Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanawake ni wengi sana na wazuri wengi sana, ukiweza kumpa chakula na mavazi tu unaruka nao.kama upo seriousinabid uwe nao kama hao watano au zaidi upate wigo mpana wa machaguo mkuu bila hivyo andika maumivu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijawahi kusikia MTU amekufa eti kisa hajaoa au hajaolewa au hajazaa. Tafuta pesa ujinga uisheMkuu ni kweli umri umekwenda na sina hata mwana wa maji ya moto.....je? Nioe hata mwanamke yeyote (mataputapu) eti kisa nimemtafuta mwenye sifa nizipendazo nimemkosa.....
100% correct MR. ROBBY HERIEL.....Hela haijawahi kumsaidia mtu uzeeni, masikini ndio wanamtazamo Kama wako.
Uzeeni kitakachokusaidia ni namna ulivyoijenga familia Bora Enzi za ujana wako.
Yesu hakuoa, kwa hyo naye hakuwa civilized?Nimesema Dini kuu, hizo zingine ndogo ndogo sipo Kwa ajili ya mambo madogo au vitu vidogo.
Binadamu ni mnyama akiwa na mtazamo Kama wako.
Binadamu anakuwa MTU pale anapokuwa na Imani na Mungu.
Sio lazima kuoa ukitumia mfumo wa wanyama, yaani humuamini Mungu(huna utashi)
Sio lazima kuoa Kama unamatatizo ya Afya,
Sio lazima kuoa Kama unaweza kujizuia usifanya zinaaa.
Ndio maana kuna kitu kinaitwa "Civilization"
Usije ukadhani kila binadamu yupo Civilized kisa anaishi Duniani sijui Uingereza au huko unakokutolea mifano.
Mtu Civilized lazima "Aoe"
Moja ya Dalili ya mtu kuwa Civilized ni Kumuua Mungu.
Usidhani sijui unachokizungumzia, Ila najaribu kukueleza kuwa wapo binadamu ambao wao na wanyama ni the same Kwa Asilimia 100.
Kabisa Baby yaani hiki kijamaa naonaga km hakina akili nzuri vile vi theory vya kuokoteza chocho/bin ukilaza mtupu!! ndo analeta humu!! Wajanja wanasema ''wise Man marry late!! yeye analeta eary marriage?? kweli?Hii thread ni ya kutiana stress. Sijui kwanini nimeifungua
Biblia inasema, usitamani Mali ya jirani yako, wala mfanyakazi wake, wala mifugo take, wala chochote alichokuwa nacho.
Vijana wa siku hizi akiona mwenzake kaolewa naye analazimisha aolewe badala ya kusubiri wakati wake sahihi.
Matokeo yake ndio haya, kuwa na kijicho na maisha ya wengine.
Wengi hupata Depression Kwa kufananisha maisha yao na watu wengine. Dhambi
HATARI ZA KUCHELEWA KUOA!
Anaandika, Robert Heriel
Hakuna umri specific wa mwanaume kuoa lakini inashauri angalau umri kuanzia miaka 25-35 ni umri sahihi Kwa kijana kupata jiko. Lakini inapendekezwa zaidi umri mzuri zaidi ni 28-31.
Ndoa itaanza kukosa umuhimu ikiwa mtu atachelewa au kuwahi kuoa.
Yaani mtu aoe anamiaka 40+ Kwa kweli hapo ni kutafuta kisukari.
Mzee mmoja mwenye Busara ninayemheshimu na ambaye ameshawahi kushika Nyadhifa kubwa mbalimbali serikalini aliwahi kuniambia; Ukiona kijana amefikisha zaidi ya miaka 33 na hajaoa basi ujue anatafuta Kuolewa"
Nilipomuuliza maana ya maneno hayo akaniambia nisubiri nitakapofikisha umri huo nitamuelewa. Kauli hiyo nimeikumbuka hivi leo baada ya kukutana na tukio lililompata moja ya marafiki zangu,
Kutupisha andiko, zifuatazo ni hatari mbaya za mwanaume kuchelewa kuoa!
