Hatari gani aliyonayo Harmonize mpaka alindwe hivi?

Hatari gani aliyonayo Harmonize mpaka alindwe hivi?

U
Labda ana mwili wa dhahabu
Usiwe na fikra duni,fungua ubongo waza kwa mapana na marefu!
Harmonize ni national figure kwa sasa HV,anaingiza pesa nyingi,anabiashara,profile yake IPO juu,anaweza kutekwa na makundi ya kiarifu,ili yadai fidia.
Kama watu wanaweza kuiba watoto,harafu wakadai fidia,sembuse kwa mwanamuziki kama Harmonize,
Pili inaweza kuwa ni strategy ya kukuza profile yake kwenye game.unajiweka kwenye sport light! Unajaribu Ku "attract attention"
Tatu,vile vile anatoa ajira,inawezekana hao security wanaomlinda,ni wafanyakazi wa kampuni yake ya ulinzi.
Hivi unajua Joti anathamani gani kwa tigo?matangazo anayofanya unajua yanathsmani kiasi gani?wapinzani wa tigo wakiamua kumdhuru itakuaje!?
Kwa hiyo ukiona anapewa ulinzi mkubwa akiwa kwenye shughuri zake,utakiwi kushangaa.
Mwisho,usipende kukebehi,kama kitu ukijui,uliza kwanza.
 
Ni mapambo anajuwa sababu yake mwenyew mana sidhan kama anawatumia bure
 
Maisha ya usanii mbwe mbwe nyingi, kuna matajiri wakubwa lakini hawajiwekei walinzi namna hii , sembuse wakina kajamba nani
 
Celebrity..Status na Branding..

Kama kilichokufanya uwe celebrity ni high life na maisha ya juu..., ili ku-maintain status na kuendelea kupata wateja wanao-appreciate your lifestyle inabidi kuwa na lifestyle inayoendana na image yako (that lifestyle is an investment)
 
Acheni alindwe hao walinzi wana familia aseee unoko unoko sio mzuri,wakipunguzwa then harmo akawa anatembea peke ake hao majamaa wakaja mtaani kutukaba mtaanza mlalamikia nani?

Hivi hizo mbavu zikikosa kazi then zikawa zinakuvizia wewe umetoka kazini wakutie kabali hv utaacha toa kila kitu kweli? hadi ambavyo hujaambiwa unaweza ukatoa.

N sawa na wale wanaochongea wenzao wenye vyeti feki..hivi unamchongea mtu anacheti feki akifukuzwa kazi wewe unafaidika nini? basi bora afukuzwe kazi then nafasi yake apewe baba ako au ndugu yako ila nafasi anapewa mwingineeeee kbsaaaaa hata humjui halafu unachekelea.

Mnapata faida gani kuwa na vihere here na maisha na kula za watu wengine aseee,ifike tu mahali muwe mnaongelea ,mambo ya familia zenu na kuacha maisha ya watu maana huo ndio Uchawi,sema mmekosa vifaaa tu vya kupaaa angani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
View attachment 1211215
Au ni show off za baba wachungaji zinaigwa?
Hata wewe ukitaka kulindwa pesa yako tu,unadhani hapo analindwa bure?katoa pesa,kawapa ajira watu,kama una hiyo jeuri basi nawewe ruksa kufanya,ingawa hawa walinzi naona wamevaa fulana za wapiga picha wa kamera na toys za bastola wanazochezea watoto
 
Mimi hivi karibuni nitakuja na style moja hatari sana. Na hela nitakayopiga siyo ya kitoto.
 
Back
Top Bottom