Ghost MVP
JF-Expert Member
- May 19, 2022
- 439
- 736
Wizi barabaran umekuwa sana, hivyo tujihadhari sana watumia Barabara maana unakuta upo speed kubwa hii inaweza kusababisha hata ajali na ikapoza maisha ya waendesha vyombo vya magari..
Mamlaka husiaka iwe inakagua barabra zake kulingana na mikoa na kata na ukanda zilipo. Ili kuepusha haya
Mamlaka husiaka iwe inakagua barabra zake kulingana na mikoa na kata na ukanda zilipo. Ili kuepusha haya