Unafaamu maana ya neno TEENEGER au TEEN... kwa urahosi sema TEN AGE.
Hao wako wa 29+ siyo.
Ma barehe ya kupiriliza miaka 18 ni ya wapi hiyo wakati wenye 18 ni watu wazima.
Hao wako wa 29+ siyo.
Ma barehe ya kupiriliza miaka 18 ni ya wapi hiyo wakati wenye 18 ni watu wazima.
Hapo unazungumzia teenagers na dunia mzima wanasifa hizo ukitaka kuanza kuzungumizia wanaume Please at least anzia miaka 29+ na wala sio 29 kushuka chini..
Hata wanawake ukianza kuwazungumzia angalau basi 26+...
Nyie ndo mnatakaga mtoto akae kwenye kochi serious anangalia taarifa ya habari akicheza kidogo kofiiiiiii..Yaani mtu yupo kwenye balehe unamfananisha na wanaume watu wazima????