Hatari ya maneno ya Makonda: Asiombe Viongozi wa Dini wafanye maamuzi!

Hatari ya maneno ya Makonda: Asiombe Viongozi wa Dini wafanye maamuzi!

Lord denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
15,819
Reaction score
33,255
Changamoto kubwa inayokikumba Chama cha Mapinduzi kwa sasa ni kuwa na Viongozi wenye akili na upeo duni, Wasioweza kuchakata tension iliyopo kwenye jamii na kujua waseme nini na kwa wakati gani?

Suala hili limekuwa likiongeza sana hasira za wananchi dhidi yao. Nawapongeza wenye busara wachache hasa KM Nchimbi na Mwenezi Makala kwa kujitahidi sana kulainisha tension ya wananchi.

Changamoto nyingine inayokikumba chama hiki ni kuwa na mawazo mgando ambayo hayaendani na wakati tuliopo na hili ndo limesababisha nchi kupiga hatua ndogo katika maendeleo.

Jana Makonda katoa maneno kuwasema Viongozi wa dini waliokemea masuala ya Mauaji na Utekaji. Anasema viongozi wa dini hawatoi waraka kukemea wanasali.

Tuseme Makonda hajui kuwa Yohana Mbatizaji alimlaumu waziwazi na kumkemea Herode baada ya Herode kuoa Mke wa nduguye? Kwa hiyo Makonda anataka kusema Yohana Mbatizaji hakuwa kiongozi wa Dini?

Leo nimejiuliza. Hivi Makonda anajua Viongozi wa Dini wakisema wamjibu kutakuwa na matokeo gani?

Mfano kesho TEC wakitoa tamko kuunga mkono maandamano ya Chadema ili kumuonesha tu Makonda na Serikali kuwa wako serious kupinga mauaji na utekaji matokeo yake yatakuwaje?

Makonda hajui kuwa Viongozi wa TEC na hata Maaskofu wengine na viongozi wa dini ya kiislam wanaweza wakatoa tamko kesho kuwa watashiriki maandamano ya Chadema?? Je wakisema hivyo anajua matokeo yake yatakuwaje??

Napenda kumshauri Samia, aachane na hili genge la kina Makonda lililomteka akili sasaivi. Hili genge litamharibia big time. Na kama anataka kukumbukwa daima na Watanzania sio Chama cha Mapinduzi tu aachane na hawa watu wanaompotosha na haraka aanzishe mchakato wa Katiba Mpya.

Tanzania tunahitahi Katiba Mpya. Tusiombe ufike mahala viongozi wa dini waseme tunaunga mkono maandamano ya kupinga ukatili na tutashiriki. Maana hili likitokea nina uhakika hata hao TISS watawanawa CCM.

Tusiwaone Viongozi wa dini ni Wajinga. Wakiingia front CCM ndo bye bye mchana kweupe.
 
Bongo hakuna viongozi wa dini wapo wachumia tumbo na wachawi tu Makonda yupo sahihi

USSR
 
Bongo hakuna viongozi wa dini wapo wachumia tumbo na wachawi tu Makonda yupo sahihi

USSR
Umewaza kama TEC wakisema wanaunga mkono maandamano ya tarehe 23 na watashiriki kipi kitatokea?

Unadhani kuna askari atakayeenda kuwakamata maaskofu wa TEC?

Hivi huko CCM mmepeleka wapi akili zenu?
 
  • Thanks
Reactions: apk
Changamoto kubwa inayokikumba Chama cha Mapinduzi kwa sasa ni kuwa na Viongozi wenye akili na upeo duni, Wasioweza kuchakata tension iliyopo kwenye jamii na kujua waseme nini na kwa wakati gani?

Suala hili limekuwa likiongeza sana hasira za wananchi dhidi yao. Nawapongeza wenye busara wachache hasa KM Nchimbi na Mwenezi Makala kwa kujitahidi sana kulainisha tension ya wananchi.

