Hatari kuu inakuja. Wanaume wanatoweka, Wavulana wanaibuka kwa kasi

Hatari kuu inakuja. Wanaume wanatoweka, Wavulana wanaibuka kwa kasi

Labda nikuulize,,, wewe unafurahia kunyolewa nywele na mwanaume mwenzako?.... Kwani unavyotengenezwa kucha ndo uume unakuwa hausimami tena au?.... Hiyo ni kazi kama kazi zingine brother.. Ni kama wewe unavyonyolewa nywele tu na kinyozi tu... Au ukiwa mwanaume ndo inabidi uwe mchafu?... Uwe ujijali?... Wazee mnatabu sana
Sorry, naona utetezi wako wa hoja husika umeuweka kishabiki zaidi huku ukijua uhalisia wake ni mwingine kabisa. I agree to disagree with your submission.
 
Labda nikuulize,,, wewe unafurahia kunyolewa nywele na mwanaume mwenzako?.... Kwani unavyotengenezwa kucha ndo uume unakuwa hausimami tena au?.... Hiyo ni kazi kama kazi zingine brother.. Ni kama wewe unavyonyolewa nywele tu na kinyozi tu... Au ukiwa mwanaume ndo inabidi uwe mchafu?... Uwe ujijali?... Wazee mnatabu sana
Unajua hawa wanataka kuhalalisha uchafu wao hapa...utakuta lijamaa meno ya njano balaa,ukiliambia utasikia "mimi ni mwanaume"..sasa mwanaume ndo uwe mchafu???..mbona sisi wasafii na tuna mademu wazuri na watoto..
 
We mbona uko hapa jf..mtu anayepost instagram hana utofauti na anayeposti jf..

Tumia akili mzee
Hii reply sikukujibu wewe....tuliza mshono..
Nilimjibu yule mvulana mwenzako kama ameshapost uso uliopakwa poda Instagram..
 
Kuna mwengine anasema eti mwanaume hali Chipsi yai,au Chipsi kuku..hahaaaa sasa hivyo si vyakula vya kawaida!!..sema tu hela huna ya kula Chipsi kuku sisi tutakuelewa..
Utakuta mtu anafanya kazi kiwandani analipwa 5000tsh kwa siku yaani kuanzia saa 12 as hadi saa 12 jioni,sasa mtu kama huyu akila chipsi-kuku ambayo ni sh 5000 ,si anafirisika!!😁😁😁
Usiseme huwezi kuweka scrub,sema huna hela ya kufanya scrub,hakuna mtu asiyependa kupendeza...
 
Hii reply sikukujibu wewe....tuliza mshono..
Nilimjibu yule mvulana mwenzako kama ameshapost uso uliopakwa poda Instagram..
We akili huna ndo maana nasema..
Huwezi kumponda mtu anayeposti instagram,wakati na wewe kutwa nzima upo jf...
Huku mtuachie sisi wavulana,mzee gani unashinda jf, sasa si yaleyale..
 
Sorry, naona utetezi wako wa hoja husika umeuweka kishabiki zaidi huku ukijua uhalisia wake ni mwingine kabisa. I agree to disagree with your submission.
Si ivyo brother... Tatizo nyie mnataka kurudisha maisha ya zamani... Sasaiv haiwezekani braza...huwezi ukamforce mtu aanze kununua li muwa aanze kutafuna, eti akinunua juisi iliyokamuliwa mnamuita mwanaume wa dar!..mambo mengi yamebadilika ndugu zangu...
 
Binafsi nimekuelewa sana mno.................. mwanaume hawezi badilisha bulb wala kuconnect gas? mwanaume hawezi hata kusaidia kifedha anathubutu kuuliza sasa fanya basi niende mjini
 
Kuvaa begi siyo tatizo kiongozi, hujui wengine wapo marketing kunadi perfumes nk?
 
Umeshawahi kujiuliza ni kwa nini nyakati hizi watoto wengi wazuri wanaolewa au wana date na wazee au wastaafu..??????

Jibu ni rahisi....Wanaume ni wachache na wameshaoa...Wamebaki wavulana ambao hawawezi chochote.

1. Mvulana ananyoa kiduku, anavaa mlegezo, hataki kazi lakini anataka maisha mazuri...fala mkubwa

2. Mvulana hawezi kazi yoyote ngumu ya kutumia mikono...hata bulb pale nyumbani ikiungua hawezi kubadilisha....pumbaf sana

3.Kutwa kudhurura mtaani na begi mgongoni....sijui humo ndani ya hayo mabegi wanabebaga nini...ukisingiziwa ni supplier wa bangi utakataa...lofa mkubwa..

4. Basi ukikutana na hawa wavulana waliomaliza vyuo ndiyo kero kabisa...wao ni kudhurura kwa ndugu wenye pesa zao na kuwabana bana na familia zao....leo yupo Dar, kesho Arusha, kesho kutwa Mwanza....na wanachqgua miji ya kutembelea....hawataki kwenda Simiyu.

5.Wavulana hawawazi maisha....simu yake haishiwi bando la kuchati na warembo na kuposti picha mitandaoni wamechafua meza kwa chupa za pombe....wanawaza ngono na pombe....shubamiti

6.Ukimshauri atafute kibarua cha kufanya, anadai ana vyeti vyake...ipo siku atakuwa HR wa kampuni kubwa.....

7.Basi hawa wavulana wanasumbua sana kwa kuwapiga mizinga kaka au dada zao mpaka kero...kaka au dada yake anaishi chumba kimoja na mwenzi wake....mvukana mmoja mpumbavu anajibana hapo hapo.

Kwa hali hii kizazi cha miaka 3 ijayo kitatawaliwa na hawa wavulana....
Nawasikitikia dada zangu ambao hawajaolewa maana hawa ndiyo waume zao watarajiwa miaka 3 au 5 ijayo..

Wanaume wa kweli wameshaenda umri..wengi wao wako 30+ na wameshaoa..

Kundi kubwa limebaki la hawa wavulana ambao wako -29....
yaani ni shida....hakuna wanachokijua zaidi ya pombe, mademu na vumbi la Congo.

Kwa hali hii, warembo wakiolewa na wastaafu, tutawalaumu...?.Ni nani yupo tayari kuolewa na lijitu ambalo halikomai akili..? mvulana yupo radhi ashinde njaa lakini apate pesa ya kuweka bleach.
Wavulana badilikeni...mnaiangusha jinsia ya kiume.View attachment 1179156
Huko kwenye begi usishange kukuta deck na rimoti yake---kenge kabisa
 
Sasa unakuta na wanaume kama hao nao wanalalamika kuwa eti wanawake wa siku hizi hawafai kuolewa ni kuwapiga na kusepa au kuwazalisha na kuwaacha tu!

Yaani nao wanataka waoe wake wema aka wife material tena utawasikia kutwa kuwatukana na kuwakejeli wanawake sasa hebu labda mtusaidie ninyi wanaume wenzao hivi hao nao wana haki ya kuongea hayo kweli?
 
Sasa unakuta na wanaume kama hao nao wanalalamika kuwa eti wanawake wa siku hizi hawafai kuolewa ni kuwapiga na kusepa au kuwazalisha na kuwaacha tu!

Yaani nao wanataka waoe wake wema aka wife material tena utawasikia kutwa kuwatukana na kuwakejeli wanawake sasa hebu labda mtusaidie ninyi wanaume wenzao hivi hao nao wana haki ya kuongea hayo kweli?
Hawa wa namna hii siyo wanaume..ni wavulana..haijalishi ana umri gani..Watoto laini laini hata kupiga jeki ya gari hawezi...Ndiyo wakina baba wa kesho hawa...hasara sana...
 
Kabisa
Hawa wa namna hii siyo wanaume..ni wavulana..haijalishi ana umri gani..Watoto laini laini hata kupiga jeki ya gari hawezi...Ndiyo wakina baba wa kesho hawa...hasara sana...
 
Umeshawahi kujiuliza ni kwa nini nyakati hizi watoto wengi wazuri wanaolewa au wana date na wazee au wastaafu..??????

Jibu ni rahisi....Wanaume ni wachache na wameshaoa...Wamebaki wavulana ambao hawawezi chochote.

1. Mvulana ananyoa kiduku, anavaa mlegezo, hataki kazi lakini anataka maisha mazuri...fala mkubwa

2. Mvulana hawezi kazi yoyote ngumu ya kutumia mikono...hata bulb pale nyumbani ikiungua hawezi kubadilisha....pumbaf sana

3.Kutwa kudhurura mtaani na begi mgongoni....sijui humo ndani ya hayo mabegi wanabebaga nini...ukisingiziwa ni supplier wa bangi utakataa...lofa mkubwa..

4. Basi ukikutana na hawa wavulana waliomaliza vyuo ndiyo kero kabisa...wao ni kudhurura kwa ndugu wenye pesa zao na kuwabana bana na familia zao....leo yupo Dar, kesho Arusha, kesho kutwa Mwanza....na wanachqgua miji ya kutembelea....hawataki kwenda Simiyu.

5.Wavulana hawawazi maisha....simu yake haishiwi bando la kuchati na warembo na kuposti picha mitandaoni wamechafua meza kwa chupa za pombe....wanawaza ngono na pombe....shubamiti

6.Ukimshauri atafute kibarua cha kufanya, anadai ana vyeti vyake...ipo siku atakuwa HR wa kampuni kubwa.....

7.Basi hawa wavulana wanasumbua sana kwa kuwapiga mizinga kaka au dada zao mpaka kero...kaka au dada yake anaishi chumba kimoja na mwenzi wake....mvukana mmoja mpumbavu anajibana hapo hapo.

Kwa hali hii kizazi cha miaka 3 ijayo kitatawaliwa na hawa wavulana....
Nawasikitikia dada zangu ambao hawajaolewa maana hawa ndiyo waume zao watarajiwa miaka 3 au 5 ijayo..

Wanaume wa kweli wameshaenda umri..wengi wao wako 30+ na wameshaoa..

Kundi kubwa limebaki la hawa wavulana ambao wako -29....
yaani ni shida....hakuna wanachokijua zaidi ya pombe, mademu na vumbi la Congo.

Kwa hali hii, warembo wakiolewa na wastaafu, tutawalaumu...?.Ni nani yupo tayari kuolewa na lijitu ambalo halikomai akili..? mvulana yupo radhi ashinde njaa lakini apate pesa ya kuweka bleach.
Wavulana badilikeni...mnaiangusha jinsia ya kiume.View attachment 1179156
Naam
 
Back
Top Bottom