Hata zikigundulika dhahabu kila mtaa na kila nyumba bado ufukara hautawaondoka Watanzania!

Hata zikigundulika dhahabu kila mtaa na kila nyumba bado ufukara hautawaondoka Watanzania!

Habari,

Huu ndio ukweli. Ni wakati sasa Watanzania na viongozi tuache kutwakutwa kujivunia rasilimali za asili badala yake tuwaze maendeleo. Yaani rasilimali zifikiriwe au kutajwa pale tu tunapotaka kufanya jambo.

Tusianze kufikiri na kuzitaja rasilimali kabla ya kufikiri maendeleo (matumizi ya rasilimali). Kutwakutwa kila mtu mara eeh tuna vivutio vingi, mara ukiondoa Brazil sisi tunafuata, Mara oohh tuna rasilimali nyingi kushinda nchi nyingi. So, what?

Hata zikigundulika dhahabu kila kona ya kitanda cha Mtanzania bado ufukara utaendelea kuwaamiza Watanzania. Watanzania wengi wanatafuta asubuhi ili wale mchana, wanatafuta mchana ili wale usiku mmoja tu. Yaani mtu anatafuta akipata anakwenda kumwona mama nitilie.
Anatafuta akipata tu mbio gengeni kuhemea nyanya chungu.

Ndio maana Jiwe alikataa Lock down alijua tu maisha ya Watanzania ni kama ndege, hawana akiba ya miezi 2,3 au 4 mbele. Kama rasilimali hizi zote zilizogundulika na kuanza kutumika hazijamkomboa Mtanzania, basi vivyohivyo hata ardhi yote umbali wa mita moja chini ikijaa Almasi ni bure.

Hapa leo sijagusia malazi, elimu, mavazi na usafiri. Nimegusia msosi tu. Saa sita inakaribia wahangahikaji wanakwenda kugombania msosi wa buku kwa mama nitilie, yaani msosi wa 0.4$, imagine.

Wengine mchana wanatumia jero tu kwa lugha nyingine ni kwamba wanatumia 0.2$ kupata chakula. Wengine wananunua dagaa wa jero, unga nusu 900 nyanya ya mia mbili, maji ya mtoni, kuni. Hapo total 1600 Tshs ambapo ni msosi wa watu 4. Kila mmoja Tsh. 400 ni kama dola 0.1 na ushehe kidogo.
Tuliambiwa gesi ndio utakuwa mwarobaini wa matatizo ya nishati ya kupikia na mkombozi wa mazingira.Leo hii gesi inakwenda CHINA na umaskini wetu uko palepale.Hiyo ndio kazi ya CCM,wafuasi wa CCM wengi wako vijijin wanajua kushangilia tu na hawajui kinachoendelea ktk karne hii ya 21. ni ajabu sana na masikitiko watu wanapo ishi ndani ya nchi yao kama mbuzi tu.
 
Tuliambiwa gesi ndio utakuwa mwarobaini wa matatizo ya nishati ya kupikia na mkombozi wa mazingira.Leo hii gesi inakwenda CHINA na umaskini wetu uko palepale.Hiyo ndio kazi ya CCM,wafuasi wa CCM wengi wako vijijin wanajua kushangilia tu na hawajui kinachoendelea ktk karne hii ya 21. ni ajabu sana na masikitiko watu wanapo ishi ndani ya nchi yao kama mbuzi tu.
Hivi suala la gesi liliishia wapi?
 
Habari,

Huu ndio ukweli. Ni wakati sasa Watanzania na viongozi tuache kutwakutwa kujivunia rasilimali za asili badala yake tuwaze maendeleo. Yaani rasilimali zifikiriwe au kutajwa pale tu tunapotaka kufanya jambo.

Tusianze kufikiri na kuzitaja rasilimali kabla ya kufikiri maendeleo (matumizi ya rasilimali). Kutwakutwa kila mtu mara eeh tuna vivutio vingi, mara ukiondoa Brazil sisi tunafuata, Mara oohh tuna rasilimali nyingi kushinda nchi nyingi. So, what?