Changamoto nyingine inayokikumba chama hiki ni kuwa na mawazo mgando ambayo hayaendani na wakati tuliopo na hili ndo limesababisha nchi kupiga hatua ndogo katika maendeleo.

Jana Makonda katoa maneno kuwasema Viongozi wa dini waliokemea masuala ya Mauaji na Utekaji. Anasema viongozi wa dini hawatoi waraka kukemea wanasali.

Tuseme Makonda hajui kuwa Yohana Mbatizaji alimlaumu waziwazi na kumkemea Herode baada ya Herode kuoa Mke wa nduguye? Kwa hiyo Makonda anataka kusema Yohana Mbatizaji hakuwa kiongozi wa Dini?

Leo nimejiuliza. Hivi Makonda anajua Viongozi wa Dini wakisema wamjibu kutakuwa na matokeo gani?

Mfano kesho TEC wakitoa tamko kuunga mkono maandamano ya Chadema ili kumuonesha tu Makonda na Serikali kuwa wako serious kupinga mauaji na utekaji matokeo yake yatakuwaje?

Makonda hajui kuwa Viongozi wa TEC na hata Maaskofu wengine na viongozi wa dini ya kiislam wanaweza wakatoa tamko kesho kuwa watashiriki maandamano ya Chadema?? Je wakisema hivyo anajua matokeo yake yatakuwaje??

Napenda kumshauri Samia, aachane na hili genge la kina Makonda lililomteka akili sasaivi. Hili genge litamharibia big time. Na kama anataka kukumbukwa daima na Watanzania sio Chama cha Mapinduzi tu aachane na hawa watu wanaompotosha na haraka aanzishe mchakato wa Katiba Mpya.

Tanzania tunahitahi Katiba Mpya. Tusiombe ufike mahala viongozi wa dini waseme tunaunga mkono maandamano ya kupinga ukatili na tutashiriki. Maana hili likitokea nina uhakika hata hao TISS watawanawa CCM.

Tusiwaone Viongozi wa dini ni Wajinga. Wakiingia front CCM ndo bye bye mchana kweupe.
Too late, limeshamharibia big time. Alionywa akashupaza shingo sasa wameshamaliza kazi.
 
Viongozi wa Dini wakiingia front kutaka mabadiliko, Huwa hawabahatishi.

Tukumbushane, mlawi tayari anajiandaa kuchukua hatamu,

Tusubiri.
 
  • Thanks
Reactions: apk
Viongozi wa Dini wakiingia front kutaka mabadiliko, Huwa hawabahatishi.

Tukumbushane, mlawi tayari anajiandaa kuchukua hatamu,

Tusubiri.
Tumeona saivi wananchi wameshaanza kuchukua hatua za kuzuia ukamataji holela wa watu na wanasema aitwe OCD kuthibitisha kama anayekamata kweli ni askari.

Hiki ni kiashiria kikuu kuwa wananchi wamechoka. Na ikitokea Viongozi wa Dini kupigilia msumari hili jambo tu sote tunajua si polisi, si tiss hakuna atakayewazuia. Maana kuwapiga virugu viongozi wa dini sio jambo ambalo askari yeyote atataka kulifanya.
 
Huyo aliyemjazia watu si mwinjilisti oh sorry nabii sijui mtume au ni mtumishi wa serikali?

Nchi inaongozwa na familia shida iko hapa!
 
Muda unakaribia ukweli utaonekana usichezee Imani
CCM wengi wanatamka imani mdomoni tena kwa mazingira yanayowa favor wao.

Hukumsikia Nape? Hukumsikia yule dada kwenye ile clip ya uchaguzi wa 2015 au 2020 aliyesema kwenye suala la uchaguzi hawanaga kumuachia Mungu?
 
Ukiachana na kuwa CCM huyo bwana ana point asikilizwe, ni kwamba most of religion leaders ni watu miongoni mwa watawala wa serikali, ndio hoja ya huyu ndugu.
 
