"Hata muonekano wake tu unaonyesha", "hata sura yake..." ni kauli za hovyo sana zilizoshika mizizi.

"Hata muonekano wake tu unaonyesha", "hata sura yake..." ni kauli za hovyo sana zilizoshika mizizi.

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Hizi kauli za kumuangalia mtu na kusema hata muonekano wake tu unaonyesha yule ni kahaba, mdangaji, mwizi shoga, muuaji, ana roho mbaya n.k ni kauli za hovyo sana. Yani mtu anaweza kumuangalia tu mwanamke amevaa mini skirt, ana tatoo mkononi au shingoni, kichwani ana bleach na mguuni ana kikuku akajiamulia tu huyu ni kahaba, anajiuza, malaya au malaya mzoefu.

Mtu anaweza kumuangalia tu mwanaume jinsi anavyotembea, kuongea au amevaa kinjuga kimebana unasikia anasema "huyu kasha left group", "lile papai" au ni shoga

Mtu anaweza kukamatwa na polisi na kwa sababu polisi wamejijengea utamaduni wa ku parade kila aina ya watuhumiwa mbele ya vyombo vya habari unasikia mtu anasema "kwa kumuangalia tu sura" yake yule atakuwa kweli muuaji, kahaba, ana roho mbaya n.k

Mtu anaangalia tu kichwa cha mtu anasema kwa kuangalia tu kichwa chake atakuwa hana akili! Hivi kuweli muundo wa kichwa cha mtu unaweza kukujulisha kama anazo au hana akili??

Hizi na kauli nyingine za aina hii ni kauli za hovyo sana zinazotumiwa na watu wapumbavu zaidi.
 
Hizi kauli za kumuangalia mtu na kusema hata muonekano wake tu unaonyesha yule ni kahaba, mdangaji, mwizi shoga, muuaji, ana roho mbaya n.k ni kauli za hovyo sana. Yani mtu anaweza kumuangalia tu mwanamke amevaa mini skirt, ana tatoo mkononi au shingoni, kichwani ana bleach na mguuni ana kikuku akajiamulia tu huyu ni kahaba au malaya
Hii description though
 
Aisee morphology structure ya kichwa yake inaonyesha kabisa ana mtindio wa ubongo, hatuna sababu ya kumlaumu. ,😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Hizi kauli za kumuangalia mtu na kusema hata muonekano wake tu unaonyesha yule ni kahaba, mdangaji, mwizi shoga, muuaji, ana roho mbaya n.k ni kauli za hovyo sana. Yani mtu anaweza kumuangalia tu mwanamke amevaa mini skirt, ana tatoo mkononi au shingoni, kichwani ana bleach na mguuni ana kikuku akajiamulia tu huyu ni kahaba, anajiuza, malaya au malaya mzoefu.

Mtu anaweza kumuangalia tu mwanaume jinsi anavyotembea, kuongea au amevaa kinjuga kimebana unasikia anasema "huyu kasha left group", "lile papai" au ni shoga

Mtu anaweza kukamatwa na polisi na kwa sababu polisi wamejijengea utamaduni wa ku parade kila aina ya watuhumiwa mbele ya vyombo vya habari unasikia mtu anasema "kwa kumuangalia tu sura" yake yule atakuwa kweli muuaji, kahaba, ana roho mbaya n.k

Mtu anaangalia tu kichwa cha mtu anasema kwa kuangalia tu kichwa chake atakuwa hana akili! Hivi kuweli muundo wa kichwa cha mtu unaweza kukujulisha kama anazo au hana akili??

Hizi na kauli nyingine za aina hii ni kauli za hovyo sana zinazotumiwa na watu wapumbavu zaidi.
sasa hiyo inatofauti gani na kuhisi kwamba vijana wale wametumwa kufanya waliyofanya, bila ya uthibitisho usio na shaka?🐒
 
Hizi kauli za kumuangalia mtu na kusema hata muonekano wake tu unaonyesha yule ni kahaba, mdangaji, mwizi shoga, muuaji, ana roho mbaya n.k ni kauli za hovyo sana. Yani mtu anaweza kumuangalia tu mwanamke amevaa mini skirt, ana tatoo mkononi au shingoni, kichwani ana bleach na mguuni ana kikuku akajiamulia tu huyu ni kahaba, anajiuza, malaya au malaya mzoefu.

