Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
afu ww unataka nikutongoze hadi lini ndio unipe?Aiseeeee
Nakupa surprise muda si mrefuafu ww unataka nikutongoze hadi lini ndio unipe?
Nambie mremboNakupa surprise muda si mrefu
poa aisubiria kwa hamu zoteNakupa surprise muda si mrefu
kausha basi mi naenda kupiga mzigo huo kavu kavu leo hii hii sasa usiharubi tulia huko hukoNambie mrembo
Pambana na hali yako, ata mm nataka nikale kavu kavu.kausha basi mi naenda kupiga mzigo huo kavu kavu leo hii hii sasa usiharubi tulia huko huko
unaeza kumwendea uvinza wewe dogo ama utakimbilia kuanzisha threadPambana na hali yako, ata mm nataka nikale kavu kavu.
Baba yako hanuki mdomo?Unaambiwa utamu wa ngoma ingia ucheze mwenyewe.
Ndivyo niliyoyashudia hivi majuzi baada ya kukutana na kijibrodamen smart kwa nje but domo sijui anatatizo gani yani sio romance tu hata akikuongelesha ùpepo woote wa bahari chafu unavuma kukuelekea mmmhh.
Eti sister sory nadhani ninakufaham if I am not mistaken.
Enhe niambie unanifahamuje?
Oohh unajuaa bla bla kibao
Basi nilikuwa disapointed hataree japo kwa muonekano alinivutia nikamwambia kaka nipe tu namba yako I will call you back kukatisha maelezo.
Nilivyoondoka pale ndio basi tena nikaifutilia mbali.
Ushauri wakaka jitahidini kusafisha ndimi na midomo yenu mnakera.
Muulize Inna nilicho mfanyaunaeza kumwendea uvinza wewe dogo ama utakimbilia kuanzisha thread
Mayooooooooooookausha basi mi naenda kupiga mzigo huo kavu kavu leo hii hii sasa usiharubi tulia huko huko
InnaMuulize Inna nilicho mfanya
Sasa hapo haujakutana na aliyepga Sigara plus Konyagi si ndio utazimia wewe [emoji16] [emoji16]Unaambiwa utamu wa ngoma ingia ucheze mwenyewe.
Ndivyo niliyoyashudia hivi majuzi baada ya kukutana na kijibrodamen smart kwa nje but domo sijui anatatizo gani yani sio romance tu hata akikuongelesha ùpepo woote wa bahari chafu unavuma kukuelekea mmmhh.
Eti sister sory nadhani ninakufaham if I am not mistaken.
Enhe niambie unanifahamuje?
Oohh unajuaa bla bla kibao
Basi nilikuwa disapointed hataree japo kwa muonekano alinivutia nikamwambia kaka nipe tu namba yako I will call you back kukatisha maelezo.
Nilivyoondoka pale ndio basi tena nikaifutilia mbali.
Ushauri wakaka jitahidini kusafisha ndimi na midomo yenu mnakera.
Hanaga siri huyo ndo mandungaembe yaliyobakiaDaaaàah sasa mbona umenianika huku si ulisema ni siri yetu mkuu
Muanzisha mada ni wewe na mambo ya multiple ID au?Mayoooooooooooo
Hapana hata simfahamu huyo mleta threadMuanzisha mada ni wewe na mambo ya multiple ID au?
Kabisa mkuu,sema wengi tunakosea kutojua kwamba wenza wetu wapo kichwani mwetuKwamba akiona vya elea vimeunda!
Shukran mkuu nashukur kwa kuuelewakweli mkuu ushauri mzuri
good goodShukran mkuu nashukur kwa kuuelewa