweta ya wale jamaa ni taboo!

Hizo shirts za ACT itakuwa black label kutoka kwa Sheria Ngowi.
 
Yeah,

Wengine kuvaa manguo yenye rangi zaidi ya mbili tena mpangilio mbovu kama masweta ya wale jamaa ni taboo!

Hizo shirts za ACT itakuwa black label kutoka kwa Sheria Ngowi.

Kwa sekta hiyo Wamejipanga. I am very sure wamehusisha wataalamu
 
Kwasasa tukio la mkutano wao linatrend namba ngapi youtube? [emoji1787][emoji1787]
 
Ila wale wengine wana bando wamelipiwa na mabeberu au serikali? Au youtube imewahujumu waliopendeza wasitazamwe? Maana ukipendeka shurti utazamwe na kuonekana umependeza, hatupendezi chumbani watu wa Mungu[emoji23]
 
Ila wale wengine wana bando wamelipiwa na mabeberu au serikali? Au youtube imewahujumu waliopendeza wasitazamwe? Maana ukipendeka shurti utazamwe na kuonekana umependeza, hatupendezi chumbani watu wa Mungu[emoji23]

Mkuu, kama unataka ligi za kisiasa umepotea jukwaa.

ACT haina mashabiki zaidi ya hao unaowalinganisha nao. ACT bado chama kichanga wameanza juzi tu bado sana kutoboa especially kitaifa.

Hapa nimesifia mavazi. Kitu ambacho hata hao wanaotrend wangeweza kufanya kwa funds walizo nazo.

Sina energy ya malumbano ya kisiasa sijui followers. Kama una waliopendeza zaidi walete tuanze ligi ila habari za followers sijui nini nisamehe tu.
 
Tuanze na Quote ya Tom Ford kwanza "Dressing well is a form of good manners".

ACT- Wazalendo wamejipanga kusuuza nyoyo zetu tunaopenda Mitindo. Najua mtasema nguo zinawasaidia nini wagombea? Maybe haziwasaidii lakini kongole lazima wapate.

I am not too political hivyo hata nikiangalia mgombea huwa kuna vitu naangalia zaidi ya Sera sijui Ahadi n.k. Actually ACT wako makini! Ni chama kinachochipukia, ni chama kipya kuliko vyote lakini wako organized. Matamko yao huwa yanaeleweka, wako organized unlike vyama vingine hususani vya upinzani tena vikongwe.

Sasa tuje kwenye mavazi. Maalim Seif, Membe, Zitto...they all look Mwaaahh! Perfect Designs, they look like they mean business. Wamependeza lakini sio kihuni at all! They look like you can introduce them to your father na akawaelewa!

Ningependa pia kumpongeza anayeshughulikia suala la picha kwa ACT. JOB WELL DONE!

All the best katika kampeni.

View attachment 1528936
Mnataka kukabidhiwa nchi, you might as well look like it!
View attachment 1528937
Sitosema lolote, nisionekane nimetumwa!
View attachment 1528938
Ni aina ya mdada ambaye nikikutana naye nje ya washroom namuomba anishikie handbag yangu! Trustworthy!

View attachment 1528939
Kuna upoaji flani hivi unakuwa nao ukijua umependeza
View attachment 1528940
They look like they mean business, like how they should!
View attachment 1528941
Kucheza na rangi muhimu, white means clean, pure and angelic!
View attachment 1528942
Namna hii!
Ni kweli wamependeza Agnes
 
Back
Top Bottom