Hatari, nyanya moja shilingi 500

Hatari, nyanya moja shilingi 500

nyanya moja kwa sasa inauzwa shilingi za kitanzania 500.

muuzaji hapepesi macho wala wamung’unyi maneno.huwezi amini ila bahari ndo hiyo.

sijajuwa bado kama nchi imewekewa vikwazo au serikali iliyopo imefeli kusimamia uchumi wa nchi. miradi mikubwa inayotafuna pesa za walipakodi nayo ujenzi wake kuna suasua. pita pale gold star dar es salaam uone. hakuna kitu mtu wangu kuna manondonondo tu na nyenzo nyenzo kama vile kuna kazi lakini kiuhalisia hakuna kazi inayofanyika.

madege yetu nayo ukipita pale karibu na airport yapo yamepaki tu kama ng’ombe wapo zizini.

magufuli nchi imemshinda?

View attachment 1351771
Lipa kapike

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa Sasa tunapikia za kopo hatuna jinsi
nyanya moja kwa sasa inauzwa shilingi za kitanzania 500.

muuzaji hapepesi macho wala wamung’unyi maneno.huwezi amini ila bahari ndo hiyo.

sijajuwa bado kama nchi imewekewa vikwazo au serikali iliyopo imefeli kusimamia uchumi wa nchi. miradi mikubwa inayotafuna pesa za walipakodi nayo ujenzi wake kuna suasua. pita pale gold star dar es salaam uone. hakuna kitu mtu wangu kuna manondonondo tu na nyenzo nyenzo kama vile kuna kazi lakini kiuhalisia hakuna kazi inayofanyika.

madege yetu nayo ukipita pale karibu na airport yapo yamepaki tu kama ng’ombe wapo zizini.

magufuli nchi imemshinda?

View attachment 1351771

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo la nyanya ni mvua nyingi, lakini pia kwa kila tatizo kuna fursa...what if tukaweka nguvu ktk ku process nyanya kwa kipindi zinapokuwa nyingi??
 
Huu ni msimu wa mvua mkuu, zao la nyanya halihimili mvua kwa hiyo ukuaji wake na uzalishaji ni changamoto hivyo kupelekea bei kuwa juu, sasa hapa serikali inaingiaje, ili nyanya zishuke bei inategemeana na uchache wa mvua.Halafu kuna binadamu wanafikiri kilimo ni rahisi kama kutema mate.
Nb. Lima zako uuze shilingi 10/- nyanya moja.
Unajadili na watu wasio na uelewa, miezi kama 3 tu nyanya hapo Moro dumila ilifika tenga 10K hakuandika uzi. Leo msimu una mvua kiasi cha kutohandle hili zao analilia akalime

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nyanya moja kwa sasa inauzwa shilingi za kitanzania 500.

muuzaji hapepesi macho wala wamung’unyi maneno.huwezi amini ila bahari ndo hiyo.

sijajuwa bado kama nchi imewekewa vikwazo au serikali iliyopo imefeli kusimamia uchumi wa nchi. miradi mikubwa inayotafuna pesa za walipakodi nayo ujenzi wake kuna suasua. pita pale gold star dar es salaam uone. hakuna kitu mtu wangu kuna manondonondo tu na nyenzo nyenzo kama vile kuna kazi lakini kiuhalisia hakuna kazi inayofanyika.

madege yetu nayo ukipita pale karibu na airport yapo yamepaki tu kama ng’ombe wapo zizini.

magufuli nchi imemshinda?

View attachment 1351771
Hiyo conclusion ya kibabe
 
nyanya moja kwa sasa inauzwa shilingi za kitanzania 500.

muuzaji hapepesi macho wala wamung’unyi maneno.huwezi amini ila bahari ndo hiyo.

sijajuwa bado kama nchi imewekewa vikwazo au serikali iliyopo imefeli kusimamia uchumi wa nchi. miradi mikubwa inayotafuna pesa za walipakodi nayo ujenzi wake kuna suasua. pita pale gold star dar es salaam uone. hakuna kitu mtu wangu kuna manondonondo tu na nyenzo nyenzo kama vile kuna kazi lakini kiuhalisia hakuna kazi inayofanyika.

madege yetu nayo ukipita pale karibu na airport yapo yamepaki tu kama ng’ombe wapo zizini.

magufuli nchi imemshinda?

View attachment 1351771
Je wanatusikia au bado watatukebehi hatufanyi kazi na tulikuwa wezi na wapigaji? Je wao wanalijuwa hili walivyo na kipato kikubwa kuliko sisi na bado wanahitaji kura zetu?
 
nyanya moja kwa sasa inauzwa shilingi za kitanzania 500.

muuzaji hapepesi macho wala wamung’unyi maneno.huwezi amini ila bahari ndo hiyo.

sijajuwa bado kama nchi imewekewa vikwazo au serikali iliyopo imefeli kusimamia uchumi wa nchi. miradi mikubwa inayotafuna pesa za walipakodi nayo ujenzi wake kuna suasua. pita pale gold star dar es salaam uone. hakuna kitu mtu wangu kuna manondonondo tu na nyenzo nyenzo kama vile kuna kazi lakini kiuhalisia hakuna kazi inayofanyika.

madege yetu nayo ukipita pale karibu na airport yapo yamepaki tu kama ng’ombe wapo zizini.

magufuli nchi imemshinda?

View attachment 1351771
sasa ww unatakaje Mkuu
Lima ww upange bei ndogo
 
Na unasemaje kuhusu maharage ambapo huku Njombe debe moja ni sh 47000/= ambapo msimu wa mwisho debe tumenunua sh 27000/
Huu ni msimu wa mvua mkuu, zao la nyanya halihimili mvua kwa hiyo ukuaji wake na uzalishaji ni changamoto hivyo kupelekea bei kuwa juu, sasa hapa serikali inaingiaje, ili nyanya zishuke bei inategemeana na uchache wa mvua.Halafu kuna binadamu wanafikiri kilimo ni rahisi kama kutema mate.
Nb. Lima zako uuze shilingi 10/- nyanya moja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom