Hatari! Ingieni kwa tahadhari

Hatari! Ingieni kwa tahadhari

Katoliki hii ya kashfa ya kuwafanya naniliu watoto ama nyingine?
 
Makanisa ya Leo ukitaka kuombewa na Mchungaji mpaka uwe na laki na nusu.....
Unakuwa na mashaka.. Name hayo maombi
 
Freedom of worship imewapa watu nafasi ya kuabudu wajisikiavyo na ndio dunia tulipo leo.

Hapo ni mtu mmoja mmoja kung'amua wapi imani yake imepaona yafaa kuabudu
 
Freedom of worship imewapa watu nafasi ya kuabudu wajisikiavyo na ndio dunia tulipo leo.

Hapo ni mtu mmoja mmoja kung'amua wapi imani yake imepaona yafaa kuabudu
Good facts
 
Huwa najiuliza haya makanisa yameibukia wapi?zamani tulikua na dhehebu rasmi chache tu,nwapongeza Rc wao wamejitahidi kubaki stronger lkn makanisa Mengi yamegawanyika na waumini kuhamia Hays makanisa ya kisasa
Kweli kanisa za leo wanalipia matangazo ya biashata kwa tv/radio?

Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Ni uhuru tu wa kuabudu na umahiri wa watoa hizo ibada ndio huwavuta watu. Wapo wanaotoka RC na kuwa waislaam, wapo waislaam wanaokuwa wasabato, wapo wasabato wanakuwa angalikan na wapo wanajitoa kabisa na kuwa wapagani. Hivyo wapo wanaamini kuna Mungu na kuabudu na kuamua waabudu kwa amana gani na wapo wasioamini Mungu wakaishi watakavyo. Hivyo usishangae madhehebu yataongeza mengi tu kwakuwa hata namba ya watu inaongezeka. Kuhusu matangazo kwenye TV/radio ndio maana tunatoa sadaka.
 
Changamoto ni "PENTECOSTALISM" iliyopata kasi ktk karne ya 20: Wapiga deal wanaitumia hii kwa kificho cha Roho Mtakatifu; kwamba wenye roho mtatakifu wananena kwa lugha, wana mamiujiza lukuki, wako karibu zaidi na Mungu na wanafunuliwa mambo! Wakiona wamekwama wanasingizia upande wa pili kwamba ni kwasababu no imani (hujampokea roho kisawasawa)! PENTECOSTALISM = NO USE OF MIND POWER! NI KUFUNULIWA TU! Hii pentecostalism movement ndio inauletea shida ukristo wa leo! Shetani ameitumia concept hii kisawasawa! Manabii wa uongo ni lukuki na wamewasomba wengi wasiotambua kwambo Mungu alitupa brain tuitumie!


Kama ilivyokuwa kwa Sodoma na Gomora mambo yanaongelewa wahusika wanapuuza na kusema wapinzani wa Imani Mwendokasi hawana Upako Na hivi hswajui ya Rohoni.
 
KANISA ni moja tu,TAKATIFU KATOLIKI LA MITUME.
Nimesikia majuzi kati Papa kapendekeza maparoko waoe, itakuwa safi sana na itaongeza waumini na kuondoa hivi vikanisa makelele/vikanisa mchepuko
 
04019e0fd7857386d42612a7e900ca26.jpg

Hii picha inaeleza mengi ya kanisa la leo.
Watch out guys
NA MISIKITI JE????
 
KWA TAARIFA YAKO: Kiti cha enzi cha Lucifer kiko pale Vatican.

Kwa kukosa kwenu maarifa mtaendelea kuangamizwa kimyakimya
Hilo jibu ulilompa kama ubongo wake unafanya kazi atang'amua jambo hapo,asiposhituka imekula kwake,satan lives in Vatican.
 
Mungu anatafuta watakao mwabudu katika Roho na kweli. Inawezekana hizo za awali zilipotoka ndiyo maana MUNGU akaruhusu zianzishwe mpya. Akili ya UNGU haichunguziki
 
Ikiwa tangu kale wazazi wangu walichanganywa basi sitahukumiwa kwa kudanganywa..


Kanisa nje Msafi ndani Mchafu.
 
Back
Top Bottom