Mtu anaweza kumuangalia tu mwanaume jinsi anavyotembea, kuongea au amevaa kinjuga kimebana unasikia anasema "huyu kasha left group", "lile papai" au ni shoga

Mtu anaweza kukamatwa na polisi na kwa sababu polisi wamejijengea utamaduni wa ku parade kila aina ya watuhumiwa mbele ya vyombo vya habari unasikia mtu anasema "kwa kumuangalia tu sura" yake yule atakuwa kweli muuaji, kahaba, ana roho mbaya n.k

Mtu anaangalia tu kichwa cha mtu anasema kwa kuangalia tu kichwa chake atakuwa hana akili! Hivi kuweli muundo wa kichwa cha mtu unaweza kukujulisha kama anazo au hana akili??

Hizi na kauli nyingine za aina hii ni kauli za hovyo sana zinazotumiwa na watu wapumbavu zaidi.
Kuna kitu lazima ukubali huo ndio uhalisia, mavazi yako, utembeaji wako na hata kuongea kwako na siku hizi na simu yako kuna reflect uhalisia wako. Hivi ukiniona barabara nimevaa suruali inaonyesha chupi yote na mtoto wakiume nimevaa heleni moja kwa moja kichwani utaanza kunijuwa kabla ya kunijuwa. Mavazi ni personality ya mtu kwa kiasi fulani. Huwezi kuwa mwanammke na heshima yako ukatoka mapaja yote yako nje watu watakuchukulia kama wale wenye tabia hizo.
 
Hizi kauli za kumuangalia mtu na kusema hata muonekano wake tu unaonyesha yule ni kahaba, mdangaji, mwizi shoga, muuaji, ana roho mbaya n.k ni kauli za hovyo sana. Yani mtu anaweza kumuangalia tu mwanamke amevaa mini skirt, ana tatoo mkononi au shingoni, kichwani ana bleach na mguuni ana kikuku akajiamulia tu huyu ni kahaba, anajiuza, malaya au malaya mzoefu.

Mtu anaweza kumuangalia tu mwanaume jinsi anavyotembea, kuongea au amevaa kinjuga kimebana unasikia anasema "huyu kasha left group", "lile papai" au ni shoga

Mtu anaweza kukamatwa na polisi na kwa sababu polisi wamejijengea utamaduni wa ku parade kila aina ya watuhumiwa mbele ya vyombo vya habari unasikia mtu anasema "kwa kumuangalia tu sura" yake yule atakuwa kweli muuaji, kahaba, ana roho mbaya n.k

Mtu anaangalia tu kichwa cha mtu anasema kwa kuangalia tu kichwa chake atakuwa hana akili! Hivi kuweli muundo wa kichwa cha mtu unaweza kukujulisha kama anazo au hana akili??

Hizi na kauli nyingine za aina hii ni kauli za hovyo sana zinazotumiwa na watu wapumbavu zaidi.
Akikuangalia tuu unamakovu,utaambiwa huyu ni mwizi tuu!
 
Mimi na amini, kwenye maandiko:-
Maandiko yanasema, "aonavyo nafsini mwake basi ndivyo alivyo".
Kwa hiyo hata roho wa Mungu angaiki na appearance ya mwili wako bali anaangalia rohoni mwako, mawazo yako, kisha anamalizia na matendo yako.

Wewe toboa sehemu zote za mwili wako, jichore matattoo mpaka kwenye ulimi as long as rohoni ni msafi, unawaza vyema na kutenda mema basi utauona ufalme wa Mungu. Amina
 
Hizi kauli za kumuangalia mtu na kusema hata muonekano wake tu unaonyesha yule ni kahaba, mdangaji, mwizi shoga, muuaji, ana roho mbaya n.k ni kauli za hovyo sana. Yani mtu anaweza kumuangalia tu mwanamke amevaa mini skirt, ana tatoo mkononi au shingoni, kichwani ana bleach na mguuni ana kikuku akajiamulia tu huyu ni kahaba, anajiuza, malaya au malaya mzoefu.

Mtu anaweza kumuangalia tu mwanaume jinsi anavyotembea, kuongea au amevaa kinjuga kimebana unasikia anasema "huyu kasha left group", "lile papai" au ni shoga

Mtu anaweza kukamatwa na polisi na kwa sababu polisi wamejijengea utamaduni wa ku parade kila aina ya watuhumiwa mbele ya vyombo vya habari unasikia mtu anasema "kwa kumuangalia tu sura" yake yule atakuwa kweli muuaji, kahaba, ana roho mbaya n.k

Mtu anaangalia tu kichwa cha mtu anasema kwa kuangalia tu kichwa chake atakuwa hana akili! Hivi kuweli muundo wa kichwa cha mtu unaweza kukujulisha kama anazo au hana akili??

Hizi na kauli nyingine za aina hii ni kauli za hovyo sana zinazotumiwa na watu wapumbavu zaidi.
Nimeishiwa imani kabisa na polisi...
 
Hadi sisi wenye vipara tumeanza kutengwa kwenye magroup
1724062466837.jpg
 
Back
Top Bottom