Ndo shida ya mabrazameni hamia sura ngumu ufaidi mema ya nchi ukiugua mafua ushabebwa mgongoni na kibo na mawenzi unafika kila mpigo
Sio tu kwa wanaume dada yangu sema sisi wanaume tuna vifua sana!
Mimi juzi tu jumapili nilikuwa na appointment ya kukutana na mrembo matata sana ila cha kushangaza mdomo wake haukuwa na harufu nzuri bali mbaya sana akitaka romance nikawa namkwepesha nikaagiza soda na chipsi kuku nikijua akila itakata but invain!
Ila kwakuwa tunaangalia wowowooo nikajikaza kisabuni nikapiga pipe kisawasawa na ikawa siri yangu nashangaa nyie mkiona tu leo mada hailali.