Hataki niishi naye kwanza mpaka nijitambulishe kwao

Hataki niishi naye kwanza mpaka nijitambulishe kwao

Tuanzie hapo sababu ya kufutwa kazi, hebu parudie tena hapo?
 
Tuanzie hapo sababu ya kufutwa kazi, hebu parudie tena hapo?
anasema eti Sababu ni mimi,,,Boss wake alidaka chating zetu...akaona hayuko serious na kazi,,akaamua amtimue
 
anasema eti Sababu ni mimi,,,Boss wake alidaka chating zetu...akaona hayuko serious na kazi,,akaamua amtimue

Mzee huoni kama unashikwa masikio kwa hiyo sababu...
 
Fanay kile unachoona sawa.. Hayanaga muongozo...
 
Habari zenu wanajf..kuna mambo yananitatiza kidogo...

Kuna Binti niko nae kwenye Mahusiano takribani mwezi mmoja na nusu hivi..kiukweli nampenda sana,,,sina hata mpango wa kumsaliti. Huyu binti anaishi mbali kidogo na wazazi wake...Ana group la Mabinti wengine anaoishi nao....wanapanga kwa kushare chumba,

MWAZO WA SINTOFAHAMU:
katikati ya Mahusiano yetu,binti alisimamishwa kazi mpaka muda huu ninaoongea,,,anadai mimi ndo chanzo,,,maana kuna muda alikuwa anatumia Simu ya Boss wake kuchati namimi...kwahiyo anadai Boss aliona Chatting zetu akaamua kumfukuza kisa ni kwamba,eti ameendekeza mapenzi kuliko kazi...

Mimi baada ya kuona hali hiyo nikaamua kumwambia kwamba niko tiyari nimuoe...kwa maana ya kuishi nae kama mke...afu baada ya Siku kadhaa niende kwao kwa Wazazi wake nitoe taarifa ya kwamba binti nataka nimtolee mahali ya kumuoa,,,

Binti ninapomwambia anasema hawezi kuishi na mimi mpaka niende kwa Wazazi kwanza,,,

WASIWASI WANGU
((Hofu yangu,Kwasasa binti hana kazi yoyote,Anapoishi Kodi,Maji,Umeme,Chakula anahitajika alipie,,,pia Wanaishi Group la Mabinti watatu,,wenzio wana kazi zao...je wataweza kumtunza mpaka lini? Si itafika hatua watamchoka?))


Kwa upande wangu sina uwezo wa kumlipia akiwa anaishi peke yake huko....mimi nilitaka Aje aishi na mimi mahitaji yote atayapata akiwa kwangu kama mke...afu baadae mimi niende kujitambulisha kwao....Ila yeye Binti hataki hilo wazo langu anataka tuendelee kuwa kama wapenzi,,,ila swala kuishi namimi hataki mpaka nijitambulishe kwao...

Sasa ndugu zangu kweli mnaona kuna dalili nzuri za mahusiano yetu??

NB:Binti alishawahi nidokeza kwamba Wenzio anaoishi nao wanaenda makrabu usiku yeye wanamuacha ndani....na anasema yeye wala hajihusishi nao japo wanaishi wote.

Nisamehe kwa mpangilio mbaya wa ujumbe ASANTENI
Yaani mmefahamiana mwezi mmoja unataka akubali tu kirahidi kuhamia kwako? Hivi wanaume mna nini lakini

Mwache akusome ajiridhishe kwanza na wewe msome ujiridhishe suala la ndoa sio la kukurupuka
 
Yaani mmefahamiana mwezi mmoja unataka akubali tu kirahidi kuhamia kwako? Hivi wanaume mna nini lakini

Mwache akusome ajiridhishe kwanza na wewe msome ujiridhishe suala la ndoa sio la kukurupuka
Tatizo kwasasa hana kazi anayofanya...huo muda atakaokuwa ananichunguza atakuwa anaishije?
 
