Hata uwe na pesa vipi na u_handsome vipi ukishakuwa unanuka mdomo pita mbali nami.

Hata uwe na pesa vipi na u_handsome vipi ukishakuwa unanuka mdomo pita mbali nami.

Aaaaargh!!!! Endelea kuchagua unachokitafuta utakipata
 
Ndo shida ya mabrazameni hamia sura ngumu ufaidi mema ya nchi ukiugua mafua ushabebwa mgongoni na kibo na mawenzi unafika kila mpigo
 
Nimepokea ushauri wenu wapendwa ila to be honest siwezi kumtafutia dawa kama baadhi walivyopendekeza coz I am not a MD pia siwezi kumsaidia kwa kumwambia coz I am not his wife ninachoona ni kwamba tu kila mmoja wetu ajiribu kujitathimini mapungufu yake na kuyafanyia kazi kwani hakuna aliyekamilika ila tunajiongeza tu.


Love you all mwaaaaah.
 
Ndo shida ya mabrazameni hamia sura ngumu ufaidi mema ya nchi ukiugua mafua ushabebwa mgongoni na kibo na mawenzi unafika kila mpigo

Mimi sura ngumu siziwezi lijitu limekomaa hata mvuto hamna!
Mimi nakula kitu roho inapenda I like the most Handsome guyz.
 
Sio tu kwa wanaume dada yangu sema sisi wanaume tuna vifua sana!
Mimi juzi tu jumapili nilikuwa na appointment ya kukutana na mrembo matata sana ila cha kushangaza mdomo wake haukuwa na harufu nzuri bali mbaya sana akitaka romance nikawa namkwepesha nikaagiza soda na chipsi kuku nikijua akila itakata but invain!
Ila kwakuwa tunaangalia wowowooo nikajikaza kisabuni nikapiga pipe kisawasawa na ikawa siri yangu nashangaa nyie mkiona tu leo mada hailali.

Kila mtu na focus yake kuhusi what's if good for him/her.
 
Na wewe utakimbiwa au kutolewa dhamani kwa udhaifu ulionao mkuu
 
Back
Top Bottom