Hata Shetani likizeeka linakuwa malaika

Kaka tusidanganyane hapa... umekula maisha yakeo weeee, career yako imeshamiri tokana na
kupromote ngono leo hii binti mdogo unifuate eti mapenzi ya bila sex intimacy... Khaaa!!
Hahahahahahahahahaha kwa kweli mechi muhimu sana kwa watu wenye meno 32
 
Hakuna malaika wa uzee,wakati ana nguvu mbona hakufanya anayopaswa kufanya Ukweli ni kwamba huwa wanajua pa kutulizia uzee wao na watu wa kuwatunza wapo (mke na watoto).
mbona shetani alikuwa malaika? inashindikanaje kinyume inawezekana chauro
 
Huyo **** kaishiwa na pengine anaugonjwa. Anataka mahali pa kujisitiri maana nyumba ndogo na marazi mbalimbali
 
Huyo **** kaishiwa na pengine anaugonjwa. Anataka mahali pa kujisitiri maana nyumba ndogo na marazi mbalimbali
hata mimi nina wasiwasi, wajameni tuwe makini sana na watu wa aina hii, ndio tufurahi wamerudi ila tuangalie na mambo mengine kama kupima afya na maslahi mengine, sio mtu keshachoka au kakanyaga huko anakuja kujituliza kwako, yaani wewe unakuwa mtu wa shida tu
 
Yeah Holy hakutegemea kbs kibabu kama kingemwachamoja moja. Huwa najiuliza kile kibabu kinaweza kuchezasebene kweli? Au ndo kwa mkono kama alivyosema Gaga...
 
Kweli kama hana ka ugonjwaBasi inmawezekana kajirekebisha jaman maana sisini binadamu tu tunaweza kuchange ki vyovyote ilaKupima muhimu sana hapo.
 
Yeah Holy hakutegemea kbs kibabu kama kingemwachamoja moja. Huwa najiuliza kile kibabu kinaweza kuchezasebene kweli? Au ndo kwa mkono kama alivyosema Gaga...
Pale ana keep his fingers walking....kama yellow pages vile.... hakuna kitu mtoto atakuwa anaambulia kupapaswa tu.... holy yana hana amani kabisa, na naona alitamani sana kuolewa na ukizingatia yeye age yake ni kubwa
 
Kweli kama hana ka ugonjwaBasi inmawezekana kajirekebisha jaman maana sisini binadamu tu tunaweza kuchange ki vyovyote ilaKupima muhimu sana hapo.
Tuombe Mungu awe ameamua tu kujirekebisha
 
Huo msemo wa ukweli na unawataka mpunguze ulimbukeni coz haisaidii chochote kuruka ruka, binafsi sitaraji kumtenda sivyo my gf, akinizingua nampotezea kabisa!
 
Atakuwa anaweka mkono tu hana lolote, alitakiwa aoe kikongwe mwenzake tu, ndio huuyu mzee utakuta nguvu zimemuisha ndio karudisha mlenda wake home

Gaga kwa nilivyocheka lazima mbavu yangu moja itakua ina walakini phewww! lol
 
Gaga kwa nilivyocheka lazima mbavu yangu moja itakua ina walakini phewww! lol
Yaani na wewe umeona wababa wakiona zimeisha nguvu ndio wanarudi kwa wake zao, zimechokaaaaa zimewashukaaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…