Hata soka lina siasa, ilianza ya Messi kuchukua tuzo ya Erling, leo ni Rodri kuchukua ya Vini

Hata soka lina siasa, ilianza ya Messi kuchukua tuzo ya Erling, leo ni Rodri kuchukua ya Vini

Hizi ni tuzo za mihemuko tu.

Kuna wakati ribery ndio alipaswa kushinda ila ghafla tukaona ronaldo anapewa

Kuna ronaldo ndio alitakiwa kushinda ila ghafla akapewa messi
Aristotle alishasema katika maandiko yake kwamba "human being are political animals".mwisho wa kunukuu.

siasa ni maisha. kila mahali ni siasa, kwenye nyumba za ibada kuna aina ya siasa zake, kwenye biashara kuna aina ya siasa yake, kwenye mahusiano kuna aina ya siasa yake, kwenye kila familia kuna aina ya siasa yake n.k

Infact, hakuna mahali unaweza kukwepa siasa, ispokua ikiwa kama mtu hafahamu kwamba kila kinachofanyika na kuendelea, mathalani kwenye michezo ni siasa ya michezo katika mpira wa miguu, ipo siasa katika riadhi, ngumi n.k🐒
 
Aristotle alishasema katika maandiko yake kwamba "human being are political animals".mwisho wa kunukuu.

siasa ni maisha. kila mahali ni siasa, kwenye nyumba za ibada kuna aina ya siasa zake, kwenye biashara kuna aina ya siasa yake, kwenye mahusiano kuna aina ya siasa yake, kwenye kila familia kuna aina ya siasa yake n.k

Infact, hakuna mahali unaweza kukwepa siasa, ispokua ikiwa kama mtu hafahamu kwamba kila kinachofanyika na kuendelea, mathalani kwenye michezo ni siasa ya michezo katika mpira wa miguu, ipo siasa katika riadhi, ngumi n.k🐒
Kwl mkuu

Hahah

Mwanadamu ni yule yule anabadilisha mavazi tu haha
 
images (1).jpeg
 
Hizi ni tuzo za mihemuko tu.

Kuna wakati ribery ndio alipaswa kushinda ila ghafla tukaona ronaldo anapewa

Kuna ronaldo ndio alitakiwa kushinda ila ghafla akapewa messi
Unakosea kusema Kuna wakati alitakiwa kushinda fulani, halafu akashinda fulani. Umetumia vigezo gani kujua nani alitakiwa ashinde!?,nini maana ya kuchuana kama tayari una majibu mfukoni!?,unalaumu siasa wakati ulichokileta ndo siasa yenyewe. Kwasababu kipindi fulani ulitaka ashinde fulani, asiposhinda ndo siasa!????... Au wewe ndo unaleta siasa bila kujua!?
 
Vini media zinamkuza tu
Ni player wa kawaida mno
Ni Kwa vile yupo Madrid

Ila vini na matinel pale Arsenal ni sawa tu
Media zinamkuza kwa nani?.Maana wenye kumpendekeza ni wao wenyewe wanaoishi naye uko na wanamuona akicheza kwa macho wala hawahitaji kupata taarifa zake kwenye media wala mitandao.Sasa unasemaje media zinamkuza.Mimi ninayetazama mpira kwenye TV kwaakili zangu timamu bila kushawishiwa na media au mitandao naona jamaa alistahili ila wenye kuamua wameona wamchague mshindani wake kwasababu wanazozijua wao.
 
Media zinamkuza kwa nani?.Maana wenye kumpendekeza ni wao wenyewe wanaoishi naye uko na wanamuona akicheza kwa macho wala hawahitaji kupata taarifa zake kwenye media wala mitandao.Sasa unasemaje media zinamkuza.Mimi ninayetazama mpira kwenye TV kwaakili zangu timamu bila kushawishiwa na media au mitandao naona jamaa alistahili ila wenye kuamua wameona wamchague mshindani wake kwasababu wanazozijua wao.
Jifunze kumheshimu mawazo ya wengi
Sio kila unachotaka ww kitatokea
Wengi wanaona Rodri alistahili kabisa
Duniani Kwa Sasa hakuna kiungo mkabaji kama Rodri
Ameibeba Spain yenye makinda wengi wakabeba euro
Pale city ndo engine
Ana nidhamu kubwa
Utamnyima vip tuzo?
 
Vini media zinamkuza tu
Ni player wa kawaida mno
Ni Kwa vile yupo Madrid

Ila vini na matinel pale Arsenal ni sawa tu

2 time champion league winner
3 times la Liga winner
Dogo ana same number of assist na Messi kwenye champion league knockout stages
2 champion league final goals
Dogo amebandika hatrik ya kibabe ndani ya UEFA CHAMPION LEAGUE

Unaanzaje kumfananisha na TAKATA ambayo hata ndodo cup hajawahi kubeba?
 
Jifunze kumheshimu mawazo ya wengi
Sio kila unachotaka ww kitatokea
Wengi wanaona Rodri alistahili kabisa
Duniani Kwa Sasa hakuna kiungo mkabaji kama Rodri
Ameibeba Spain yenye makinda wengi wakabeba euro
Pale city ndo engine
Ana nidhamu kubwa
Utamnyima vip tuzo?

RODRI hakuwahi kuibeba Spain, Spain ilshinda fainali baada yeye kutoka
 
Back
Top Bottom