1. Kumpata mwenza mwenye watoto (single mother)
Ili Jambo hili lisitokee basi itakupasa uwe umechelewa kuoa Kwa sababu ya kutafuta pesa na umezipata. Hii itakufanya uoe hata binti kigoli mwenye Bikra
Lakini unamiaka sijui 37 sijui 40 alafu pesa huna alafu unatafuta kuoa. My friend hakuna atakayekuonea huruma, iwe ukweni au wanawake, zingatia wanawake hawanaga huruma na wanaume walioshiwa Step, walioishiwa mawazo, wasio na pesa.
2. Kuoa Wake za Watu, wapenzi wa watu
Hii itakufanya uwe na migogoro ya kila mara na Mkeo.
Mara nyingi wanaooa Kwa kuchelewa ndio husumbuliwa Kwa kiasi kikubwa na Wake zao, na hii ni kutokana na kuwa wameoa wake za watu.
Kikawaida, mwanaume akioa akiwa Kati ya umri ya miaka 25-33 yeye ndiye humsumbua Mke wake, lakini kama ataoa akiwa na umri kuanzia miaka 36-50+ wanawake ndio huwasumbua.
Angalia ndoa nyingi ndio zipo hivyo.
3. Kuwahi Kufa mapema.
Kuchelewa kuoa mara nyingi hukivuta kifo karibu zaidi.
Hii inatokana na Migogoro mipya utakayoipata Kwa Mke.
Sio ajabu mwanaume ameoa mwaka huu alafu ndani ya miaka kumi akafa.
Kwenye ndoa wanandoa wanaume waliooa muda sahihi wana-survive miaka mingi ukilinganisha na Wale wanaochelewa.
4. Kufilisika
Wanaume wengi waliochelewa kuoa wakapata maisha Fulani wengi wao hufilisika au maisha Yao kuingia katika taabu mara baada ya kuoa. Hii ni tofauti na wanaooa Kwa Wakati ambao wengi huanza Kwa maisha ya kawaida au yachini lakini kadiri siku zinavyoenda ndivyo uchumi wao unapanda.
Wengi wenye maisha mazuri hivi sasa walioa katika umri sahihi Kati ya 28-33.
Sababu ya kufilisika ni kutokana na fikra za mke aliyemuoa
Kikawaida mwanamke akiolewa na Mwanaume wanaoendana kiumri katika umri wa kuoana/kuolewa, mwanamke umri wa miaka 18- 27 na Mwanaume umri wa miaka 28-33.
Mwanamke anamfikiria Mumewe Kama mwenzake, rafiki yake, na humuombea baraka Kwa Mungu.
Lakini mwanamke mwenye umri wa miaka 18-27 hawezi kuwa na fikra za kuwa Mwanaume mwenye miaka 40+ kuwa mwenzake, rafikiake, na ni ngumu kumuombea Kwa moyo wote mtu asiyemuona mwenza.
Hata mwanaume akioa mwanamke WA miaka 36 naye akiwa 40+ bado hakuna uhusiano wa kiroho hivyo masuala ya kiuchumi yataanza kuparangika.
5. Malezi ya watoto kuwa mabaya au Duni
Umri wa miaka arobaini sio wa Kulea watoto wachanga, hapo Firstborn anatakiwa awe na miaka 7-13.
Fikiria unamiaka 36 ndio unapata mtoto wa Kwanza, akili tayari imeanza kupinduka na kuwa ya utu uzima, mtoto anapaswa alelewa na Baba kijana, mtoto akishafika umri wa Balehe mzazi ndio anatakiwa awe kwenye 40+ hapo anatumia busara za utu uzima na sio ujana tena.
Baba kijana mtoto anakuwa amechangamka, bakora na ukali upo waziwazi, mtoto anajifunza Uanaume Kwa Baba kijana na sio Baba Mzee.
Wakati ambao Mkeo anakuheshimu zaidi kuliko wakati wote ni umri ukiwa kijana kuanzia miaka 28-40.
Na mtoto anatakiwa aone heshima hiyo ya mama yake kwako wewe Kama Baba katika umri huo.
Kumbuka umri wa utu uzima wanawake wanakuchukulia Kama Babu Yao[emoji3][emoji3]
Anauwezo WA kukutingisha.
Unajua Kwa nini wanawake wanakuheshimu na kukuogopa katika umri huu miaka 27-40? Sababu ni hizi:
I/ Una nguvu ya kutafuta maisha na pesa.