Kwanini vijana wenzangu mnakuwa vipofu, mnakuwa viziwi mnakuwa kama mazombie, mnakuwaje? Kila muda unavyoenda ndio kasi ya wanaume mazezeta ndio inaongezeka.

Kwanini utumie nguvu kubwa kulazimisha kuishi na kahaba, huyo kazoea kudanga akiwa na marafiki zake hapo huna demu bali una kahaba.
Kuwa mwanaume acha upumbavu.
For sure mkuu, anajua akiishi na jamaa ,order zake za kuuza k zitalala ...anazugia kwenda kujitambulisha
 
Tatizo kwasasa hana kazi anayofanya...huo muda atakaokuwa ananichunguza atakuwa anaishije?
We c ndo unahudumia mzee [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3], kaa karibu na card ya bank au menu ya kutuma pesa mda wowote utapigwa kizinga
 
Sioni ugumu unaouna hapo, kama kweli unania bas kajitambulishe wachana na kutaka kuish na bnt ya watu kinyemela.

Huyo n mtu s mbuz ukae naye kinyemela je, akaipata tatzo ama akikufia utaanzia wap?! Kuna mambo s hata ya kuomba akili za wengne ili ufanyie maamuzi.

Yy n mtu na ww n mtu fanya kutambulishana muish kwa amano, syo kuku huyo. Tatzo s apate yy je, ukipata ww tatzo atanzia wapi?! Wakat hana anayemjua kwenu wala hujulikani kwao 🤨🤔.
 
Habari zenu wanajf..kuna mambo yananitatiza kidogo...

Kuna Binti niko nae kwenye Mahusiano takribani mwezi mmoja na nusu hivi..kiukweli nampenda sana,,,sina hata mpango wa kumsaliti. Huyu binti anaishi mbali kidogo na wazazi wake...Ana group la Mabinti wengine anaoishi nao....wanapanga kwa kushare chumba,

MWAZO WA SINTOFAHAMU:
katikati ya Mahusiano yetu,binti alisimamishwa kazi mpaka muda huu ninaoongea,,,anadai mimi ndo chanzo,,,maana kuna muda alikuwa anatumia Simu ya Boss wake kuchati namimi...kwahiyo anadai Boss aliona Chatting zetu akaamua kumfukuza kisa ni kwamba,eti ameendekeza mapenzi kuliko kazi...

Mimi baada ya kuona hali hiyo nikaamua kumwambia kwamba niko tiyari nimuoe...kwa maana ya kuishi nae kama mke...afu baada ya Siku kadhaa niende kwao kwa Wazazi wake nitoe taarifa ya kwamba binti nataka nimtolee mahali ya kumuoa,,,

Binti ninapomwambia anasema hawezi kuishi na mimi mpaka niende kwa Wazazi kwanza,,,

WASIWASI WANGU
((Hofu yangu,Kwasasa binti hana kazi yoyote,Anapoishi Kodi,Maji,Umeme,Chakula anahitajika alipie,,,pia Wanaishi Group la Mabinti watatu,,wenzio wana kazi zao...je wataweza kumtunza mpaka lini? Si itafika hatua watamchoka?))


Kwa upande wangu sina uwezo wa kumlipia akiwa anaishi peke yake huko....mimi nilitaka Aje aishi na mimi mahitaji yote atayapata akiwa kwangu kama mke...afu baadae mimi niende kujitambulisha kwao....Ila yeye Binti hataki hilo wazo langu anataka tuendelee kuwa kama wapenzi,,,ila swala kuishi namimi hataki mpaka nijitambulishe kwao...

Sasa ndugu zangu kweli mnaona kuna dalili nzuri za mahusiano yetu??

NB:Binti alishawahi nidokeza kwamba Wenzio anaoishi nao wanaenda makrabu usiku yeye wanamuacha ndani....na anasema yeye wala hajihusishi nao japo wanaishi wote.

Nisamehe kwa mpangilio mbaya wa ujumbe ASANTENI
Wanaume tuko hatarini kutoweka.
Eee Mungu tulinde waja wako!!
 
Back
Top Bottom