enjai ya kyasha
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 3,089
- 3,634
Kwa hiyo wale wa mechi moja goli saba waandike wapi?Wakati watani zao wa jadi wakiambulia ushiindi kiduchu wa kigoli kimoja Yanga wamefanikiwa kutia nyavuni bao sita kwa mechi mbili tu.
Wale wa mechi moja goli saba tuandike wapi?mada ni forward ya YANGA mzee
Ushindi wa 3-2 ni sawa na 1-0Wakati watani zao wa jadi wakiambulia ushiindi kiduchu wa kigoli kimoja Yanga wamefanikiwa kutia nyavuni bao sita kwa mechi mbili tu.
tunazungumzia za kufungaHalafu goli za kufungwa ngapi
Huku beki zao zikiruhusu bao 4 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mpaka sasa Simba wana bao nyingi kuliko jumla ya bao za Yanga na Azam zikijumlishwa. Na leo wamepiga mtu 4-1Wakati watani zao wa jadi wakiambulia ushiindi kiduchu wa kigoli kimoja Yanga wamefanikiwa kutia nyavuni bao sita kwa mechi mbili tu.
6-4=02Duu! Goli zenyewe za dakika za lala salama? Hadi mlipoanza kuachiwa ofside ndipo mkaweza alafu tambo wakati ndani ya hizo mechi mbili golikipa wenu kisha tunguliwa 4!