Hivyo bado wanatumaini kuwa huenda siku moja ukawa na maisha mazuri. Huko Baadaye. Ndio maana wanakustahi na kusubiri. Lakini hawezi kukuheshimu Sana katika umri wa miaka 40+ ilhali kila kitu ni dhahiri, muelekeo wa maisha yako wameshaujua, yaani umeshafika nusu ya Safari. Nguvu za mwili na Akili zimepungua, yaani Kama ullishindwa kujenga Jumba kubwa ukiwa na miaka 35 utaweza ukiwa na miaka 45?
II/ Bado unavutia na akikuacha unaweza pata mwanamke mwingine.
Wivu wa mwanamke huwa mkali kipindi hiko, wakati ukivaa nguo inakukaa, ukinyoa nywele unapendeza,
Lakini umefikisha miaka 40+ upara umechachamaa kila siku kunyoa vipara, nywele zinamvi kazi kupaka Kokoto au kunyoa kipara nani akuonee wivu. Tujiulize wanaume?
Nguo hazikai mwilini kutokana na Mabadiliko ya miili yetu, iwe kitambi au nguvu za kiume alafu utegemee heshima itabaki palepale[emoji3] embu Acha kujidanganya.
Ni lazima uoe mwanamke ukiwa katika Enzi yako, ukiwa na nguvu, ukiwa unavaa unapendeza, ukiwa unanyoa unapendeza, ukiwa unapiga show show! Sio uoe mwanamke wakati umri umeenda wakati ambao yeye ndiye yupo kwenye Enzi yake
Zingati, saikolojia ya mtoto wa umri chini ya miaka 10 inapaswa ijengwe na Baba kijana mwenye umri chini ya 40. Zaidi ya yote unatafuta kudharauliwa na watoto wako mwenyewe. Na Dharau ya mtoto ipo miaka 2-10, umri huo mtoto huwa very Sensitive na kuwatambua wazazi au walezi wake.
Mtoto akikuheshimu katika umri huo kamwe hatakuja kukudharau akiwa mtu mzima,
Ipo heshima ya Baba na heshima ya Babu. Na hii yote huamuliwa na vile utakavyokuwa unaonekana na unavyo-act ukiwa nyumbani. Action za Baba kijana ni tofauti na Action za Baba mtu mzima. Sijui Kama naeleweka.
Zingatia, Malezi ya mtoto hutegemea zaidi vile Mkeo anavyokuchukulia,
Na heshima ya Mkeo kwako Inategemea na Umri na Hali yako ya kiuchumi.
Wito, Vijana mkifika umri wa kuoa Oeni, msiogope kesho msioijua, na kamwe msiisubiri na kuitumainia kesho.
Muhimu hakikisha unapata mwenza sahihi, msisubiri uchumi au kipato sahihi mungali tayari mnamwenza sahihi.
Nipumzike sasa!
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Dini kuu ndo zipi hzo?Nimesema Dini kuu, hizo zingine ndogo ndogo sipo Kwa ajili ya mambo madogo au vitu vidogo.
Binadamu ni mnyama akiwa na mtazamo Kama wako.
Binadamu anakuwa MTU pale anapokuwa na Imani na Mungu.
Sio lazima kuoa ukitumia mfumo wa wanyama, yaani humuamini Mungu(huna utashi)
Sio lazima kuoa Kama unamatatizo ya Afya,
Sio lazima kuoa Kama unaweza kujizuia usifanya zinaaa.
Ndio maana kuna kitu kinaitwa "Civilization"
Usije ukadhani kila binadamu yupo Civilized kisa anaishi Duniani sijui Uingereza au huko unakokutolea mifano.
Mtu Civilized lazima "Aoe"
Moja ya Dalili ya mtu kuwa Civilized ni Kumuua Mungu.
Usidhani sijui unachokizungumzia, Ila najaribu kukueleza kuwa wapo binadamu ambao wao na wanyama ni the same Kwa Asilimia 100.
Tofauti miaka 4, Ukifika miaka 45 yeye ataonekana ni Mama mtu mzima kwako!!..kiuanaume/binadamu lazima utamchoka ki hisia wadada hatukawii kuchakaa!!....100% correct MR. ROBBY HERIEL.....
Mi nimeoa nikiwa na 29yrs wife 25...bila kuzingatia sana hali yang ya kiuchumi....nilipngwa na familia nzima kasoro dada mmoja tu katk watoto 9 +ndugu baadhi...ila kwa kuwa niliiona kwel na uhalisia wa maisha ndani ya mke wng (anafaa kwel kuwa msaidiz, rafik, mama n.k) tulikomaa had tukafunga ndoa. Hapo tulianza mahusiano tang nikiwa chuon (4yrs ya mahusino + miez 6 uchumba) na tulishrkiana almost kila ktu kinachohusu future yetu, mfano kupanga wakt wa kufunga ndoa, kuanzisha familia, kuanzisha miradi ya maendeleo, n.k. mwsho wa siku licha ya kupngwa na vikwazo vingi vikiwamo ya kwamba tungoje hadi mm niwe na ukwasi ili hali mm niliwaza sana umri wang na muda wa kuwa na familia ...tukaamua kufunga ndoa...ss tuko 4th year of our marriage, happy, still cooperative, 1 handsome boy, expctin another), good house, a ride + drive.....an much more.....
Niwasihii vijana wenzang kuzngatia suala la muda wa kufanya kila jambo, kuzingatia sifa sahihi kwa mtu sahihi.....Time is the an SI UNIT of life........
Naadhan wanaobeza alichoandka mwnye Uzi, watakuwa wameenda tofaut lakin pia wanaptia matokeo ya njia walochagua.
umemaliza kila kitu mifano uraiani ni mingi sanaTofauti miaka 4, Ukifika miaka 45 yeye ataonekana ni Mama mtu mzima kwako!!..kiuanaume/binadamu lazima utamchoka ki hisia wadada hatukawii kuchakaa!!....
akilijua hili linaanza mtokea hakuna rangi utaacha kuiona! ndo utajua hujui!! make kwa sheria za Bongo/Dunia ni mke halali wa ndoa ati!! hata pasu kwa pasu hataki tena!
Ni either yeye mwenyewe ke afanye la kufanya km wafanyavyo weengi!! hasa ukiona umependwa sana kuzidi mwanzo richa ya uma pepe wako, jua zako zinahesabika km huamini Nenda Machame Ukae tu utaliona ri picha!
au yeye huyo mkeo ang'atwe sikio na wajanja! hasa mashoga/ndg zake! kuhusu hizo mali zenu hilo laaazima likutokee tu! hasa pale mwanao mkubwa akifika chuo jipimie mwenyewe hapo Baba!
amini nakwambia hapo ndo hatari hutokea hasa hasa mkiwa na mafanikio ya maisha ama zako ama zake! hapo ni either uhame mji weye au ufe kabisa uzikwe abaki na mali..
.chunguza uone weeengi walio oa mapema wake wa umri wao walipoteaje?? hapa napoongea kuna jamaa ka-paralyse Mwili mwaka wa nne huu anauguzwa na ndg zake!
na Mke wa ujana yuko kwenye Jumba la ghorofa safiii na wanae sasa kwanini asiugulie kwake??!
Matajiri weeeengi siwataji humu mnawajua kabisaaa!! walikimbia nyumba zao nzuri kwa hiari yao wenyewe na waka fia huko mbali pasi kuuguzwa na hao wake zao wa ujana!!
Matajiri wako tayari waachie Mali zoote wakimbilie mbali au wakomae wafe vizuri na kimya kimya unadhani nani atamuuliza??! .. Matajiri wengi mjini hapo japo wanaishi nyumba moja na wake wa ujana lkn hawaongei!!
Labda itokee mshikirie Mungu sana!! tena yuleee wa Sabato mkeshe na kuomba/na kuombeana sana mtafika lkn kiulimwengu tu!! ...Ohooo!! yajayo yanafurahisha!! me wengi waliofanikiwa wanakoswa koswa kuuawa!
tena bila wao kujua sababu ni nini?? sasa weye dogo subiri uone unta-ntafuta!! usinione!
Shida itakuja palee Mapesa yatakapo anza ku flow! halafu ke akipiga mahesabu hayaoni wala hajui yanapo kwenda!! sometimes unachelewa kuja nyumbani mara huli home!!...mapenzi yanaenda chini... weee!!
