afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,150
- 9,255
Mh! hivi watu wanapenda kuwa mastaa. Ukiuliza mara ngapi anaenda church/msikitini au kusoma biblia/msahafu? Hana jibu. Staa ardhini hapa wapo? Staa ni mwenye roho mtakatifu wa kweli siyo kama shairi lako.
Kuboreka kunaleta mauzauza mengi. Sorry kama nimeudhi mtu.
Hivi Caro
kuna ubaya gani kweye hilo shairi dear??/