  • Thanks
Reactions: apk
Changamoto kubwa inayokikumba Chama cha Mapinduzi kwa sasa ni kuwa na Viongozi wenye akili na upeo duni, Wasioweza kuchakata tension iliyopo kwenye jamii na kujua waseme nini na kwa wakati gani?

Suala hili limekuwa likiongeza sana hasira za wananchi dhidi yao. Nawapongeza wenye busara wachache hasa KM Nchimbi na Mwenezi Makala kwa kujitahidi sana kulainisha tension ya wananchi.

Changamoto nyingine inayokikumba chama hiki ni kuwa na mawazo mgando ambayo hayaendani na wakati tuliopo na hili ndo limesababisha nchi kupiga hatua ndogo katika maendeleo.

Jana Makonda katoa maneno kuwasema Viongozi wa dini waliokemea masuala ya Mauaji na Utekaji. Anasema viongozi wa dini hawatoi waraka kukemea wanasali.

Tuseme Makonda hajui kuwa Yohana Mbatizaji alimlaumu waziwazi na kumkemea Herode baada ya Herode kuoa Mke wa nduguye? Kwa hiyo Makonda anataka kusema Yohana Mbatizaji hakuwa kiongozi wa Dini?

Leo nimejiuliza. Hivi Makonda anajua Viongozi wa Dini wakisema wamjibu kutakuwa na matokeo gani?

Mfano kesho TEC wakitoa tamko kuunga mkono maandamano ya Chadema ili kumuonesha tu Makonda na Serikali kuwa wako serious kupinga mauaji na utekaji matokeo yake yatakuwaje?

Makonda hajui kuwa Viongozi wa TEC na hata Maaskofu wengine na viongozi wa dini ya kiislam wanaweza wakatoa tamko kesho kuwa watashiriki maandamano ya Chadema?? Je wakisema hivyo anajua matokeo yake yatakuwaje??

Napenda kumshauri Samia, aachane na hili genge la kina Makonda lililomteka akili sasaivi. Hili genge litamharibia big time. Na kama anataka kukumbukwa daima na Watanzania sio Chama cha Mapinduzi tu aachane na hawa watu wanaompotosha na haraka aanzishe mchakato wa Katiba Mpya.

Tanzania tunahitahi Katiba Mpya. Tusiombe ufike mahala viongozi wa dini waseme tunaunga mkono maandamano ya kupinga ukatili na tutashiriki. Maana hili likitokea nina uhakika hata hao TISS watawanawa CCM.

Tusiwaone Viongozi wa dini ni Wajinga. Wakiingia front CCM ndo bye bye mchana kweupe.
Siku zote Makonda hakuwahi kuonesha dalili yoyote ya kuwa na akili (intelligence) ila mtu wa misifa, kutumia nguvu nyingi na kukurupuka katika utekelezaji wa shughuli zake. Ila kwa jana, kuna hoja ya muhimu inayolenga viongozi wote wa dini akiwemo na huyo Mwamposa. Miaka hiyo ya zamani unakuta nchi / jamii inakuwa na nabii mmoja ambaye anatatua changamoto zote za eneo husika ikiwa ni pamoja na kuwaeleza yale yatakayokuja. Ila kwa sasa, bila kubagua dini, kuna viongozi tele wa dini, mashehe, maimamu, mitume, manabii, maaskofu etc, je hawa wa sasa wana uwezo wa kutatua changamoto za watu?. Hili ndio swali ambalo linahitaji majibu.
 
Makonda alirudishwa ili kuongeza nguvu za watekaji,makonda ni mtekaji na muuaji
 
Mungu anajua ataiwekaje salama Tanzania, muda utatupatia jibu.
 
Makonda alirudishwa ili kuongeza nguvu za watekaji,makonda ni mtekaji na muuaji
Juzi kamjaza mama wa watu ujinga eti walikaa kikao Arusha kupanga mipango yao. Ye njia zake za kuwaingia viongozi ni kujifanyaga kuwa anawapenda kuliko wenzake wote na kutengeneza majungu ili aonekane kuwa bora kuliko wenzake
 
Back
Top Bottom