Hata sisi ni staa, kwa majina nitataja,

Lets ride....

Waage kina Magulumangu kabisa maana nxt time watakuona kwenye tv na kukusikia redioni!!


weweeeee!!!! Lizzy we Mkareeee yani wala si ordinariii iwe kitaa, jamvini hata darasani..... Looking forward to our successful journey....
 
too biased........majina yote ya wabeijing!!!!!!

Mhhh.....Hata mzee kanusa dalili za hatari.....Ni mwanzo mzuri lakini.

Ila jamaa anaweza kuwa katika hatua nzuri sana ya kujifunza kuwinda!!


Mzee DC.
 
asha d s[/COLOR]itokuacha,
sweetlady yu mahiri,lizzy ye muarusha,
Brackberry stahiri,kukuacha tutaisha,
Hata sisi ni staa, kwa majina nitataja,

,


Magulumangu nashukuru saana kwa wewe kunirusha pamoja na mwalimu/partner in business wangu (nilompata humu humu) baada ya kuonesha u star wako katika utunzi. Tokana na ukweli kwamba tayari maisha yetu yamekua na matumaini zaidi hivyo kuhitaji nguvu zetu zote kuweza fanikiwa, nimeshauriwa na huyu mrembo Lizzy kua wakati wa kuaga umefika; nakushauri malizia ushairi wako na uweze weka mastaa wooote ulo wasahau na wale ulikua bado unawaorodhesha.... Asante sana....lol
 
weweeeee!!!! Lizzy we Mkareeee yani wala si ordinariii iwe kitaa, jamvini hata darasani..... Looking forward to our successful journey....
Hahhahaa...
Mi mkareee we mkareee
Tukitembea wote sare sare...
Tunasonga mbele huku tukipare...tukiparee tukipareee
Kina Magulumangu wao watabaki pare pare!
 
Hahhahaa...
Mi mkareee we mkareee
Tukitembea wote sare sare...
Tunasonga mbele huku tukipare...tukiparee tukipareee
Kina Magulumangu wao watabaki pare pare!


Lizzy uzalendo umenishinda mpenzi mana safari yetu iko....


cash and carry in a hurry, karee
carry forward,
Magulumangu, haree
safari za mbalimbali, karee
biashara mbare mbare, karee
hatuchoki na hii safari, karee
sauti za kinyumbani, karee
Asha D, Lizzy bright, Karee
 

Hahahaha umenifurahusha kweli my dear mwanafunzi and partner!!mbona watatukoma mwaka huu!!Mugulumange mastaa wa ukwerii tunahare!!
 
Hahahahah wifi huyu anajenga bwana habomoi!!!Mume wangu akikubali ntakushirikisha.....sauti ya ngapi kwanza wewe??

Sauti ya ngapi tena? Najua kuimba kuzidi Dayamondi sijui yeye yuko ya ngapi vile, ukijua ya Dayamondi mie nitakuwa juu yake...
 
Bana angalia fidbak Mdada Lizzy kani Train mpaka karibia nafika nusu ya level yako kwa darasa moja... Fanya haraka sana kunipongeza.... Nimetunga bonge moja la shairi la mapenzi..... kwa raha zangu ....

Hongera sana AD nimeona wewe noma na Lizzy ni mwalimu muzuri muno....
 
Mhhh.....Hata mzee kanusa dalili za hatari.....Ni mwanzo mzuri lakini.

Ila jamaa anaweza kuwa katika hatua nzuri sana ya kujifunza kuwinda!!


Mzee DC.

Hahaha mkuu nawewe, ukisoma vizuri nimesema hilo ni dulu la kwanza jamani, nimeanza na ladies kama gentilimeni...
 


Tayari dalili za kuniovertake? Usiandamane na Lizzy kunitoa jamani, nitang'atuka mwenyewe na kazi niloianza ya kuwataja mastaa naomba uimalizie kama home work hahahaha..
 
Hahhahaa...
Mi mkareee we mkareee
Tukitembea wote sare sare...
Tunasonga mbele huku tukipare...tukiparee tukipareee
Kina Magulumangu wao watabaki pare pare!

Lizzy ntaachia kama nikiombwa niachie, sina uchu na madaraka hahaha, sitaki peoples power over me
 


Hapo nimekubari wala sina ubishi partners...u both rock..

Naiita -aree staili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…