Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,468
- 911,184
una uhakika alikwisha kufa ganzi au alipata njemba ya kumliwaza machungu ya mzee wake??????????????????????Tatizo linakuja yule dada alishakufa ganzi moyo akawa anaishi maisha yake, wakati mume sasa hivi ndio anajifanya kumuhitaji kuliko kitu chochote kile, ndio mwisho wa maongezi mdada mwingine akaibuka na huu msemo eti hata shatani akizeeka anakuwa malaika.......Eti wakuu mnakubaliana na huo msemo???
Rose1980............................hii ni hoja nzito ...............................wanaumme wengi wakikamatwa na majanga ndiyo hukumbuka kuwa wanaowapenda kikweli kweli...................................wale wachunaji huwa wametoweka na hivyo hana jinsi...............hutimiza msemo usemao..................usiache mbachao kwa msala upitao....................................labda Shantel atuelimishe khali ya kiuchumi wa huyu mjamaa...........................kabla ya kusema amejirudi na kujutia harakati zake za pimbi..................................mwanaume ajapunguzwa kaz? ela zipo km zaman/ ni ayo tu km yupo levo tu bas ATAKUA AMEbadirika kweli..
HahhahaaaaaNo! Shetani likizeeka huwa DUDUVULE teh!
Kasema yupo fresh kwenye posts zake hapo juuRose1980............................hii ni hoja nzito ...............................wanaumme wengi wakikamatwa na majanga ndiyo hukumbuka kuwa wanaowapenda kikweli kweli...................................wale wachunaji huwa wametoweka na hivyo hana jinsi...............hutimiza msemo usemao..................usiache mbachao kwa msala upitao....................................labda Shantel atuelimishe khali ya kiuchumi wa huyu mjamaa...........................kabla ya kusema amejirudi na kujutia harakati zake za pimbi..................................
Kwani wanaume nao hawana maudhi? unajua kwenye ndoa mnakutana kila mtu anatabia zake mnaanza kucorp sasa... hapo wenzetu wanapenda tuache tuliyoyazoea na tufate ya kwao, tuache marafiki zetu tuwe marafiki wa wake za marafiki zaoUnajua jamii huwa inapamba maneno. Inawezekana alihama kwa sababu ya maudhi ya mkewe. Tatizo la wanawake huwa warahisi kuongea ila sisi wanaume huwa warahisi wa kutenda. Wiffe akinikosea sina haja ya kumtangaza ... ni ku-take action tu.