Hatari gani aliyonayo Harmonize mpaka alindwe hivi?

Punguza wivu

Pambana kutafuta pesa hizi hasira na wivu utapotea automatically
mkuu sina wivu na fedha zake dogo ila namwonea huruma kwa kuwa fedha ya sasa inaweza kumfaa zaidi ya miaka hamsini lakini nauhakika hana plan za miaka 10 kwa pato kubwa analopata
 
Yeye anayemwambia mshamba, huku hajatoa ajira hata kwa house girl!
ni kweli house girl sina lakini natumia taaluma yangu kutengeneza watu wajiajiri na kuboresha maisha kwa kubadilisha mfumo wa maisha na nimefanikiwa kwa zaidi ya watu 4000
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]umetisha
 
mkuu sina wivu na fedha zake dogo ila namwonea huruma kwa kuwa fedha ya sasa inaweza kumfaa zaidi ya miaka hamsini lakini nauhakika hana plan za miaka 10 kwa pato kubwa analopata
Huyo anachangamsha genge mkuu. Usiwe nae serious sana.
 
Mkuu baki tu tusubiri kulipwa NOAH na BALIMI zetu! Afghanistan hakufai. Mmarekani mbishi tu lkn cha moto anakiona kule
Wanakodiwa kwa bei gani?? Nataka na mm niwakodi kama 6 hivi naenda Afuganistani nikitoka hapo nielekee Yemen...
 
ili mradi havunji sheria za nchi ni halali yake kufanya ivyo usimpangie
 
mkuu sina wivu na fedha zake dogo ila namwonea huruma kwa kuwa fedha ya sasa inaweza kumfaa zaidi ya miaka hamsini lakini nauhakika hana plan za miaka 10 kwa pato kubwa analopata
Samahani mkuu wewe unaplan gani ya miaka 5 ijayo?
 
Samahani mkuu wewe unaplan gani ya miaka 5 ijayo?
Si busara sana kueleza hapa lakini ninayo naelewa ninakokwenda japo changamoto ni nyingi.
unaweza kuanza hata kwa mwaka mmoja mmoja na ukapima malengo na utekelezaji na ukajua mapungufu.
nilishawahi weka uzi kama huu kabla ya mwaka kuanza kama sikosei lakini kwakuwa wengi hatupendi kusoma vitu virefu hatukuweza kuona kitu.
 
Kweli watu wanaroho mbaya na ugari wa wenzao
 
ni kweli house girl sina lakini natumia taaluma yangu kutengeneza watu wajiajiri na kuboresha maisha kwa kubadilisha mfumo wa maisha na nimefanikiwa kwa zaidi ya watu 4000
Acha nao hao wale kwa jasho lao na nguvu walizo nazo, yawezekana hiyo taaluma kama yako hawakuipata mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…