Pre GE2025 Hata waliomsifia kwa mapambio nao wanajuta kumfahamu!

Pre GE2025 Hata waliomsifia kwa mapambio nao wanajuta kumfahamu!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Li ngunda ngali

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2023
Posts
707
Reaction score
2,572
Wamebaki ma chawa na walamba asali kumpongeza kinafiki huku tukiwa nao mtaani wana mng'ong'a.

Naogopa nihisipo mwisho wake. Najiuliza, utakuwaje!?

Kila pembe sasa ni kilio kumlaumu yeye. Waliopotelewa na ndugu, watoto, wajomba na wasaidizi wao kutwa wanamlilia. NA HATA WALIOTUAMINISHA VIROBA TENA HAWAVIONI, SASA MIDOMO YAO I MIZITO KUNENA!

Mbaya zaidi, hata walio msifia kwa nyimbo na mapambio, nao wanajutia kumfahamu.

Ama kweli ngoma ikivuma sana mwisho hupasuka.

RIP JIWE.
 
Wamebaki ma chawa na walamba asali kumpongeza kinafiki huku tukiwa nao mtaani wana mng'ong'a.

Naogopa nihisipo mwisho wake. Najiuliza, utakuwaje!?

Kila pembe sasa ni kilio kumlaumu yeye. Waliopotelewa na ndugu, watoto, wajomba na wasaidizi wao kutwa wanamlilia. NA HATA WALIOTUAMINISHA VIROBA TENA HAWAVIONI, SASA MIDOMO YAO I MIZITO KUNENA!

Mbaya zaidi, hata walio msifia kwa nyimbo na mapambio, nao wanajutia kumfahamu.

Ama kweli ngoma ikivuma sana mwisho hupasuka.

RIP JIWE.
Halafu ataishia kupanga na kupangua wiki ijayo ili kupoteza watu maboya, hivi kwanini tusimpangue yeye?
 
Halafu ataishia kupanga na kupangua wiki ijayo ili kupoteza watu maboya, hivi kwanini tusimpangue yeye?
Kosa kubwa zaidi litakuwa kumruhusu aendelee miaka mitano ijayo.
 
Back
Top Bottom