Johnson Fundi
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 1,386
- 1,207
Kwani ana hatari?!?!,ndio usanii wenyewe huo!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulichogundua mabaunsa wengi mjini hawana kazi
Ndo kazi zenyewe hizoTulichogundua mabaunsa wengi mjini hawana kazi
Habari mkuu, nimekutumia ujumbe PM... Naomba uupitie Kisha unijibuMh mbona umetokwa na povu kanakwamba wahusika walishawai kukuomba hata Sh 10
relax kunywa maji ya lemao kupunguza kitambi
Usiwe na fikra duni,fungua ubongo waza kwa mapana na marefu!Labda ana mwili wa dhahabu
Ni ulimbukeni unaotokana na umasikini
Bongo vituko haviishi!View attachment 1211215
Au ni show off za baba wachungaji zinaigwa?
😂😂😂😂Tulichogundua mabaunsa wengi mjini hawana kazi
View attachment 1211215
Au ni show off za baba wachungaji zinaigwa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acheni alindwe hao walinzi wana familia aseee unoko unoko sio mzuri,wakipunguzwa then harmo akawa anatembea peke ake hao majamaa wakaja mtaani kutukaba mtaanza mlalamikia nani?
Hivi hizo mbavu zikikosa kazi then zikawa zinakuvizia wewe umetoka kazini wakutie kabali hv utaacha toa kila kitu kweli? hadi ambavyo hujaambiwa unaweza ukatoa.
N sawa na wale wanaochongea wenzao wenye vyeti feki..hivi unamchongea mtu anacheti feki akifukuzwa kazi wewe unafaidika nini? basi bora afukuzwe kazi then nafasi yake apewe baba ako au ndugu yako ila nafasi anapewa mwingineeeee kbsaaaaa hata humjui halafu unachekelea.
Mnapata faida gani kuwa na vihere here na maisha na kula za watu wengine aseee,ifike tu mahali muwe mnaongelea ,mambo ya familia zenu na kuacha maisha ya watu maana huo ndio Uchawi,sema mmekosa vifaaa tu vya kupaaa angani.
Dogo kwa mtazamo wangu anajibrand, kwa hili nampongeza 👏View attachment 1211215
Au ni show off za baba wachungaji zinaigwa?
Hata wewe ukitaka kulindwa pesa yako tu,unadhani hapo analindwa bure?katoa pesa,kawapa ajira watu,kama una hiyo jeuri basi nawewe ruksa kufanya,ingawa hawa walinzi naona wamevaa fulana za wapiga picha wa kamera na toys za bastola wanazochezea watotoView attachment 1211215
Au ni show off za baba wachungaji zinaigwa?