Kuna taaluma na ushabiki, nyinyi mashabiki kuna wakati mpuuzwe tu kwakuwa hamna msaada wowote ndani ya uwanja. Hata hayo mliyojifunza kwenye maisha bado hamjafikia mafanikio makubwa ya kujitapa,Sasa huku kwenye soka kocha anajua fika kuna mashabiki wasiojua kitu ila watajifanya wanajua dawa yao ni kuwazimia fegi tu ndio kocha alichofanya.