Hatari: Foward ya Yanga Mechi mbili goli 6

Hatari: Foward ya Yanga Mechi mbili goli 6

hiram

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2013
Posts
266
Reaction score
393
Wakati watani zao wa jadi wakiambulia ushiindi kiduchu wa kigoli kimoja Yanga wamefanikiwa kutia nyavuni bao sita kwa mechi mbili tu.
 
Pia usisahau mechi mbili magoli ya kufungwa manne.

Ni sawa na fisi aliyepigwa mkuki anakimbia huku anakula utumbo wake
 
Wakati watani zao wa jadi wakiambulia ushiindi kiduchu wa kigoli kimoja Yanga wamefanikiwa kutia nyavuni bao sita kwa mechi mbili tu.
Na katika hizo mechi mbili mumesokomezwa migoli minne. Aibu!!!!
 
Offside tupu,,***** zenu.
July 3 mje sasa mkutane na mziki wa cd elfu arobaini.
 
Back
Top Bottom