Hata Trump haamini, amebaki kinywa wazi na kushindwa kutweet chochote mpaka sasa!

Hata Trump haamini, amebaki kinywa wazi na kushindwa kutweet chochote mpaka sasa!

NIMEONA

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2019
Posts
3,862
Reaction score
5,693
Aisee nimetokea kumpenda bure huyu mama Nancy Pelos jamani. katikati ya mijabali miwili inayotunishiana misuli, mama anatembea kwa madaha bila wasiwasi wowote. Hili hata Trump, pamoja na kujitia kichaa, asingeweza! Hili hata yule msema hovyo aliyetimuliwa uPM kule UK, Bojo, asingeweza.

Nilipomuona anaichana ile hotuba ya Trump 'live' nikajua anadeka tu nyumbani, kumbe ni mtata kweli aisee!

Kwenye kuipigania democracy, wanamtambua vizuri mambo tu ya mapenzi ya watu lakini hapa Hillary Clinton haingii hata kwa robo yake kwa shostito wake huyu!

Tungewapata kina Nancy Pelosi kama watano hivi hapa Bongo bila shaka tungelikuwa mbali sana!!
 
Aisee nimetokea kumpenda bure huyu mama Nancy Pelos jamani........katikati ya mijabali miwili inayotunishiana misuli, mama anatembea kwa madaha bila wasiwasi wowote...
Sio siri tangu nakua nakupata hisia za mapenzi nimekua nikivutiwa mno na wanawake shupavu... energetic and brilliant.

Huyu Nancy Pelosi, Kamala Haris, Michelle Obama, Hillary Clinton, Condoleeza Rice, Martha Karua hunivutia mno. Hata wanawake niliowahi date nao ni wa kariba hiyo.
 
Sio siri tangu nakua nakupata hisia za mapenzi nimekua nikivutiwa mno na wanawake shupavu... energetic and brilliant. Huyu Nancy Pelosi, Kamala Haris, Michelle Obama, Hillary Clinton, Condoleeza Rice, Martha Karua hunivutia mno. Hata wanawake niliowahi date nao ni wa kariba hiyo.
😃😃😃
Wanavutia sana kiukweli
 
Sio siri tangu nakua nakupata hisia za mapenzi nimekua nikivutiwa mno na wanawake shupavu... energetic and brilliant. Huyu Nancy Pelosi, Kamala Haris, Michelle Obama, Hillary Clinton, Condoleeza Rice, Martha Karua hunivutia mno. Hata wanawake niliowahi date nao ni wa kariba hiyo.
Mimi mwanamke shupavu naye mkubali ni huyu hapa MAMA WA TAIFA LA TANGANYIKA BIBI TITI MOHAMMED
ELUiZWkWoAEoRdl.jpg
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sio siri tangu nakua nakupata hisia za mapenzi nimekua nikivutiwa mno na wanawake shupavu... energetic and brilliant. Huyu Nancy Pelosi, Kamala Haris, Michelle Obama, Hillary Clinton, Condoleeza Rice, Martha Karua hunivutia mno. Hata wanawake niliowahi date nao ni wa kariba hiyo.
 
Sio siri tangu nakua nakupata hisia za mapenzi nimekua nikivutiwa mno na wanawake shupavu... energetic and brilliant. Huyu Nancy Pelosi, Kamala Haris, Michelle Obama, Hillary Clinton, Condoleeza Rice, Martha Karua hunivutia mno. Hata wanawake niliowahi date nao ni wa kariba hiyo.
Vipi shangazi yetu maria?
 
Mimi mwanamke shupavu naye mkubali ni huyu hapa MAMA WA TAIFA LA TANGANYIKA BIBI TITI MOHAMMED
View attachment 2312519
Hakuwa na ushupavu wowote zaidi ya kubebwa na siasa za kiswahili swahili huko misikitini ndo maana walishindwana na Nyerere. Wanawake wa shoka walihubiri africanacity achana na hawa wanawake wa uswahilini waliotumika kupikia uji akina Nyerere.
 
Sio siri tangu nakua nakupata hisia za mapenzi nimekua nikivutiwa mno na wanawake shupavu... energetic and brilliant. Huyu Nancy Pelosi, Kamala Haris, Michelle Obama, Hillary Clinton, Condoleeza Rice, Martha Karua hunivutia mno. Hata wanawake niliowahi date nao ni wa kariba hiyo.
Kwa ambao Wanamkubali na kumfahamu angalau hata kidogo Bi Nacy pelos hii habari ya leo wala haiwezi kuwashtua. By the way namkubali Sana huyu bibie tokea muda sana hata kuhusu ziala yake ya China niliamini asilimia 90 kwenda asilimia 10 ni maamuzi ya busara tu kutokwenda . Trump anamfahamu vizuri alivyochana hotuba yake mbele yake 😄


# U.S.A NI SUPERPOWER CHINA NI MANDONGA 😆
 
Hakuwa na ushupavu wowote zaidi ya kubebwa na siasa za kiswahili swahili huko misikitini ndo maana walishindwana na Nyerere. Wanawake wa shoka walihubiri africanacity achana na hawa wanawake wa uswahilini waliotumika kupikia uji akina Nyerere.
Unadhani ilikuwa ni rahisi kwa mwanamke kujihusisha na mapambano ya kudai Uhuru miaka ya 1950s na by the way alitoka kwa msamaha wa huyo huyo Mwalimu siasa ni mchezo mchafu unafahamu varangati la Mwalimu na Oscar . Siasa ni chuki hata Mao Zedong aligombana na Deng Xiaoping na akamfuta kwenye chama kabisa siasa ni uadui na chuki ndipo mahali pake . Hakuna ajuaye kosa la kamanda Bibi titi Mohammed kufungwa na Mwalimu.
 
Back
Top Bottom