Miaka 29-4=25(-2)=23 (-5)=18(-7)=... yaani Hapo mzazi anajiweza sana tu na weye uwe vizuri up stairs!! hapo hakuna supp! umenyooka mpaka kazini faster ... weee!
na kazi za ivo hizo ni enzi za Mchonga/Mwinyi kidogo!! wakti vyuo ni vichache na mnalipwa kichere huko vyuoni acha utani bana. kazi za siku hizi mpaka usote kwanza..hata kudanganya hujui!!
Lbda kama una miaka km Themanini hivi!! hapo ntakukubalia! lkn siyo enzi za Nkapa kuja huku tuliko!! Mawee upate kazi faster ivo?? uoe?
Maisha hayako hivoHATARI ZA KUCHELEWA KUOA!
Anaandika, Robert Heriel
Hakuna umri specific wa mwanaume kuoa lakini inashauri angalau umri kuanzia miaka 25-35 ni umri sahihi Kwa kijana kupata jiko. Lakini inapendekezwa zaidi umri mzuri zaidi ni 28-31.
Ndoa itaanza kukosa umuhimu ikiwa mtu atachelewa au kuwahi kuoa.
Yaani mtu aoe anamiaka 40+ Kwa kweli hapo ni kutafuta kisukari.
Mzee mmoja mwenye Busara ninayemheshimu na ambaye ameshawahi kushika Nyadhifa kubwa mbalimbali serikalini aliwahi kuniambia; Ukiona kijana amefikisha zaidi ya miaka 33 na hajaoa basi ujue anatafuta Kuolewa"
Nilipomuuliza maana ya maneno hayo akaniambia nisubiri nitakapofikisha umri huo nitamuelewa. Kauli hiyo nimeikumbuka hivi leo baada ya kukutana na tukio lililompata moja ya marafiki zangu,
Kutupisha andiko, zifuatazo ni hatari mbaya za mwanaume kuchelewa kuoa!
1. Kumpata mwenza mwenye watoto (single mother)
Ili Jambo hili lisitokee basi itakupasa uwe umechelewa kuoa Kwa sababu ya kutafuta pesa na umezipata. Hii itakufanya uoe hata binti kigoli mwenye Bikra
Lakini unamiaka sijui 37 sijui 40 alafu pesa huna alafu unatafuta kuoa. My friend hakuna atakayekuonea huruma, iwe ukweni au wanawake, zingatia wanawake hawanaga huruma na wanaume walioshiwa Step, walioishiwa mawazo, wasio na pesa.
2. Kuoa Wake za Watu, wapenzi wa watu
Hii itakufanya uwe na migogoro ya kila mara na Mkeo.
Mara nyingi wanaooa Kwa kuchelewa ndio husumbuliwa Kwa kiasi kikubwa na Wake zao, na hii ni kutokana na kuwa wameoa wake za watu.
Kikawaida, mwanaume akioa akiwa Kati ya umri ya miaka 25-33 yeye ndiye humsumbua Mke wake, lakini kama ataoa akiwa na umri kuanzia miaka 36-50+ wanawake ndio huwasumbua.
Angalia ndoa nyingi ndio zipo hivyo.
3. Kuwahi Kufa mapema.
Kuchelewa kuoa mara nyingi hukivuta kifo karibu zaidi.
Hii inatokana na Migogoro mipya utakayoipata Kwa Mke.
Sio ajabu mwanaume ameoa mwaka huu alafu ndani ya miaka kumi akafa.
Kwenye ndoa wanandoa wanaume waliooa muda sahihi wana-survive miaka mingi ukilinganisha na Wale wanaochelewa.
4. Kufilisika
Wanaume wengi waliochelewa kuoa wakapata maisha Fulani wengi wao hufilisika au maisha Yao kuingia katika taabu mara baada ya kuoa. Hii ni tofauti na wanaooa Kwa Wakati ambao wengi huanza Kwa maisha ya kawaida au yachini lakini kadiri siku zinavyoenda ndivyo uchumi wao unapanda.
Wengi wenye maisha mazuri hivi sasa walioa katika umri sahihi Kati ya 28-33.
Sababu ya kufilisika ni kutokana na fikra za mke aliyemuoa
Kikawaida mwanamke akiolewa na Mwanaume wanaoendana kiumri katika umri wa kuoana/kuolewa, mwanamke umri wa miaka 18- 27 na Mwanaume umri wa miaka 28-33.
