chlorine gas
JF-Expert Member
- Jun 12, 2015
- 2,522
- 2,651
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwamba mimi naitwa Agnes au sio?[emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwamba mimi naitwa Agnes au sio?[emoji1787]
Siyo malumbana ni katika kuweka kumbukumbu vizuri, naona watu wanaponda sare za vyama vingine ambavyo wew unasema vina mashabiki kwa kuwa ni vya muda mrefu, je mashabiki au wafuasi wao waliwapendea mavazi?Mkuu, kama unataka ligi za kisiasa umepotea jukwaa.
ACT haina mashabiki zaidi ya hao unaowalinganisha nao. ACT bado chama kichanga wameanza juzi tu bado sana kutoboa especially kitaifa.
Hapa nimesifia mavazi. Kitu ambacho hata hao wanaotrend wangeweza kufanya kwa funds walizo nazo.
Sina energy ya malumbano ya kisiasa sijui followers. Kama una waliopendeza zaidi walete tuanze ligi ila habari za followers sijui nini nisamehe tu.
Kitakachoisimamisha ACT ni consistence na siyo sare, wasimamie wanachokiamini kwa muda mrefu hadi watu wawaweke kwenye nyoyo zao na wasiingie kwenye mtego wa kuyumbayumba.
Siyo malumbana ni katika kuweka kumbukumbu vizuri, naona watu wanaponda sare za vyama vingine ambavyo wew unasema vina mashabiki kwa kuwa ni vya muda mrefu, je mashabiki au wafuasi wao waliwapendea mavazi?
Mbona unapiga kampeni tena!!ACT ni chama makini sana. Wafuatilie utajionea. Huwezi pata kura kwa mavazi lakini mavazi yako yanaonesha wewe ni mtu wa namna gani.
Kampeni hazijaanza badoKwani siruhusiwi?
Wewe pia hauruhusiwi.Kwa wanasiasa na vyama vyao. Mimi sigombei
Ahahaha, okay enjoy...my dear.Wewe wasema
Nakusalimiaa
😂😂😂😂😂 wwe mbona hujajiombeaaMimi nakuombea upate manzi mpya kutoka JF!
Naombaa faili la huyo uliyemquoteMimi nakuombea upate manzi mpya kutoka JF!
Kwani uku ataonaa?Sasa hivi unajifanya humtaki yna2?
Ndo maana nampendaAtakuja huku,nasikia ni mwanasiasa hodari!