Hata zikigundulika dhahabu kila kona ya kitanda cha Mtanzania bado ufukara utaendelea kuwaamiza Watanzania. Watanzania wengi wanatafuta asubuhi ili wale mchana, wanatafuta mchana ili wale usiku mmoja tu. Yaani mtu anatafuta akipata anakwenda kumwona mama nitilie.
Anatafuta akipata tu mbio gengeni kuhemea nyanya chungu.

Ndio maana Jiwe alikataa Lock down alijua tu maisha ya Watanzania ni kama ndege, hawana akiba ya miezi 2,3 au 4 mbele. Kama rasilimali hizi zote zilizogundulika na kuanza kutumika hazijamkomboa Mtanzania, basi vivyohivyo hata ardhi yote umbali wa mita moja chini ikijaa Almasi ni bure.

Hapa leo sijagusia malazi, elimu, mavazi na usafiri. Nimegusia msosi tu. Saa sita inakaribia wahangahikaji wanakwenda kugombania msosi wa buku kwa mama nitilie, yaani msosi wa 0.4$, imagine.

Wengine mchana wanatumia jero tu kwa lugha nyingine ni kwamba wanatumia 0.2$ kupata chakula. Wengine wananunua dagaa wa jero, unga nusu 900 nyanya ya mia mbili, maji ya mtoni, kuni. Hapo total 1600 Tshs ambapo ni msosi wa watu 4. Kila mmoja Tsh. 400 ni kama dola 0.1 na ushehe kidogo.
Upo sahihi sana ndugu. Kwa sehemu kubwa ya watanzania tunatafuta leo ili tutumie leo. Ndio maana hata wafanyakazi wa umma waliowengi mshahara ukifika tarehe 15 ulishaisha na hapo ni maisha ya kubangaiza tu.

Kwa bahati mbaya sn hata hizo rasilimali madini, gesi na nyinginezo tulizonazo bado hatuwezi kuzitumia ipasavyo badala yake tuko bizy kwenda huko duniani kubembeleza watu (kwa jina la wawekezaji) waje wazivune wachukue ziwanufaishe tena kwa masharti nafuu ama sisi ndio tufuate watakayosema wao, muhimu tu waje wabebe mali na sisi tupate vichenji kidogo watakavyopenda wao kutugawia. Ila zakwao hawatakuja kutuambia sisi twende tukazichukue huko tulete kwetu. Kuhangaika na wawekezaji ni nanlmna nyingine ya Ukoloni wa kujitakia.
 
ELIMU
ELIMU
ELIMU
ELIMU ndio itainasua nchi na umaskini wake.
Elimu gani sasa unamaanisha? Ni hii hii tunayosoma kuhusu Ufugaji wa Kondoo Australia, Siku ta Gulio Katerero, kilimo cha Mpira Brazili, Bange Jamaika? Huku maprofesa, PHDs, Wahandisi na madaktari bingwa wanatoka kwenye fani zao wanakwenda kuwa wanasiasa? Najua Prof. Mkenda (W.Elimu) yupo vzr sn, lakini kiujumla watanzania bado tunasafari ndefu kufikia mafanikio makubwa ambayo wenzetu kama India tunaoambiwa miaka ya 60s tulikuwa tunafanana, kufikia huko.
 
Elimu gani sasa unamaanisha? Ni hii hii tunayosoma kuhusu Ufugaji wa Kondoo Australia, Siku ta Gulio Katerero, kilimo cha Mpira Brazili, Bange Jamaika? Huku maprofesa, PHDs, Wahandisi na madaktari bingwa wanatoka kwenye fani zao wanakwenda kuwa wanasiasa? Najua Prof. Mkenda (W.Elimu) yupo vzr sn, lakini kiujumla watanzania bado tunasafari ndefu kufikia mafanikio makubwa ambayo wenzetu kama India tunaoambiwa miaka ya 60s tulikuwa tunafanana, kufikia huko.
Upatu shujaa
Tola ala gizani
La la laaaa
 
Back
Top Bottom