Mwanamke anamfikiria Mumewe Kama mwenzake, rafiki yake, na humuombea baraka Kwa Mungu.
Lakini mwanamke mwenye umri wa miaka 18-27 hawezi kuwa na fikra za kuwa Mwanaume mwenye miaka 40+ kuwa mwenzake, rafikiake, na ni ngumu kumuombea Kwa moyo wote mtu asiyemuona mwenza.
Hata mwanaume akioa mwanamke WA miaka 36 naye akiwa 40+ bado hakuna uhusiano wa kiroho hivyo masuala ya kiuchumi yataanza kuparangika.
5. Malezi ya watoto kuwa mabaya au Duni
Umri wa miaka arobaini sio wa Kulea watoto wachanga, hapo Firstborn anatakiwa awe na miaka 7-13.
Fikiria unamiaka 36 ndio unapata mtoto wa Kwanza, akili tayari imeanza kupinduka na kuwa ya utu uzima, mtoto anapaswa alelewa na Baba kijana, mtoto akishafika umri wa Balehe mzazi ndio anatakiwa awe kwenye 40+ hapo anatumia busara za utu uzima na sio ujana tena.
Baba kijana mtoto anakuwa amechangamka, bakora na ukali upo waziwazi, mtoto anajifunza Uanaume Kwa Baba kijana na sio Baba Mzee.
Wakati ambao Mkeo anakuheshimu zaidi kuliko wakati wote ni umri ukiwa kijana kuanzia miaka 28-40.
Na mtoto anatakiwa aone heshima hiyo ya mama yake kwako wewe Kama Baba katika umri huo.
Kumbuka umri wa utu uzima wanawake wanakuchukulia Kama Babu Yao😀😀
Anauwezo WA kukutingisha.
Unajua Kwa nini wanawake wanakuheshimu na kukuogopa katika umri huu miaka 27-40? Sababu ni hizi:
I/ Una nguvu ya kutafuta maisha na pesa.
Hivyo bado wanatumaini kuwa huenda siku moja ukawa na maisha mazuri. Huko Baadaye. Ndio maana wanakustahi na kusubiri. Lakini hawezi kukuheshimu Sana katika umri wa miaka 40+ ilhali kila kitu ni dhahiri, muelekeo wa maisha yako wameshaujua, yaani umeshafika nusu ya Safari. Nguvu za mwili na Akili zimepungua, yaani Kama ullishindwa kujenga Jumba kubwa ukiwa na miaka 35 utaweza ukiwa na miaka 45?
II/ Bado unavutia na akikuacha unaweza pata mwanamke mwingine.
Wivu wa mwanamke huwa mkali kipindi hiko, wakati ukivaa nguo inakukaa, ukinyoa nywele unapendeza,
Lakini umefikisha miaka 40+ upara umechachamaa kila siku kunyoa vipara, nywele zinamvi kazi kupaka Kokoto au kunyoa kipara nani akuonee wivu. Tujiulize wanaume?
Nguo hazikai mwilini kutokana na Mabadiliko ya miili yetu, iwe kitambi au nguvu za kiume alafu utegemee heshima itabaki palepale😀 embu Acha kujidanganya.
Ni lazima uoe mwanamke ukiwa katika Enzi yako, ukiwa na nguvu, ukiwa unavaa unapendeza, ukiwa unanyoa unapendeza, ukiwa unapiga show show! Sio uoe mwanamke wakati umri umeenda wakati ambao yeye ndiye yupo kwenye Enzi yake
Zingati, saikolojia ya mtoto wa umri chini ya miaka 10 inapaswa ijengwe na Baba kijana mwenye umri chini ya 40. Zaidi ya yote unatafuta kudharauliwa na watoto wako mwenyewe. Na Dharau ya mtoto ipo miaka 2-10, umri huo mtoto huwa very Sensitive na kuwatambua wazazi au walezi wake.
Mtoto akikuheshimu katika umri huo kamwe hatakuja kukudharau akiwa mtu mzima,
Ipo heshima ya Baba na heshima ya Babu. Na hii yote huamuliwa na vile utakavyokuwa unaonekana na unavyo-act ukiwa nyumbani. Action za Baba kijana ni tofauti na Action za Baba mtu mzima. Sijui Kama naeleweka.
Zingatia, Malezi ya mtoto hutegemea zaidi vile Mkeo anavyokuchukulia,
Na heshima ya Mkeo kwako Inategemea na Umri na Hali yako ya kiuchumi.
Wito, Vijana mkifika umri wa kuoa Oeni, msiogope kesho msioijua, na kamwe msiisubiri na kuitumainia kesho.
Muhimu hakikisha unapata mwenza sahihi, msisubiri uchumi au kipato sahihi mungali tayari mnamwenza sahihi.
Nipumzike sasa!
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Daaah ni kweli aisee nakumbuka kuna ambao nilipanga kuwaoa tukaachana ila nikiwaangalia leo hii wameshakua wamama,yaani wanaonekana wakubwa kuliko mimi.Tofauti miaka 4, Ukifika miaka 45 yeye ataonekana ni Mama mtu mzima kwako!!..kiuanaume/binadamu lazima utamchoka ki hisia wadada hatukawii kuchakaa!!....
akilijua hili linaanza mtokea hakuna rangi utaacha kuiona! ndo utajua hujui!! make kwa sheria za Bongo/Dunia ni mke halali wa ndoa ati!! hata pasu kwa pasu hataki tena!
Ni either yeye mwenyewe ke afanye la kufanya km wafanyavyo weengi!! hasa ukiona umependwa sana kuzidi mwanzo richa ya uma pepe wako, jua zako zinahesabika km huamini Nenda Machame Ukae tu utaliona ri picha!
au yeye huyo mkeo ang'atwe sikio na wajanja! hasa mashoga/ndg zake! kuhusu hizo mali zenu hilo laaazima likutokee tu! hasa pale mwanao mkubwa akifika chuo jipimie mwenyewe hapo Baba!
amini nakwambia hapo ndo hatari hutokea hasa hasa mkiwa na mafanikio ya maisha ama zako ama zake! hapo ni either uhame mji weye au ufe kabisa uzikwe abaki na mali..
.chunguza uone weeengi walio oa mapema wake wa umri wao walipoteaje?? hapa napoongea kuna jamaa ka-paralyse Mwili mwaka wa nne huu anauguzwa na ndg zake!
na Mke wa ujana yuko kwenye Jumba la ghorofa safiii na wanae sasa kwanini asiugulie kwake??!
Matajiri weeeengi siwataji humu mnawajua kabisaaa!! walikimbia nyumba zao nzuri kwa hiari yao wenyewe na waka fia huko mbali pasi kuuguzwa na hao wake zao wa ujana!!
Matajiri wako tayari waachie Mali zoote wakimbilie mbali au wakomae wafe vizuri na kimya kimya unadhani nani atamuuliza??! .. Matajiri wengi mjini hapo japo wanaishi nyumba moja na wake wa ujana lkn hawaongei!!
Labda itokee mshikirie Mungu sana!! tena yuleee wa Sabato mkeshe na kuomba/na kuombeana sana mtafika lkn kiulimwengu tu!! ...Ohooo!! yajayo yanafurahisha!! me wengi waliofanikiwa wanakoswa koswa kuuawa!
tena bila wao kujua sababu ni nini?? sasa weye dogo subiri uone unta-ntafuta!! usinione!
Shida itakuja palee Mapesa yatakapo anza ku flow! halafu ke akipiga mahesabu hayaoni wala hajui yanapo kwenda!! sometimes unachelewa kuja nyumbani mara huli home!!...mapenzi yanaenda chini... weee!!
Miaka 29-4=25(-2)=23 (-5)=18(-7)=... yaani Hapo mzazi anajiweza sana tu na weye uwe vizuri up stairs!! hapo hakuna supp! umenyooka mpaka kazini faster ... weee!
na kazi za ivo hizo ni enzi za Mchonga/Mwinyi kidogo!! wakti vyuo ni vichache na mnalipwa kichere huko vyuoni acha utani bana. kazi za siku hizi mpaka usote kwanza..hata kudanganya hujui!!
Lbda kama una miaka km Themanini hivi!! hapo ntakukubalia! lkn siyo enzi za Nkapa kuja huku tuliko!! Mawee upate kazi faster ivo?? uoe?
Yes chiefPole mkuu! Nn sababu ya divorce? Usaliti?